AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,102
Hii nchi ni mismanaged,there is no doubt about that.Na hili swala la viongozi kusema ,'' Nchi hii ni ya amani,siyo kama Somalia,siyo kama Libya'',hii ni makosa. Mtu anataka kujikosha kwa kuwachafua watu wengine. Inakuwa kama watu wengine hawana ruhusa kuwa na amani kwa sababu amani ni hati miliki ya Tanzania.
It is interesting to note kwamba siku moja kabla ya milipuko ya mabomu Mbagala,Rais Mwinyi alikuwa anasema,'' Tanzania ni nchi safi kabisa. Badala ya kuzalisha wakimbizi,yenyewe inapokea wakimbizi,inawapa hifadhi wakimbizi.'' Kesho yake Tanzania ilikuwa na wakimbizi elfu kadhaa,wamekwenda Uhuru Stadium. Halafu yule yule Waziri mhusika hakuulizwa swali lolote,badale yake nadhani amekuwa promoted,yupo sasa katika Kamati Kuu ya CCM. Ndiyo haya mambo yanayolete maandamano katika Nchi nyingi duniani. The Governments are not self-regulating themselves,wanasubiri mpaka watu waandamane. Ndiyo maana response to those demonstrations is very sluggish by the international community,kwa sababu those governments are suppossed to regulate themselves.
Marehemu Abdulrahaman Babu alihawai kusema[wakati alipokuwa hayupo Serikalini,wakati alipokuwa anaishi Ulaya na Marekani],kwamba,''Kama Tanzania haina vita, maendeleo yake yako wapi?''
Nimependa mtazamo wako... Lakini vita si suluhusho, tumeona nchi jirani ambazo zipo katika civil wars na they are not improving nor looking forward to improve.... Pia swala lakusema Tanzania ina amani hilo ni kweli kua kuna amani saaana compared na nchi nyingine hata wageni wana acknowledge hilo... Hio ya kusema Mwinyi aliongea na the next day kukawa na milipuko at least haikuwa deliberate kama nchi zingine... Kwanza tuache kujifananisha na nchi zingine kihali na viongozi, nafikiri imefika wakati wa GT kuanza kufananisha wanajamii wa nchi za wenzetu na wanajamii sisi.... Labda walau twaweza pata majibu ya kusuluhisha matatizo at least kama first stage...