Jemedari Said: Simba anacheza mashindano bora kuliko Yanga, Magoli yake yana thamani kubwa kuliko ya Yanga

Jemedari Said: Simba anacheza mashindano bora kuliko Yanga, Magoli yake yana thamani kubwa kuliko ya Yanga

Alisema Simba haichezi kama ilivyozoeleka kucheza
Aliiponda na kusema maneno ya kejeli kwa watu waliopambana na kupata magoli away na home...bora angeishia kusema inacheza isivyozoeleka...
 
1)Ukiwa wa nne kwenye club bingwa ranking unapewa 1 inazidishwa na coefficient ya mwaka husika 5. 1x5=5

2)ukiwa wa nne kwenye kundi shirikisho unapewa 0.5 zidisha na coefficient ya mwaka husika 5. 0.5x5=2.5

Hiyo inakuwa ndio nyongeza ya point kwenye CAF 5 YEAR RANKING.


3) Summary.
(1,2,3,4 ) times 5 kwenye club bingwa

Simba akimaliza wa pili ni 3x5=15 gain in ranking points

(0.5,1,2,3) times 5 kwa shirikisho
Yanga akimaliza wa pili 2x5=10 gain in ranking points

CAF wenyewe wanalitambua hilo kuwa ugumu unatofautiana
 
We unanonaje?
Ni swala la mimi kuona au ni rekodi tu zinavyosema, kwamba Vipers alimtoa Mazembe ndio akatupwa huko shirikisho?

Hivi Yanga walicheza Shirikisho kwa kupenda au walitupwa baada ya kufeli?
 
Aliiponda na kusema maneno ya kejeli kwa watu waliopambana na kupata magoli away na home...bora angeishia kusema inacheza isivyozoeleka...
Wewe mwenyewe umeridhika na hii Simba ya sasa inavyocheza?

Au hata timu ikicheza vibaya tuisifie kinafiki?
 
Kwa hiyo mashindano ya shirikisho ni magumu zaidi ya Champions league?
Some times yes some times no. It will depend na timu utakazo kutana nazo.
Unataka kuniambia Vipers na Simba ni bora kuliko Pyramids, AS Far na Rivers?. Baadhi ya wakati tuache ushabiki.
 
Ni swala la mimi kuona au ni rekodi tu zinavyosema, kwamba Vipers alimtoa Mazembe ndio akatupwa huko shirikisho?

Hivi Yanga walicheza Shirikisho kwa kupenda au walitupwa baada ya kufeli?
Kwahiyo kumtoa mazembe ndo ubora wamashindano?

Kuna ubora wa mashindano na ubora wa timu hivi vitu havifanani.

Unapimaje ubora? Kwamba timu Bora huwa hautakiwi kufungwa?

Je vipers alimfunga magoli mangapi Tp mazembe?
 
Some times yes some times no. It will depend na timu urakazo kutana nazo.
Unamtaka kuniambia Vipers na Simba ni bora kuliko Pyramid na Rivers?. Baadhi ya wakati tuache ushabiki.
Hakuna cha Sometimes yes or no, Timu zote zilizopo Shirikisho zilifanya vibaya kuliko zilizopo Champions

Utafananisha Pyramids na Al Ahly yupi bora zaidi? Au Rivers na Mamelodi? Vipers na Mazembe?
 
Kwahiyo kumtoa mazembe ndo ubora wamashindano?

Kuna ubora wa mashindano na ubora wa timu hivi vitu havifanani.

Unapimaje ubora? Kwamba timu Bora huwa hautakiwi kufungwa?

Je vipers alimfunga magoli mangapi Tp mazembe?


Timu zilizopo Shirikisho ni zile zilizoshika nafasi za chini kwenye mashindano ya kwenye ligi zao ama ni zile zilizofanya vibaya Champions League, hilo halikupi picha kuwa ubora ni tofauti?
 
Hakuna cha Sometimes yes or no, Timu zote zilizopo Shirikisho zilifanya vibaya kuliko zilizopo Champions

Utafananisha Pyramids na Al Ahly yupi bora zaidi? Au Rivers na Mamelodi? Vipers na Mazembe?
Hapo kwenye yupi bora zaidi ndipo ninapopataka.

Aliebora zaidi sehemu aliyopo ndie husonga mbele.
Lakini haina maana aliesonga mbele kwenye sehemu nyengine ni bora kuliko huyo aliekosa nafasi kwa huyu wa kwanza.
Ni Kama zile nafasi za wanawake Chuo kikuu sio wote wale waliwashinda wanaume.

Inategemea uliibuliwa katika kapu gani lenye ushindani gani.
 
Timu zilizopo Shirikisho ni zile zilizoshika nafasi za chini kwenye mashindano ya kwenye ligi zao ama ni zile zilizofanya vibaya Champions League, hilo halikupi picha kuwa ubora ni tofauti?
Kwa muktadha huo wewe ulishika nafasi ya ngapi kwenye ligi yako?
 
Wewe mwenyewe umeridhika na hii Simba ya sasa inavyocheza?

Au hata timu ikicheza vibaya tuisifie kinafiki?
Nacho jaribu kusema hapa kama Simba ni mbaya? Basi na magoli yake ni mabaya...tusiwe wanafiki pote pote..
 
Soma hapo juu utaelewa hoja yake ni nini sasa
Ana hoja mbili. Ya kwanza kombe analocheza Yanga ni dogo ikazaa hoja ya pili ya thamani ya kila goli. Ipi haina mashiko?
 
Shida yake huyo huyo ungemsikiliza juzi Simba walivyocheza na vipers alichokiongea na leo ni vitu viwili tofauti..kama ameiona Simba kama alivyoiona anataka waongezewe hela za nini?
Pimbi tu huyo.
 
Ana hoja mbili. Ya kwanza kombe analocheza Yanga ni dogo ikazaa hoja ya pili ya thamani ya kila goli. Ipi haina mashiko?
Vigezo vipi unatumia kupata thamani ya goli? Na ni vigezo vilivyo thibitishwa na FIFA au mtu anajiamulia tu?

Udogo wa mashindano unapimwa kwa nini?
 
Back
Top Bottom