Jemedari Said ni aina ya watu wenye chuki na wivu mbaya

Jemedari Said ni aina ya watu wenye chuki na wivu mbaya

Mashabiki wa Yanga level ya roho mbaya mliofikia ni ya kichawi, na mnachuki ya ajabu.

Juzi tu hapa jemedari alikomaa na issue ya chama mpaka amepewa adhabu lakini mashabiki wa Simba wala hawajapiga kelele, ila nyinyi mnataka kusifiwa mda wote mkikoselewa tu inakuwa shida, mnajihisi inferiority.
Yeye anakomaa kama nani? ina maana TFF walimuadhibu Chama kisa kazumari?
 
Mkuu Right eye
ulichokiandika ndicho nami
nilichokiona. Muda wote hakuonesha
kuunga mkono kilichozungumzwa.

Muda wote kanuna lakini lilipozungumzwa suala la Fei
alisimama na kupiga makofi na kushangilia.

Jamaa alishindwa kabisa kujificha. Subiri kwenye Instagram yake kesho
akitoa maelekezo meeengi kwa Kambi yake huku akiwananga viongozi wa Yanga.
Ambacho huelewi kuhusu mkubwa jemedari ni kwamba yule jamaa huwa hana mbambamba,yaani ni kanyooka mpaka basi..ndo mana kwenye jambo la chama kumsinya mchezaji wa ruvu shooting alilivalia njuga mpaka chama kafungiwa mechi 3 na faini na jiwe tano juu..so jamaa huwa anadai haki tu ndo alivyo so mumzoee tu nyie msiopenda haki.
 
Leo ndio nimeona sura dhahiri ya Jemedari Said ni mtu mwenye wivu na roho yenye chuki kali sana kwa watu anaohisi wana utofauti na mitazamo yake.

Hii imetokea leo muda wote alikua kimya hata pale yaliposemwa maneno ya hekima na yanayohitaji kuungwa mkono yeye alichagua kuchuna.

Ila kwenye inshu ya Fei Toto iliposemwa kalipuka kama mwehu kwa furaha ikionesha dhahiri kwamba anayo maslahi kwenye hili.
huyu ana njaa sana,unajua analipwa kwa siku yaani mpaka afike efm ndio analipwa
 
Ama kweli nimeamini Tanzania kuna MAJUHA mengi kuliko timamu.

YANI nchi Bado Ina kabiliwa na WAPUMBAVU wengi sana.

ADUI.
UmasikinI.
UJINGA.
Maradhi Bado Wana tutesa sana WATANZANIA.


WAZAZI JITAHIDINI KUWASOMESHA WATOTO WENU.
Palipoandikwa Tanzania au Nchi pangeandikewa Yanga...
 
Nyinyi mna waandishi wamejaa kwenye magazeti na radio ila husikii Simba akilalamika kama juzi gazeti la mwanaspoti linaishauri yanga wakamsajili Kanoute mkataba wake umeisha lakini SI viongozi Wala washabiki wa Simba waliolalamika
 
Leo ndio nimeona sura dhahiri ya Jemedari Said ni mtu mwenye wivu na roho yenye chuki kali sana kwa watu anaohisi wana utofauti na mitazamo yake.

Hii imetokea leo muda wote alikua kimya hata pale yaliposemwa maneno ya hekima na yanayohitaji kuungwa mkono yeye alichagua kuchuna.

Ila kwenye inshu ya Fei Toto iliposemwa kalipuka kama mwehu kwa furaha ikionesha dhahiri kwamba anayo maslahi kwenye hili.
nzala inamsumbua
 
Leo ndio nimeona sura dhahiri ya Jemedari Said ni mtu mwenye wivu na roho yenye chuki kali sana kwa watu anaohisi wana utofauti na mitazamo yake.

Hii imetokea leo muda wote alikua kimya hata pale yaliposemwa maneno ya hekima na yanayohitaji kuungwa mkono yeye alichagua kuchuna.

Ila kwenye inshu ya Fei Toto iliposemwa kalipuka kama mwehu kwa furaha ikionesha dhahiri kwamba anayo maslahi kwenye hili.
Hivi huyu jamaa elimu yake ikoje
 
Nikisemaga kuwa Uto hawamiliki kitu kinachoitwa AKILI TIMAMU mnaonaga nawaonea
 
Nyinyi mna waandishi wamejaa kwenye magazeti na radio ila husikii Simba akilalamika kama juzi gazeti la mwanaspoti linaishauri yanga wakamsajili Kanoute mkataba wake umeisha lakini SI viongozi Wala washabiki wa Simba waliolalamika
Sasa hapo ulitaka walalamike nini?
 
Back
Top Bottom