Jenerali Kayumba Nyamwasa anusurika kifo, Kagame anazidi kumwandama?

Jenerali Kayumba Nyamwasa anusurika kifo, Kagame anazidi kumwandama?

that's because its hard to kill 0ver 80% of the population without the world knowing! Hapo tu mmeua a few millions tayari dunia inajua na mnaweweseka.

Its not hard. You killed more than 80% of our people and you will never get away from it. Dimwit.
 
Its not hard. You killed more than 80% of our people and you will never get away from it. Dimwit.

wow! i can't even argue with that, 80% of tutsis were wiped in just 100 days, wow!, and then a person who supposedly achieved that is supposedly a dimwit? i wonder what would have happened if the accused were intelligent, 100% no?
 
wow! i can't even argue with that, 80% of tutsis were wiped in just 100 days, wow!, and then a person who supposedly achieved that is supposedly a dimwit? i wonder what would have happened if the accused were intelligent, 100% no?

Oooooh....so you mean the dimwit also participated in the killings? And that justifies your intelligence? Wow! At least you are beginning to reveal yourself.
 
Oooooh....so you mean the dimwit also participated in the killings? And that justifies your intelligence? Wow! At least you are beginning to reveal yourself.

you don't know the meaning of the word supposedly do you? should i translate it in chinyarwanda? ooh wait, you don't know that language too!
 
Hawa jamaa ni JASUSI la kimataifa, tena baadhi ya mafunzo ameyapatia hapa Tz. Tangu wamuue Prof. Juan Timoth Mwaikuwa aliyekuwa wakili wa utetezi wa baadhi ya watu waliohusishwa na mauaji ya kimbari huko Rwanda, inaonyesha jinsi gani pia wanavyojua kufanikisha shughuli zao za kijasusi kwa ustadi mkubwa. Hawa jamaa waliingia hadi Dar nyumbani kwa huyu Prof (RIP), wakammiminia risasi na wakaondoka bila kushikwa na yeyote.



Awali iliripotiwa kuwa Rais Jakaya Kikwete alitarajiwa kushiriki kwenye mazishi ya Mwaikusa, ambaye amefanya kazi ya uhadhiri mwandamizi wa Kitivo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa muda mrefu.

Kutoonekana kwa viongozi wa serikali kwenye mazishi yake kumeshtua wengi, hasa baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani waliofika nyumbani kwa Profesa Mwaikusa kuhudhuria mazishi yake


Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, alisema ameshangazwa kwa hatua ya serikali kushindwa kuhudhuria mazishi ya Profesa Mwaikusa, kwani ameuawa akiwa bado mtumishi wa serikali.

“Kwanza ukiangalia tukio zima, si rahisi kukwepa kuhudhuria mazishi ya Profesa Mwaikusa, pia alikuwa mfanyakazi wa serikali hadi mauti yalipomfika, iweje sasa hawa wenzetu wa serikali washindwe kuhudhuria shughuli hii muhimu?” alihoji Profesa Lipumba.

Alisema umakini wa Profesa Mwaikusa katika utendaji kazi enzi za uhai wake, kumesaidia nchi kupiga hatua kwenye mambo mbalimbali, hivyo serikali kushidwa kuhudhuria mazishi yake ni jambo la kushangaza.

Naye Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, alisema hakutarajia kutowaona viongozi wa serikali katika mazishi ya msomi huyo, kwani kwa namna moja au nyingine wanahusika na mauaji yake.

“Hawawezi kuja hapa, yeye ndiye alishiriki katika kesi ya mgombea binafsi, na hawa ndio waliohusika na mauaji yake,” alisema Mchungaji Mtikila bila kufafanua.
Mhadhiri Mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Issa Shivji, alisema haijawahi kutokea kwa serikali kushindwa kuleta hata mwakilishi wake kwa msiba wa aina hiyo, hasa ukizingatia kuwa Profesa Mwaikusa alikuwa mfanyakazi wa serikali.

Source: Tanzania Daima
 
Tatizo hapo ni idara ya kintelijensia ya Afrika kusini pamoja na wizara ya mambo ya ndani - aidha wahusika ni wazembe sana au kikosi kilicho wekwa na Serikali ya Afrika Kusini kumlinda Nyamwasa 24X7 inaelekea majasusi wa Rwanda walifanikiwa kuwa compromise makamanda wa ulinzi kwa kuwaonga fedha lukuki ili wasiingilie kati wakati makomando wa Rwanda wanavamia nyumba anayo ishi Nyamwasa, si unajuwa tena Polisi wa Afrika kusini njaa kali - ukitanguliza rupia utapeta tu bila ya kizuizi.

Kitu kingine cha kujiuliza kwa nini attempt ya kumtoa pumzi Nyamwasa imetekelezwa wakati Rwanda imepeleka majeshi yake huko Msumbiji - kwani kuna umbali gani kutoka Msumbiji kwenda Afrika Kusini ni karibu sana hivyo ni rahisi jamaa hawa kupenyeza kikosi chao maalumu kwenda Afrika kusini kumumaliza Nyamwasa wakishirikiana/ongozwa bila shaka na sleeper cell ya Rwanda iliyopo ndani ya Afrika kusini kwa muda mrefu ifatilia nyenendo za Nyamwasa, nashangaa yeye kama mwanajeshi kwa nini anakuwa so slipy and naive anashindwa kushtukia vitu kama hivyo anaendekea kuishi Afconsequently
of all places!!

Nyamwasa should remember kwamba he won't be so lucky next time, consequently this should serve as a wake up call 4 Nyamwasa kwamba salama yake itatokana na yeye kufanya uhamuzi kuhamia Uingereza kama mkimbizi wa kisiasa - Uingereza ndilo Taifa lenye vyombo vya usalama wa Taifa ambavyo ni moto wa kuotea mbali.

(Kitu kingine cha kujiuliza kwa nini attempt ya kumtoa pumzi Nyamwasa imetekelezwa wakati Rwanda imepeleka majeshi yake huko Msumbiji - kwani kuna umbali gani kutoka Msumbiji kwenda Afrika Kusini ni karibu sana hivyo ni rahisi jamaa hawa kupenyeza kikosi chao maalumu kwenda Afrika kusini kumumaliza Nyamwasa wakishirikiana/ongozwa bila shaka na sleeper cell ya Rwanda iliyopo ndani ya Afrika kusini kwa muda mrefu ifatilia nyenendo za Nyamwasa, nashangaa yeye kama mwanajeshi kwa nini anakuwa so slipy and naive anashindwa kushtukia vitu kama hivyo anaendekea kuishi Afconsequently
of all places!!)

Wachambuzi wetu wa mambo ya kiusalama wa uongo na kweli mna shida sana,habari ya 2014 hii lkn kwa kutokusoma kwako unai relate na Majeshi ya Rwanda yaliyopelekwa Mozambique 2021.
 
Hata mimi nimeshangaa.Jamaa kwakwel ka proov uvivu wa hali ya juu saana kujisomea.
Kaona kichwa cha habar kaanza kutema cheche [emoji23][emoji23]

Hahaha wanasemaga wabongo tupe tu kichwa cha habari story tutatunga wenyewe tu mkuu.
 
Tatizo hapo ni idara ya kintelijensia ya Afrika kusini pamoja na wizara ya mambo ya ndani - aidha wahusika ni wazembe sana au kikosi kilicho wekwa na Serikali ya Afrika Kusini kumlinda Nyamwasa 24X7 inaelekea majasusi wa Rwanda walifanikiwa kuwa compromise makamanda wa ulinzi kwa kuwaonga fedha lukuki ili wasiingilie kati wakati makomando wa Rwanda wanavamia nyumba anayo ishi Nyamwasa, si unajuwa tena Polisi wa Afrika kusini njaa kali - ukitanguliza rupia utapeta tu bila ya kizuizi.

Kitu kingine cha kujiuliza kwa nini attempt ya kumtoa pumzi Nyamwasa imetekelezwa wakati Rwanda imepeleka majeshi yake huko Msumbiji - kwani kuna umbali gani kutoka Msumbiji kwenda Afrika Kusini ni karibu sana hivyo ni rahisi jamaa hawa kupenyeza kikosi chao maalumu kwenda Afrika kusini kumumaliza Nyamwasa wakishirikiana/ongozwa bila shaka na sleeper cell ya Rwanda iliyopo ndani ya Afrika kusini kwa muda mrefu ifatilia nyenendo za Nyamwasa, nashangaa yeye kama mwanajeshi kwa nini anakuwa so slopy and naive, anashindwa kushtukia vitu kama hivyo badala yake anaendelea kuishi Afika kusini of all places!!

Nyamwasa should remember kwamba he won't be so lucky next time, consequently this should serve as a wake up call 4 Nyamwasa kwamba salama yake itatokana na yeye kufanya uhamuzi wa kuhamia Uingereza kama mkimbizi wa kisiasa - Uingereza ndilo Taifa lenye vyombo vya usalama wa Taifa ambavyo ni moto wa kuotea mbali.
Mkuu, kwani hii habari ni ya lini hadi uhusishe habari za Msumbiji?
 
Katika kuonyesha Meja Paul Kagame ni kinara wa tasinia ya kijasusi katika Afrika, nyumba ya Gen Kayumba Nyamwasa inayolindwa vikali na polisi ya Afrika kusini ilivamiwa usiku wa kuamkia jana na kuharibu kila kitu. Akihojiwa na BBC Nyamwasa amekiri kutafutwa na watu ambao hawatoki nchi yoyote ispokuwa Rwanda. Amekiri pia kuwa nyumba yake inalindwa na polisi wa A. Kusini na kuwa kilichomwokoa ni kwamba yeye hakuwepo wakati wa uvamizi huo.

My take: Nchi kama South Afrika lazima wawe na mifumo bora ya kiulinzi, inakuwaje Kagame anaweze kupenyeza watu wake na wakaenda kushambulia eneo linalolindwa namna ile?

Kumbuka alisema kwa kinywa chake kwamba wasaliti wa nchi yake hawako salama na kuwa it's a matter of time!

Sisi wenye chokochoko naye tuko salama kiasi gani?
Mpe sifa zote katika ardhi hii ila utafika mwisho wake,Na mwisho wake huwa mbaya na lau tungelikuwa karibu siku Kagame anatolewa roho huwa ni mateso makali kwani malaika huzichuna roho zao kwa nguvu...! Ao atapewa umri mrefu mpaka akafika wakati roho za watu alizowasababishia kifo huanza kumsumbua ....!

Je hukupata kusikia mwisho wa firaun na Nemrod ?
 
Mpe sifa zote katika ardhi hii ila utafika mwisho wake,Na mwisho wake huwa mbaya na lau tungelikuwa karibu siku Kagame anatolewa roho huwa ni mateso makali kwani malaika huzichuna roho zao kwa nguvu...! Ao atapewa umri mrefu mpaka akafika wakati roho za watu alizowasababishia kifo huanza kumsumbua ....!

Je hukupata kusikia mwisho wa firaun na Nemrod ?
Kwa maisha aliyoyaishi Kagame ukimletea hizo story za sijui firauni hawezi hata kukuelewa.
 
Idi Amin pamoja na ukatili wake lakini ulikuwa ukishakimbia nchi alikuwa hana shida na wewe tena.

Lakini hii ya Kagame kuwawinda maadui zake hadi nje na kuwaulia huko inaonyesha ni kwa kiasi gani Kagame alivyo dikteta muoga kupindukia.

Anajifanya kaleta mageuzi makubwa nchini mwake sasa kwa nini anaogopa hivyo wananchi wake?

Hawezi kujifunza kwa Magufuli ambaye pamoja na kuwa na ulinzi mkali kushinda waliowahi kuwa marais wa nchi hii lakini bado alikufa kiofisa na tai shingoni tena kirahisi kabisa.

Kagame anajidanganya tu siku zake zipo zinakuja ataiacha Rwanda apende asipende. Namshauri Gen Kayumba Nyamwasa aondoke SA atafute hifadhi ya kuaminika Ulaya au Marekani ambapo Kagame anaogopa hawezi kupeleka ugaidi wake huko kwani hawatamuacha.

Hao walinzi wake wa SA ni bogus Kagame anawanunua tu kirahisi kama mtumba.
 
Back
Top Bottom