Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Mchambuzi mahiri wa michezo nchini, Jemedari Said amesema Simba na Yanga wanacheza mashindano yenye ubora tofauti, Simba ligi ya mabingwa Afrika, na Yanga kombe la Shirikisho.
Kutokana na kutofautiana ubora kufunga goli kwenye ligi ya mabingwa ni vigumu zaidi kuliko Shirikisho hivyo magoli ya Simba yalipaswa kuthaminiwa zaidi kuliko ya Yanga na sio kupewa thamani ya milioni 5 yote.
Jamaa kasema timu zinazofanya vibaya Champions League (mfano Yanga na TP Mazembe) hupelekwa kucheza Shirikisho kitu ambacho kinathibitisha utofauti wa ubora.
Kutokana na kutofautiana ubora kufunga goli kwenye ligi ya mabingwa ni vigumu zaidi kuliko Shirikisho hivyo magoli ya Simba yalipaswa kuthaminiwa zaidi kuliko ya Yanga na sio kupewa thamani ya milioni 5 yote.
Jamaa kasema timu zinazofanya vibaya Champions League (mfano Yanga na TP Mazembe) hupelekwa kucheza Shirikisho kitu ambacho kinathibitisha utofauti wa ubora.