Jean-Paul Mobutu: Mtoto wa Kwanza wa Mobutu Sese Seko aliyetazamiwa kuwa Rais wa tatu wa DR Congo

Jean-Paul Mobutu: Mtoto wa Kwanza wa Mobutu Sese Seko aliyetazamiwa kuwa Rais wa tatu wa DR Congo

Mobutu Huyu Huyu Aliemtemea Mate Uson Patrice Lumumba Na Kumtoa Kwa Tshombe Na C I A Ili Wamuue Ndio Unampamba Hivi
Mkuu
Hayo umeyasoma wapi ? Mobutu hakuwahi kumtemea mate lumumba.emu leta historical facts
Nachojua lumumba alidhihakiwa na wanajeshi ambao labda ndio useme walimtemea mate
Video niliyonayo mimi ni kuwa lumumba alikua analishwa kitambaa fulani cheupe pale mount ngaliema mbele ya Mobutu
 
Mabutu adhabu ya chini akikuita ikulu ni pasi ya mgongoni tu. Baba yake raisi wa sasa kapigwa pasi na mmoja bado yuko hai mpaka leo alikuwa gavana wa katanga anaitwa Kyungu wa Kumwanza aka baba wa katanga ambaye sasa ni mkuu wa bunge la kitaifa (l'assemblee nationale)
Mkuu
Unaijua kweli ikulu ya zaire ?
Acha kuhamini hizo stori
Ikulu ya zaire haikua kama magogoni eti ina ma office
Ikulu ya zaire ilikua ni nyumba ya ghorofa moja tu ambayo mobutu aliitumia kuishi na familia yake. Kwa akili za kawaida huwezi kumtesa mtu mbele ya watoto wako na mkeo
Mkuu labda alifanya hivo sehemu nyingine ila sio ikulu.ile ilikua nyumba ndogo ya kuishi .iliyopo mlima ngaliema.
 
dada zetu kijana alishakufa ,navyowajua msije panda ndege kwenda kumdanga marehemu
 
Mkuu
Unaijua kweli ikulu ya zaire ?
Acha kuhamini hizo stori
Ikulu ya zaire haikua kama magogoni eti ina ma office
Ikulu ya zaire ilikua ni nyumba ya ghorofa moja tu ambayo mobutu aliitumia kuishi na familia yake. Kwa akili za kawaida huwezi kumtesa mtu mbele ya watoto wako na mkeo
Mkuu labda alifanya hivo sehemu nyingine ila sio ikulu.ile ilikua nyumba ndogo ya kuishi .iliyopo mlima ngaliema.
nimeishi drc ninavyosema siyo vitabu kwahiyo nikisema Likasi alikofia lumumba nimefika..vous etes cngolais?
 
nimeishi drc ninavyosema siyo vitabu kwahiyo nikisema Likasi alikofia lumumba nimefika..vous etes cngolais?
Mkuu
Sawa unaweza kuwa umeishi drc
Ila hakuna katika historia ya dunia hii dikteta aliyewahi kufanya ukatili kwake au kuwaonesha watoto wake kuwa yeye ni katili.
Madikteta wote ukatili ulikua unaishia huko ofisini sio majumbani.kwa jinsi ninavyoijua ikulu ya zaire ni vigumu Mobutu kumtesa mtu pale.na hata angefanya hivo ingekua ngumu tshisekedi kurudi tena.ninayo clip hapa ninavoandika ya tshisekedi akikutana na Mobutu pale ikulu ya zaire mwaka 1996 sasa sielewi ni vipi mtu akuite ikulu akuchome na pasi then akuite tena uende
 
Mkuu
Sawa unaweza kuwa umeishi drc
Ila hakuna katika historia ya dunia hii dikteta aliyewahi kufanya ukatili kwake au kuwaonesha watoto wake kuwa yeye ni katili.
Madikteta wote ukatili ulikua unaishia huko ofisini sio majumbani.kwa jinsi ninavyoijua ikulu ya zaire ni vigumu Mobutu kumtesa mtu pale.na hata angefanya hivo ingekua ngumu tshisekedi kurudi tena.ninayo clip hapa ninavoandika ya tshisekedi akikutana na Mobutu pale ikulu ya zaire mwaka 1996 sasa sielewi ni vipi mtu akuite ikulu akuchome na pasi then akuite tena uende
mahusiano ya mabutu na tshekedi yalikuwa mazuri ????
 
mahusiano ya mabutu na tshekedi yalikuwa mazuri ????
Yalikua ni on and off relationship
Kuna muda walipatana kuna muda walikosana.wamejuana miaka mingi kabla tshisekedi kuwa waziri mkuu.
Hata wakati wa misiba ya familia ya Mobutu,tshisekedi alihudguria .kwa sasa familia zao naona pia zinaelewana kama zamani na wanatembekeana.niliona wakati wa msiba wa tshisekedi mke wa mobutu alienda kutoa pole kwa mjane wa tshisekedi.
Mobutu na tshisekedi walikua na tofauti za kisiasa tu
 
Acha upumbavu wews..

Ni kichaa tu anayeweza kumfananisha Mobutu na Nyerere..
Mkuu nakujibu kwa awamu
1.inflation unayoongelea wewe ilianza during the early 90's na moja ya sababu ni kushukà kwa thàmani ya madini dunian mfAno cobalt. Zaire ilikua na uchumi mzuri sana kabla ya hapo 1zairean shilling ilikua ni sawa na 2USD kipindi madini yalipokua na tthaman

2.umeongelea kuuwa ma waziri wake.kasome historia vizuri.mobutu hajawai kuuwa mawaziri wake bali aliagiza kuuwawa mawaziri wa serikali iliyopita ambao walipanga kumpindua na part of the plan walitaka wamuue yeye

3.umeongelea kuhusu kujaza ndugu zake serikalini once again nakushauri nenda ukasome achana na habari za vijiweni.aliweka watu wa kabilA lake kAtika kikosi cha ulinzi wake binafsi na kumpa cheo ndugu yake mmoja kuwa general aliitwa gen nzimbi.emu nipe list ya hao ndugu zake uliowaona wewe serikalini .

4.umesema humu naandika sifa zake za ajabu.hujawai kuona nimeandika humu kuwa alinunua ndege kwa ajili ya Air zaire ndege kubwa nyingi ? Na ushahidi wA picha upo. Hujawahi kusoma nimesema alitoa pesa bure za kujikimu pamoja na chakula bure kwa wanachuo ? Hujawai kuona nimesema alijenga miundombinu ya umeme pale mto congo yenye uwezo wa ku supply africa nzima bila mApungufu ? Hujawai kusoma kuwa kipindi chake zaire ilikua na amani ?

Huyo nyerere
1.wanafunzi wa chuo kikuu alishindwa kuwasomesha bure na waliwahi kuandamana kuhusu chakula

2.nyerere wakati wake si ndio mlikula maindi ya ng'ombe wa marekani ? Si ndio mlivaa nguo zimechanika ? Si ndio aliwatoa mijini akawapeleka vijiji vya ujamaa ?

Umeongelea ukombozi wa Africa once again nakwambia go and read about mobutu
Alishiriki vita vya ukombozi wa chad na Angola pia wakati wa mauaji ya kimbali alituma walinzi wake binafsi wakalete amani rwanda. May i remind you kuwa hata asingefanya haya yote ya kusaidia ukombozi angekuwa sawa.jukumu la rais ni kuwaletea maendeleo watu wake sio kuwa na kiherehere kama cha mchonga kilichosababishia nchi vita na umasikini mkubwa.nimewahi kusoma mahali fulani kuwa hatukuwahi ku recover kabisa kutokana na gharama z vita ya kagera.

Nb
Nyerere hakuifanyia chochote Tanganyika cha kimaendeleo.aliiua Tanganyika ndio maana most of our elders hata humu JF waliishi maisha ya umasikini.wakati w Mobutu wazaire wengi hasa wa mijini waliishi vizuri
Japo Mobutu alichokosea aliijenga na akaibomoa zAire yeye mwenyewe.ila nyerere aliibomoA tanganyika

Pia siku nyingine uwe na kumbu kumbu kuwa kati ya mobutu na nyerere kuna mmoja alimuua PM wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku tukiwa tumeshuhudia uapishwaji wa mtoto wa tshisekedi kuwa rais wa congo. Ni vyema kujikumbusha baadhi ya mambo ya kiti cha urais wa congo

Aliwahi kuwepo kijana wa kwanza wa Marechal Mobutu Sese Seko aliyeitwa JEAN PAUL NIWA aliyeandaliwa na baba yake kuja kuwa rais wa pili wa zaire na wa tatu congo (baada ya kassavubu aliyekuwa wa kwanza,alifuata Mobutu )

Mobutu alimpenda sana Niwa si kwa vitendo tu bali hata maneno.katika moja ya barua mobutu aliyomtumia Niwa aliandika "kipenzi changu jean paul"

Bali na Mobutu kumuandaa Niwa kuiongoza Zaire pia alimuandaa kuwa mkuu wa ukoo na kiongozi wa familia,alimpa jukumu la kuifariji familia wakati wa matatizo ambapo Mobutu alikua mbali na nyumbani


Mobutu aliwahi kumshauri niwa katika moja ya barua alizomtumia
"Ninaamini sàsa upo katika umri wa kuelewa baadhi ya mambo,nakushauri kuwa makini sana na ndugu wa ukoo wetu maana wamekua wakitusaliti eitha moja kwa moja au kivingine, kuwa makini sana na mahusiano nao.

"Unachoona usoni kwa watu mara nyingi sio kilicho myoni mwAo"

Niwa kwa haraka haraka anaonekana Alikua kijana mstaarAbu aliyefuata nyayo za baba yake


KIFO
Matumaini ya Mobutu ya kuona mwanae akiiongoza Zaire yalikatishwa na kifo cha nyiwa mwanzoni mwa miaka ya 90
View attachment 1004662View attachment 1004663View attachment 1004664View attachment 1004667View attachment 1004668

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Lucas naona unampenda sana babu yako Mobutu Zabanga
 
Mkuu nakujibu kwa awamu
1.inflation unayoongelea wewe ilianza during the early 90's na moja ya sababu ni kushukà kwa thàmani ya madini dunian mfAno cobalt. Zaire ilikua na uchumi mzuri sana kabla ya hapo 1zairean shilling ilikua ni sawa na 2USD kipindi madini yalipokua na tthaman

2.umeongelea kuuwa ma waziri wake.kasome historia vizuri.mobutu hajawai kuuwa mawaziri wake bali aliagiza kuuwawa mawaziri wa serikali iliyopita ambao walipanga kumpindua na part of the plan walitaka wamuue yeye

3.umeongelea kuhusu kujaza ndugu zake serikalini once again nakushauri nenda ukasome achana na habari za vijiweni.aliweka watu wa kabilA lake kAtika kikosi cha ulinzi wake binafsi na kumpa cheo ndugu yake mmoja kuwa general aliitwa gen nzimbi.emu nipe list ya hao ndugu zake uliowaona wewe serikalini .

4.umesema humu naandika sifa zake za ajabu.hujawai kuona nimeandika humu kuwa alinunua ndege kwa ajili ya Air zaire ndege kubwa nyingi ? Na ushahidi wA picha upo. Hujawahi kusoma nimesema alitoa pesa bure za kujikimu pamoja na chakula bure kwa wanachuo ? Hujawai kuona nimesema alijenga miundombinu ya umeme pale mto congo yenye uwezo wa ku supply africa nzima bila mApungufu ? Hujawai kusoma kuwa kipindi chake zaire ilikua na amani ?

Huyo nyerere
1.wanafunzi wa chuo kikuu alishindwa kuwasomesha bure na waliwahi kuandamana kuhusu chakula

2.nyerere wakati wake si ndio mlikula maindi ya ng'ombe wa marekani ? Si ndio mlivaa nguo zimechanika ? Si ndio aliwatoa mijini akawapeleka vijiji vya ujamaa ?

Umeongelea ukombozi wa Africa once again nakwambia go and read about mobutu
Alishiriki vita vya ukombozi wa chad na Angola pia wakati wa mauaji ya kimbali alituma walinzi wake binafsi wakalete amani rwanda. May i remind you kuwa hata asingefanya haya yote ya kusaidia ukombozi angekuwa sawa.jukumu la rais ni kuwaletea maendeleo watu wake sio kuwa na kiherehere kama cha mchonga kilichosababishia nchi vita na umasikini mkubwa.nimewahi kusoma mahali fulani kuwa hatukuwahi ku recover kabisa kutokana na gharama z vita ya kagera.

Nb
Nyerere hakuifanyia chochote Tanganyika cha kimaendeleo.aliiua Tanganyika ndio maana most of our elders hata humu JF waliishi maisha ya umasikini.wakati w Mobutu wazaire wengi hasa wa mijini waliishi vizuri
Japo Mobutu alichokosea aliijenga na akaibomoa zAire yeye mwenyewe.ila nyerere aliibomoA tanganyika

Pia siku nyingine uwe na kumbu kumbu kuwa kati ya mobutu na nyerere kuna mmoja alimuua PM wake
Genius at work


Ukweli mchungu aise

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watoto wa kiume wote wa mke wa kwanza Mama Antoinnete walikufa wote. Nadhani walikuwa wanne wa kiume kati ya watoto tisa aliozaa na mke wake wa kwanza.
Naam,waliobaki Ni watoto wa kike tu,wanaishi ubelgiji,Pia mtoto wa kiume wa niwa anaishi mji wa Waterloo huko Belgique, nilikuwepo Huko mwaka Jana jijin Antwerp
 
Angekuepo leo sijui angejiskiaje
Alidai anafanya kazi ili aache historia yeye na wanae
Yaani alitamani nao waje kuwa watu fulani but saivi hakuna mwanae aliye kwenye siasa Active. Naskia hata nzaga (mtoto wa mke wa pil ) kakimbilia marekani

Watoto wake wana migogoro mpaka wameshindwa kumzikia congo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nina video ya mazishi ya mobutu huko morroco duh watu hawafiki hata 10,mkewe Bob lidawa anaonekana kuwa na wasiwasi mda wote,anazkwa haraka haraka
nashindwa ku appload hapa kwakuwa zipo YouTube
 
Uko sahihi mkuu
Hapo ndipo alikosea.
Kuhusu mabeberu pia upo sahihi.

Kuna siri alimpa bodyguard wAke mwaka 1997 baada ya kupinduliwa.waliongea wawili tu chumbani.mpaka leo sijaona mahali jamaa akiiongelea wazi alisema tu Mobutu alimwambia mengi ikiwapo hiyo siri ambapo Mobutu alitapeliwa/kuingizwa mkenge na mabeberu
Siku nikimpata jamaa nitamuuliza kama atasema nita share humu mazungumzo yao hayo ambayo Mobutu hakutaka watu wengine wayasikie akawafukuza

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh dunia Ina mambo
 
Back
Top Bottom