Jenerali Mabeyo amuaga Rais Mwinyi. Ajiandaa kustaafu June 2022

Mbona elimu yake ndogo sana, au ndio kuwa na busara nyingi na hekima ya juu?!
 
Akipewa huyo Poti wangu ( kutoka Kwetu Mara ) Sibuti ambaye pia ni Mkristo na Mkatoliki Mwenzangu nitampenda Rais Samia mpaka basi.
Kiwango chake cha juu cha elimu ni kipi? Inaonekana wenye elimu ndogo ndio wanapewa hicho cheo!
 
..Natumai CDF anayekuja ataachana na maonyesho ya askari kuvunja MATOFALI kwa kichwa.
 
18 March 2022
Kunduchi, Dar-es-salaam.


Rear Admiral Ramson Godwin Mwaisaka, who is the Commander of the Tanzanian Navy, presided over the closing ceremony held at the Peacekeeping Operations Training Center in Kunduchi, Dar-es-salaam.


Brigadier general Nkambi was joined by Senior Defense Official at the American Embassy in Tanzania as well as members of U.S. Special Operations Command Africa
 
10 June 2022

Mkuu wa operesheni wa JWTZ meja jenerali J.J Mnkuda azungumza na wapiganaji waliomaliza mazoezi ya utayari

 
14 Juni 2022
Dodoma, Tanzania

SIKU YA BAJETI

Jenerali Venance Mabeyo na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wafika Bungeni kusikiliza bajeti ya serikali mwaka 2022/ 2023

 
..wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wana chombo chao ambacho kinaongozwa na Cdf.

..Sasa najiuliza kwanini WATU WASIOJULIKANA walikuwa wanatamba huku tunaye Cdf tunayesema uongozi wake umetukuka?
Swali lakipumbavu kwaiyo unazani wasiojulikana ni kikundi tu Kama panya road?

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 

Hahah! 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…