Jembe ni Jembe na sakata la Hamornize kuhama WCB

Mkuu gharama ya kuendesha media ni kubwa sana achana na hizo za bakhresa ambazo zinaendeshwa kifamilia.
.
Huku mzigo wote mnambebesha Joe Kusaga ndio maana nikabaki mdomo wazi nashangaa shangaa tu anawezaje semeni ni share holder basi wengine watakuja kusema ni anashea Wasafi au jembe ila wataongeza yeye ndo mwenye hisa nyingi mimi nakimbilia kwenye magharama nabaki kutoa macho tu.
.
Nitakuja na mchanganuo wa gharama za uendeshaji wa tv kwa mwezi naamini tutajifunza kitu
 
Wema yuko wapi now na huyo Jembe wake ?

Inaonesha malipo ya kudanga sio mazuri.
 
Mrs Kusaga mdogo wasipokuelewa hadi sasa, watakuwa na shida mahali.
 
 
Umeongea point na kila kitu mkuu
 
Ongeza na Gerad Hando aliyekua power breakfast
 
ni kweli jembe ni jembe nae ni meneja wa harmo now
huko sudan walikuwepo wote,
pia hii ngoma iliyotoka juzi ya jamaa wa sudan john fogg alofanya na harmo story yao kabla ya kufanya ngoma inafurahisha sanaaa
 
Itategemea na utachagua liruke mara ngapi kwa siku mkuu, sisi tulitoa million 1 na laki nne kwa siku mbili na tulichaguwa vipindi vyenye wasikilizaji wengi si haba
.
Leo tena, na amplifier lakini XXL mkuu wanataka hela nyingi
nyie ni wajinga mnafikiri kusika redio tangazo lenu kutawanufaisah na nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…