Utakuta hao wanaojifanya kusisitiza umuhimu wa chanjo hadi kuwafunga watu kiuonevu watoto wao wala hawachanji hizo chanjo! Wabongo tulivyo na roho mbaya hatuna moyo wa kulazimisha mtu hadi kufikia hatua ya kumfunga eti tu kwa vile amekataa kupewa kitu kizuri.
Ukiona mtu analazimisha kitu ujue hiko kitu kina mushkeli.
Ukiona mtu analazimisha kitu ujue hiko kitu kina mushkeli.