Jemedari: Mpira wa Tanzania umejaa watu wajinga

Jemedari: Mpira wa Tanzania umejaa watu wajinga

Kwenye kura kuna waliokataa na walio kubali,siwezi kusema mashabiki wote ni wajinga, kwani wapo mashabiki wengi ambao hawakufurahishwa na alicho fanya Mangungu.

Mangungu kwangu ni mjinga japo kashinda,ila haiondoi kwamba hana strategy za mda mrefu kwa club yake na sijawahi kuona kuongozi yoyote akifanya kitu kama alichofanya Mangungu siku ya uchaguzi.

Mpira kweli ni muunganiko wa sehemu nyingi, viongozi,wachezaji,benchi la ufundi ,skauti nk ,ktk hiko kimoja kikilega kinaweza kikaimpact vitengo vyote. Kazi ipo kwa kuidentify kipi kina wasibu ila Mangungu nae ni sehemu ya tatizo.
Vipi kuhusu idara inahusika kusajili wachezaji pale Simba? Vipi anayetoa mpunga kusajili wachezaji huku hakuna shida so shida ipo kwa Mangungu tu?
 
Vipi ngoja nikuulize nani anayehusika na usajili pale Simba?
Mbona hujanibu........?

Siku ile ya uchaguzi Manzoki aliletwa na Mangungu au kamati ya usajili......?

Hapo ndipo ujue ule umaarufu alioupata kupitia uchaguzi,watu wana utumia ule ule kumpa lawama.
 
Mbona hujanibu........?

Siku ile ya uchaguzi Manzoki aliletwa na Mangungu au kamati ya usajili......?

Hapo ndipo ujue ule umaarufu alioupata kupitia uchaguzi,watu wana utumia ule ule kumpa lawama.
Unapokuwa unahitaji madaraka lazima upime akili za wapiga kura wako Mangungu kutumia hiyo kete kama sehemu ya kupata kura na imetick kosa sio lake wewe ulitakiwa umpime Mangungu baada ya kushinda uchaguzi nini kafanya na ukitaka kujua hao wanachama wa Simba hawajielewi tangu hiyo issue ya manzoki imepita muda gani mpaka izungumze sasa hivi baada ya kichapo cha Yanga na draw ya Namungo kutokea
 
Unapokuwa unahitaji madaraka lazima upime akili za wapiga kura wako Mangungu kutumia hiyo kete kama sehemu ya kupata kura na imetick kosa sio lake wewe ulitakiwa umpime Mangungu baada ya kushinda uchaguzi nini kafanya na ukitaka kujua hao wanachama wa Simba hawajielewi tangu hiyo issue ya manzoki imepita muda gani mpaka izungumze sasa hivi baada ya kichapo cha Yanga na draw ya Namungo kutokea
Kwa hiyo unataka kuniambia mashabiki wote ni wajinga?

Huoni kama ana uwezo wa kumfikia mchezaji na kumualika kwenye issues,binafsi huoni kama ana capability katika kufanya usajili wa mchezaji yoyote.
 
Kwa hiyo unataka kuniambia mashabiki wote ni wajinga?

Huoni kama ana uwezo wa kumfikia mchezaji na kumualika kwenye issues,binafsi huoni kama ana capability katika kufanya usajili wa mchezaji yoyote.
Pale anayehusika na usajili ni Try again na maamuzi mengi ya club yeye Ndio anafanya kwa niaba ya Mo dewji Ndio Maana nashangaa kwanini wanachama wamemganda Mangungu wakati nguvu ya kiti chake cha mwenyekiti ni ndogo
 
Pale anayehusika na usajili ni Try again na maamuzi mengi ya club yeye Ndio anafanya kwa niaba ya Mo dewji Ndio Maana nashangaa kwanini wanachama wamemganda Mangungu wakati nguvu ya kiti chake cha mwenyekiti ni ndogo
Hamna kitu kama hiko jamaa kajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe, so mashabiki nao wanaendelea kumkaanga kwa mafuta hao hayo.
 
Unapokuwa unahitaji madaraka lazima upime akili za wapiga kura wako Mangungu kutumia hiyo kete kama sehemu ya kupata kura na imetick kosa sio lake wewe ulitakiwa umpime Mangungu baada ya kushinda uchaguzi nini kafanya na ukitaka kujua hao wanachama wa Simba hawajielewi tangu hiyo issue ya manzoki imepita muda gani mpaka izungumze sasa hivi baada ya kichapo cha Yanga na draw ya Namungo kutokea
Umeongea facts kabisa.... mangungu alitumia manzoki kupata cheo
 
Back
Top Bottom