Leo ndio nimeona sura dhahiri ya Jemedari Said ni mtu mwenye wivu na roho yenye chuki kali sana kwa watu anaohisi wana utofauti na mitazamo yake.
Hii imetokea leo muda wote alikua kimya hata pale yaliposemwa maneno ya hekima na yanayohitaji kuungwa mkono yeye alichagua kuchuna.
Ila kwenye inshu ya Fei Toto iliposemwa kalipuka kama mwehu kwa furaha ikionesha dhahiri kwamba anayo maslahi kwenye hili.
Hii imetokea leo muda wote alikua kimya hata pale yaliposemwa maneno ya hekima na yanayohitaji kuungwa mkono yeye alichagua kuchuna.
Ila kwenye inshu ya Fei Toto iliposemwa kalipuka kama mwehu kwa furaha ikionesha dhahiri kwamba anayo maslahi kwenye hili.