Ndugu yangu, huu mpira wenu was takwimu una changamoto sehemu, we unaongelea karuhusu goli chache, vipi zile kosa kosa, tunakoswa koswa saana kwa uzembe, takwimu zisikuongopee, game ya jana chupuchupu iishe droo km sio manula kudaka kile kichwa cha mchezaji was dodoma jiji, game ingekuwa 2-2 ile, vipi game na platnum yule jamaa aliyebaki yeye na goli angefunga? Mchezo ungebadilika siku zile
Sisi hatutaki haya makosa ya kizembe tusubiri adui nae akosee ndio tuwe salama, hata msimu wa kuvuka makundi mpaka tunaingia makundi tulikuwa na rekodi nzuri kitakwimu km ulivyotoa ww, kipi kilitusibu wapinzanj walipoweza kubadili makosa yetu kuwa magoli?? Mwendo wa 5, 5.
Sent from my COR-AL10 using
JamiiForums mobile app