Hata Aslay nasikia nae ,mama watoto wake kachukuliwa na jembe ni jembe.Anaweza akahusika kama manager wake mpya
Huyo jamaa amewai kumpa wemasepetu BMW,wema akaitosa Nissan murano aliyonunuliwa na diamond...
Diamond akaamua kutoa ule wimbo ntampata wapi?
Kimsingi jembe ndio alimpora mondi wema tokea hapo mond akapata kichefu chefu
Una maana konde ana........?Anaweza akahusika kama manager wake mpya
Huyo jamaa amewai kumpa wemasepetu BMW,wema akaitosa Nissan murano aliyonunuliwa na diamond...
Diamond akaamua kutoa ule wimbo ntampata wapi?
Kimsingi jembe ndio alimpora mondi wema tokea hapo mond akapata kichefu chefu
Mkono sio lazima hisa hata kutoa ushauri pia ni mkopo ninda tcra katazame wamiliki sio unabwabwajaNa kwa taarifa tu radio ya jembe ni jembe kusaga hapo ana hisa zake na hata Rock city radio ana hisa zake pia.
Na kusaga mwenyewe alishasema radio nyingi za vijana mkono wake unahusika hapo.
msela NomaHata Aslay nasikia nae ,mama watoto wake kachukuliwa na jembe ni jembe.
Ko kusaga nae yupo kwenye hii race...ngoja tuoneNa kwa taarifa tu radio ya jembe ni jembe kusaga hapo ana hisa zake na hata Rock city radio ana hisa zake pia.
Na kusaga mwenyewe alishasema radio nyingi za vijana mkono wake unahusika hapo.
Skylight band owner inaelekea fitina anapenda sana maana alimbomoa Jide na Machozi band alimchukua Jonike Flower a yule dogo mwingine kwa kifupi band mzima.Dr Aeroplane?
Sikujua Kama jembe ni mmiliki was band ya skylightSkylight band owner inaelekea fitina anapenda sana maana alimbomoa Jide na Machozi band alimchukua Jonike Flower a yule dogo mwingine kwa kifupi band mzima.
Na ndinga akampaHata Aslay nasikia nae ,mama watoto wake kachukuliwa na jembe ni jembe.
Ndio mwenyewe(Mr Ndege) mkuu.Sikujua Kama jembe ni mmiliki was band ya skylight