Jemedari Said ni mmoja wa wachambuzi ambao hupaswi kupoteza muda wako kuwasikiliza mwaka 2024

Umechelewa sana hakuna mchambuzi pale, yule hata mimi tu tukiwekwa pamoja mezani tuchambue mechi kiufundi namshinda.yule ni mtopokaji tu akijifichia kwenye misimamo ya kipumbavu
 
Jemedari yeye anaongeleaga mambo ya nje ya uwanja na huwa haongelei zile dk 90 za uwanjan sasa mnamuitaje mchambuzi?

Mchambuzi ni yule anaongelea mpira zile dk 90 za mechi, anachambua mbinu, udhaifu na vinginevyo mfano mzuri wa mchambuzi hapa bongo ni ambagile
 
Kifupi kusikiliza vpindi vya michezo bongo ni kupoteza muda
 
Alimkomalia Karia siku mbili mfululizo aliposema ligi kuu ilikuwa si lolote si chochote kabla ya ujio wa azam tv.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…