Jemedari Said wa EFM: Gael Bigirimana hakuwahi Kucheza Ligi Kuu ya Uingereza, wana Yanga SC walidanganywa pakubwa

Pumba kaandika mtoa mada ila aibu naona mimi.

Nje ya mada: hivi Mtoa mada huwaga ni me au ke?
 
Basi sawa.
Kocha wa simba aelekea Brazil kuhani msiba wa Pele ambaye alikua ni mtu wake wa karibu sana yani family friend kabisa yani.
 
Waliokuzaa hawana Pumba nyingi?
Hivi hujistukii jf yote kila mtu ana kupinga KWA sababu unaandika.pumba kwann usibadilike uanze kuandika vitu vyenye kueleweka watu wanao kupinga humu they are not personal wanapinga uharo unao andika
 
Hi kwani lazima kuongea. Ona aibu uliyoipata sasa bora ungekaa kimya. Unasababisha wote waliyopitia SAUT wadharaulike kwa kukurupuka kwako.
🤣🤣🤣🤣 kaka madogo wa sauti siku zote much know🤣🤣🤣🤣Sijui wangesoma vyuo vyetu tulivyopitia ingekuaje
 
Hivi hujistukii jf yote kila mtu ana kupinga KWA sababu unaandika.pumba kwann usibadilike uanze kuandika vitu vyenye kueleweka watu wanao kupinga humu they are not personal wanapinga uharo unao andika
Sasa kama kumbe umeshajua kuwa naandika Pumba Nyege zako Mshindo zote hizi Kwangu GENTAMYCINE zinatoka wapi?

Ningekuwa sina la maana Kwako / Kwenu Matahaaira na Majuha kama nyie ( Wewe ) ukiwa Kinara wao ungekuwa Unanisoma 24/7 hapa JamiiForums?
 
🤣🤣🤣🤣 kaka madogo wa sauti siku zote much know🤣🤣🤣🤣Sijui wangesoma vyuo vyetu tulivyopitia ingekuaje
Sasa kama huna / hauna Akili ni Taahira na Juha kama ulivyo utawezaje kuwa Much Know ( Mjuaji ) kama Mimi GENTAMYCINE?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…