Jemedari Said: Simba anacheza mashindano bora kuliko Yanga, Magoli yake yana thamani kubwa kuliko ya Yanga

Jemedari Said: Simba anacheza mashindano bora kuliko Yanga, Magoli yake yana thamani kubwa kuliko ya Yanga

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Mchambuzi mahiri wa michezo nchini, Jemedari Said amesema Simba na Yanga wanacheza mashindano yenye ubora tofauti, Simba ligi ya mabingwa Afrika, na Yanga kombe la Shirikisho.

Kutokana na kutofautiana ubora kufunga goli kwenye ligi ya mabingwa ni vigumu zaidi kuliko Shirikisho hivyo magoli ya Simba yalipaswa kuthaminiwa zaidi kuliko ya Yanga na sio kupewa thamani ya milioni 5 yote.

Jamaa kasema timu zinazofanya vibaya Champions League (mfano Yanga na TP Mazembe) hupelekwa kucheza Shirikisho kitu ambacho kinathibitisha utofauti wa ubora.
 
Mchambuzi mahiri wa michezo nchini, Jemedari Said amesema Simba na Yanga wanacheza mashindano yenye ubora tofauti, Simba ligi ya mabingwa Afrika, na Yanga kombe la Shirikisho

Kutokana na kutofautiana ubora kufunga goli kwenye ligi ya mabingwa ni vigumu zaidi kuliko Shirikisho hivyo magoli ya Simba yalipaswa kuthaminiwa zaidi kuliko ya Yanga na sio kupewa thamani ya milioni 5 yote

Jamaa kasema timu zinazofanya vibaya Champions League (mfano Yanga) hupelekwa kucheza Shirikisho kitu ambacho kinathibitisha utofauti wa ubora
TAAHIRA huyo. Anadhani timu alizopangiwa YANGA ingepangiwa timu lake bovu na kinyume chake angetoboa?
Labda wangemfunga yule ZALAN tu hata haya MAKUNDI YA LUZA wasingefika.
 
Jamani hata cha kupewa na chenyewe tunakilalamikia,Wakati Mh.Rais katoa kwa Upendo wake tu angetaka asingetoa hamna sheria inayombana na hata asingetoa mngecheza tu mashindano.!
 
Mchambuzi mahiri wa michezo nchini, Jemedari Said amesema Simba na Yanga wanacheza mashindano yenye ubora tofauti, Simba ligi ya mabingwa Afrika, na Yanga kombe la Shirikisho

Kutokana na kutofautiana ubora kufunga goli kwenye ligi ya mabingwa ni vigumu zaidi kuliko Shirikisho hivyo magoli ya Simba yalipaswa kuthaminiwa zaidi kuliko ya Yanga na sio kupewa thamani ya milioni 5 yote

Jamaa kasema timu zinazofanya vibaya Champions League (mfano Yanga) hupelekwa kucheza Shirikisho kitu ambacho kinathibitisha utofauti wa ubora
Tatizo huyo jamaa ni Polisi wa Zenji
 
Ukweli ni kwamba mashindano ya mabingwa ni magumu kuliko shirikisho.
Na sababu iko wazi: ukikwama mabingwa unaingizwa shirikisho
Shida yake huyo huyo ungemsikiliza juzi Simba walivyocheza na vipers alichokiongea na leo ni vitu viwili tofauti..kama ameiona Simba kama alivyoiona anataka waongezewe hela za nini?
 
Shida yake huyo huyo ungemsikiliza juzi Simba walivyocheza na vipers alichokiongea na leo ni vitu viwili tofauti..kama ameiona Simba kama alivyoiona anataka waongezewe hela za nini?
Alisema Simba haichezi kama ilivyozoeleka kucheza
 
Sasa yanga mnapanic nini, mbona amezungumza ukweli tu, utopolo champions league ili wapalia mkaangukia kwa malosers, sasa iweje magoli yetu yapewe thamani sawa, hii sio haki.

NB: 7 points obtained in cafcc equals to 2 points in cafcl .. famasiala nini
 
Back
Top Bottom