Jenerali Kayumba Nyamwasa anusurika kifo, Kagame anazidi kumwandama?

Jenerali Kayumba Nyamwasa anusurika kifo, Kagame anazidi kumwandama?

Idi Amin pamoja na ukatili wake lakini ulikuwa ukishakimbia nchi alikuwa hana shida na wewe tena.

Lakini hii ya Kagame kuwawinda maadui zake hadi nje na kuwaulia huko inaonyesha ni kwa kiasi gani Kagame alivyo dikteta muoga kupindukia.

Anajifanya kaleta mageuzi makubwa nchini mwake sasa kwa nini anaogopa hivyo wananchi wake?

Hawezi kujifunza kwa Magufuli ambaye pamoja na kuwa na ulinzi mkali kushinda waliowahi kuwa marais wa nchi hii lakini bado alikufa kiofisa na tai shingoni tena kirahisi kabisa.

Kagame anajidanganya tu siku zake zipo zinakuja ataiacha Rwanda apende asipende. Namshauri Gen Kayumba Nyamwasa aondoke SA atafute hifadhi ya kuaminika Ulaya au Marekani ambapo Kagame anaogopa hawezi kupeleka ugaidi wake huko kwani hawatamuacha.

Hao walinzi wake wa SA ni bogus Kagame anawanunua tu kirahisi kama mtumba.
Hivi leo mkuu wa majeshi ya Tanzania akiikimbia nchi akaenda S/Africa akaunda na kikosi Chake Cha waasi Congo,Tz itamuacha aishi?
 
Hivi leo mkuu wa majeshi ya Tanzania akiikimbia nchi akaenda S/Africa akaunda na kikosi Chake Cha waasi Congo,Tz itamuacha aishi?
Afrika inatakiwa watambue kwamba chanzo cha matatizo haya yote ni utawala wa kiimla. Kama tawala hizi za kidhalimu zitaendelea kuwepo katika bara hili la giza, akina Kagame wa leo na wajao hawatakuwa salama.
 
Kwa maisha aliyoyaishi Kagame ukimletea hizo story za sijui firauni hawezi hata kukuelewa.
Hawezi kuelewa vipi ikiwa firaun kazi yake ilikuwa kuua watoto wakiume akijua watakuja kuupinga utawala wake...! Ndiyo humo humo anapita Kagame kuua Wananchi Wanaopinga Utawala Wake
 
Hawezi kuelewa vipi ikiwa firaun kazi yake ilikuwa kuua watoto wakiume akijua watakuja kuupinga utawala wake...! Ndiyo humo humo anapita Kagame kuua Wananchi Wanaopinga Utawala Wake
Ndipo hapo Sasa utajui hujui mzee baba
 
[emoji1][emoji1] Ndio wachambuzi wetu hao wa mambo ya kiusalama.

Thread ya 2014 yeye katwanga maoni hadi ya msumbiji kapiga na maneno mawili matatu ya kiingereza basi anaona yuko deep kama kusoma tarehe tu ni shida atatueleza nini sisi
 
Thread ya 2014 yeye katwanga maoni hadi ya msumbiji kapiga na maneno mawili matatu ya kiingereza basi anaona yuko deep kama kusoma tarehe tu ni shida atatueleza nini sisi
hahah hao Ni wale watu dizaini za we weka kichwa Cha habari tu afu story ntakuja nayo mwenyewe.
 
Back
Top Bottom