Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Huyo jamaa ni kama anatafutaga aongelewe tuHuyo nae ni bendera fata upepo
TAAHIRA huyo. Anadhani timu alizopangiwa YANGA ingepangiwa timu lake bovu na kinyume chake angetoboa?Mchambuzi mahiri wa michezo nchini, Jemedari Said amesema Simba na Yanga wanacheza mashindano yenye ubora tofauti, Simba ligi ya mabingwa Afrika, na Yanga kombe la Shirikisho
Kutokana na kutofautiana ubora kufunga goli kwenye ligi ya mabingwa ni vigumu zaidi kuliko Shirikisho hivyo magoli ya Simba yalipaswa kuthaminiwa zaidi kuliko ya Yanga na sio kupewa thamani ya milioni 5 yote
Jamaa kasema timu zinazofanya vibaya Champions League (mfano Yanga) hupelekwa kucheza Shirikisho kitu ambacho kinathibitisha utofauti wa ubora
Na ikijadiliwa hoja yake na kuachana na mleta hoja? Ameongea uongo au kweli?Huyo jamaa ni kama anatafutaga aongelewe tu
Hoja yake Haina mashikoNa ikijadiliwa hoja yake na kuachana na mleta hoja? Ameongea uongo au kweli?
Sehemu gani? Kuwa shirikisho ni kombe dogo na Yanga aliingia baada ya kushindwa au m5 kwa kila goli?Hoja yake Haina mashiko
Soma hapo juu utaelewa hoja yake ni nini sasaSehemu gani? Kuwa shirikisho ni kombe dogo na Yanga aliingia baada ya kushindwa au m5 kwa kila goli?
Ugumu pia unategemea na kundi ulilopo na ubora wa timu yako.Ukweli ni kwamba mashindano ya mabingwa ni magumu kuliko shirikisho.
Na sababu iko wazi: ukikwama mabingwa unaingizwa shirikisho
Tatizo huyo jamaa ni Polisi wa ZenjiMchambuzi mahiri wa michezo nchini, Jemedari Said amesema Simba na Yanga wanacheza mashindano yenye ubora tofauti, Simba ligi ya mabingwa Afrika, na Yanga kombe la Shirikisho
Kutokana na kutofautiana ubora kufunga goli kwenye ligi ya mabingwa ni vigumu zaidi kuliko Shirikisho hivyo magoli ya Simba yalipaswa kuthaminiwa zaidi kuliko ya Yanga na sio kupewa thamani ya milioni 5 yote
Jamaa kasema timu zinazofanya vibaya Champions League (mfano Yanga) hupelekwa kucheza Shirikisho kitu ambacho kinathibitisha utofauti wa ubora
Nimeacha kuwasikiliza hawa wanaoitwa wachamvuziHuyo jamaa ni kama anatafutaga aongelewe tu
Shida yake huyo huyo ungemsikiliza juzi Simba walivyocheza na vipers alichokiongea na leo ni vitu viwili tofauti..kama ameiona Simba kama alivyoiona anataka waongezewe hela za nini?Ukweli ni kwamba mashindano ya mabingwa ni magumu kuliko shirikisho.
Na sababu iko wazi: ukikwama mabingwa unaingizwa shirikisho
Kwa hiyo mashindano ya shirikisho ni magumu zaidi ya Champions league?TAAHIRA huyo. Anadhani timu alizopangiwa YANGA ingepangiwa timu lake bovu na kinyume chake angetoboa?
Labda wangemfunga yule ZALAN tu hata haya MAKUNDI YA LUZA asingefika.
Alisema Simba haichezi kama ilivyozoeleka kuchezaShida yake huyo huyo ungemsikiliza juzi Simba walivyocheza na vipers alichokiongea na leo ni vitu viwili tofauti..kama ameiona Simba kama alivyoiona anataka waongezewe hela za nini?
Kwamba Vipers na mazembe ni timu ipi ngumu?Ugumu pia unategemea na kundi ulilopo na ubora wa timu yako.