Jenerali Mabeyo amuaga Rais Mwinyi. Ajiandaa kustaafu June 2022

Jenerali Mabeyo amuaga Rais Mwinyi. Ajiandaa kustaafu June 2022

Mazuzu hawataelewa hapa hata picha iliyopo hapo ina ujumbe...
 
HAKUNA LOLOTE LA MAANA AMEFANYA HUYO UNAEMSIFIA. KUNA WATU WAMEFANYA MAKUBWA WAKAISHIA KUVULIWA UONGOZI.

NAMKUBALI SANA PRO ASSAD
 
Kihistoria, wakuu wote wa majeshi waliotangulia walitoka miongoni mwa maofisa waliokuwa jeshini wakati wa uteuzi.

Kufuatana na muundo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania chini ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi kuna maafisa wakuu wa juu wafuatao :

HABARI TOKA MAKTABA MTANDAONI


Luteni Jenerali Mathew E. Mkingule Mwanzo-Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ni Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa 14 tangu alipoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa awamu ya sita Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 21 Agosti, 2021.

Muundo wa TPDF kuna wakuu wafuatao wa kamandi 5 source : Mwanzo-Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
  • Rear Admiral Michael Mwanandenje Mumanga aliteuliwa kuongoza Kamandi ya Jeshi la Wanamaji kuanzia Aug 2021 hadi sasa.
  • Kamandi ya nchi kavu Meja Jenerali Anthony Chacha Sibuti
  • Meja Jenerali Shabani B. Mani aliteuliwa kuwa Kamanda wa Jeshi la Anga kuanzia tarehe 23 Aug 2021 hadi sasa
  • Meja Jenerali Rajabu Mabele mkuu wa JKT kuanzia tarehe 19 May 2021 hadi sasa
  • Kamandi ya MMJ Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi Meja Jenerali Ramson Godwin Mwaisaka kuanzia tarehe 01 Jun 21, baada ya kupandishwa cheo kipya kuwa Meja Jenerali
  • Mkuu wa Utumishi Jeshini Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli
  • Mkuu wa Chuo Cha Ulinzi wa Taifa-NDC Meja Jenerali Ibrahim Mhona
  • Meja jenerali JJ Mkunda mkuu wa,operesheni JWTZ
 
Unafiki tu, hata alietoka kabla ya huyu mlisema hivyo hivyo,, tatizo huwa mbadhani, jeshi ndo linaendesha nchi,, kazi ya jeshi ni kulinda mipaka ya nchi hii kutoka matishio ya nje,,
Nchi haiendeshwi na jeshi,, wala jeshi halilindi sheria au katiba. Hiyo ya sheria ni kazi ya polisi, Law Enforcement
1.Kulinda mipaka ya nchi
2. Kulinda na kuitetea Katiba
3. Kuwa mtii na kumlinda CIC
..........
 
Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Anga Meja Jenerali Shabani Baraghashi Mani aeleza mikakati na hatua zinazochukuliwa na Kamandi yake ili kuhakikisha anga la Tanzania linaendelea kuwa salama.

 
Mteuwaji asisahau kuwa Wakristo ( tena wa Katoliki ) ndiyo huwa CDF ( japo katika Madhehebu mengine ) anaweza Kuokoteza okoteza lakini asiwekwe hapo wa Dini yake Mteuwaji.

Najua kuna mtakaonishangaa na Kunishambulia ila GENTAMYCINE nasisitiza ni lazima CDF aje ( kwa sababu ambazo ni za Ndani kabisa ) awe ni Mkristo kutoka Dhehebu lenye Nguvu na Ushawishi Tanzania na Duniani la Katoliki.

Ukikereka na nilichokiandika Koroga Sumu ya Panya unywe na Ukishainywa jipige Kofi la Kutukuka na jiite Popoma.
MKUU
Sio lazima

Ataweka kanzu

Tena mzenji

Tusubiri
 
Kufuatana na muundo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania chini ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama kuna maafisa wakuu wa juu wafuatao :

HABARI TOKA MAKTABA MTANDAONI


Luteni Jenerali Mathew E. Mkingule ni Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa 14 tangu alipoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa awamu ya sita Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 21 Agosti, 2021.

Muundo wa TPDF kuna wakuu wafuatao wa kamandi 5 source : Mwanzo-Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
  • Rear Admiral Michael Mwanandenje Mumanga aliteuliwa kuongoza Kamandi ya Jeshi la Wanamaji kuanzia Aug 2021 hadi sasa.
  • Kamandi ya nchi kavu Meja Jenerali Meja Jenerali Anthony Chacha Sibuti
  • Meja Jenerali Shabani B. Mani aliteuliwa kuwa Kamanda wa Jeshi la Anga kuanzia tarehe 23 Aug 2021 hadi sasa
  • Meja Jenerali Rajabu Mabele mkuu wa JKT kuanzia tarehe 19 May 2021 hadi sasa
  • Kamandi ya MMJ Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi Meja Jenerali Ramson Godwin Mwaisaka kuanzia tarehe 01 Jun 21, baada ya kupandishwa cheo kipya kuwa Meja Jenerali
  • Mkuu wa Utumishi Jeshini Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli
  • Mkuu wa Chuo Cha Ulinzi wa Taifa-NDC Meja Jenerali Ibrahim Mhona

Akipewa huyo Poti wangu ( kutoka Kwetu Mara ) Sibuti ambaye pia ni Mkristo na Mkatoliki Mwenzangu nitampenda Rais Samia mpaka basi.
 
Toka maktaba :
Up dates 19 May 2022 toka mitandaoni

Mkuu wa majeshi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo aliongozana na maofisa wajuu waandamizi bungeni wakati wa bajeti ya wizara ya ulinzi, spika wa Bunge akawatambulisha :



  • Luteni jenerali Mathew Edward Mkingule mnadhimu mkuu wa jeshi
  • Meja Jenerali Anthony Chacha Sibuti mkuu kamandi ya jeshi la nchi kavu
  • Meja jenerali Rajabu Nduku Mabele mkuu wa JKT
  • Meja jenerali Amri Salim Mwamy mkuu wa tiba jeshini
  • Meja jenerali Ibrahim Michael Mhona mkuu wa chuo cha ulinzi cha taifa NDC
  • Rear Admiral Ramson Godwin Mwaisaka mkuu wa kamadi ya jeshi la wanamaji
  • Meja Jenerali Shabani Mani mkuu wa kamadi ya anga
  • Meja jenerali Jacob John Mkunda operesheni na utendaji wa kivita
  • Meja Jenerali Salim Othman mkuu tafiti na maendeleo ya jeshi
  • Meja Jenerali Hawa Issa Kodi mkuu wa logistics na uhandisi jeshini
  • Brigedia jenerali Iddi Saidi Nkambi mkuu wa kamandi Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi MMJ
  • Brigedia Jenerali Fadhili Nondo mkuu vikosi Zanzibar
 
Back
Top Bottom