TANZIA Jecha Salim Jecha afariki dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Jeshi Lugalo

Kufuta kwake uchaguzi alisababisha watu wasio na hatia kupoteza maisha yao hasa kisiwani Pemba, historia itaendelea kumwandika hivyo na familia yake wataishi na tag hiyo, why he went so low katika maamuzi yake ili kuilinda ccm,na make things .more craze eti naye alichukua form ya kuomba Urais thr ccm!
 
Alizawadiwa mjengo wa Maana sana Kisaki ng'ambo ya reli baada ya alichokifanya 2015.

Mzee aliishia maisha kama ya digidigi, alikua anatoka usiku kwa kuotea otea wala hakuna mwanakijiji aliekua na time nae, ila hakuwahi kujiamini au maybe aliekewa masharti namna ya kuishi...

Lakini alikua vizuri upande wa ujasiriamali, tulinunua tilapia kutoka kwenye mabwawa yake. Tutamkumbuka.
 
Duh....mola amsamehe heh..
 
Watawala wasiotenda haki waelewe maisha haya yanapita tu. umepewa Maisha ya miaka michache hapa dunia itumie vizuri kutenda haki kwa wananchi waliokuchagua otherwise cheo chako kitakuwa laana na si baraka na vilio vya wananchi na haki zao vitakulilia na kukuandama hadi kaburini.
 
Mungu katimiza wajibu wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…