Jenerali Mabeyo amuaga Rais Mwinyi. Ajiandaa kustaafu June 2022

Jenerali Mabeyo amuaga Rais Mwinyi. Ajiandaa kustaafu June 2022

..tuna Jaji Mkuu Mstaafu, na Cdf Mstaafu, ambao waliwahi kugombea kupitia Ccm.

It’s rare, lakini hakuna cha ajabu hapo. Hata Charles Evans Hughes (then a sitting U.S. Supreme Court justice) alijiuzulu akagombea Urais wa Marekani kwa ticket ya Republican mwaka 1916. Hakushinda uchaguzi.

Another Republican, William Howard Taft, who had served as the 27th President of the United States (1909-1913), became the tenth Chief Justice of the United States (1921-1930), the only person to have served in both of these offices.
 
It’s rare, lakini hakuna cha ajabu hapo. Hata Charles Evans Hughes (then a sitting U.S. Supreme Court justice) alijiuzulu akagombea Urais wa Marekani kwa ticket ya Republican mwaka 1916. Hakushinda uchaguzi.

Another Republican, William Howard Taft, who had served as the 27th President of the United States (1909-1913), became the tenth Chief Justice of the United States (1921-1930), the only person to have served in both of these offices.

..mwaka 1916 Charles Hughes alitoka kwenye Ussc na kugombea Uraisi ni miaka zaidi ya 100 tangu Marekani ipate uhuru na wakiwa na demokrasia ya vyama vingi.

..sidhani kama ni sahihi kulinganisha au kuhalalisha jambo hilo hapa Tz wakati demokrasia yetu bado ni changa.

..tunahitaji sheria itakayoweka kipindi cha mpito tangu mhusika astaafu ktk vyombo vya ulinzi, mahakama, etc kabla hajaruhusiwa kugombea nafasi za kisiasa.
 
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Salvatory Mabeyo leo amefika Ikulu ya Zanzibar kwaajili ya kumuaga Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi ikiwa ni maandalizi ya kustaafu mwishoni mwa mwezi huu.

Jenerali Mabeyo 65, amelitumikia jeshi kwa miaka 42 sasa na muda wake wa utumishi unaenda ukingoni mwezi huu.

Jenerali Mabeyo amehudumu nafasi ya Mkuu wa Majeshi kwa miaka 6 sasa baada ya kuteuliwa mwaka 2016 na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli.

Katika uongozi wake kama CDF, alishuhudia kukabidhiwa kwa madaraka kwa Rais wa kwanza mwanamke, Samia Suluhu Hassan baada ya kifo cha mtangulizi wake.

Daima utumishi wake uliotukuka utaendelea kukumbukwa ndani ya JWTZ na Nchi kwa ujumla. Nikutakie maandalizi mema ya kustaafu Jenerali Mabeyo

View attachment 2252170
Apumuzike vyema Mtumishi mwwnifu huyo. Sehemu moja tu alitukwanza kama binadamu ni kuenea kwa wasiojulikana nchini kiasi cha kutisha usalama wa raia.

Otherwise tunamtakia mapumziko mema.
 
Anakaa ofisini miaka sita anatunzwa hadi afe, halafu nesI aliyetumika miaka 45 anaambulia kiko kotoo
Hehehe hao ndio wanaowaweka madarakani. Nesi atalipwa na Mungu huko mbeleni
 
..mwaka 1916 Charles Hughes alitoka kwenye Ussc na kugombea Uraisi ni miaka zaidi ya 100 tangu Marekani ipate uhuru na wakiwa na demokrasia ya vyama vingi.

..sidhani kama ni sahihi kulinganisha au kuhalalisha jambo hilo hapa Tz wakati demokrasia yetu bado ni changa.

..tunahitaji sheria itakayoweka kipindi cha mpito tangu mhusika astaafu ktk vyombo vya ulinzi, mahakama, etc kabla hajaruhusiwa kugombea nafasi za kisiasa.

Tunahitaji miaka mingapi ili tuonekane kukomaa?
 
Hivi si kuna alikuwa anaitwaga mamunyange na kunasakata lilitokeaga kipindi cha uchaguzi au Mimi ndo kumbukumbu hazisomi Mshana Jr
 
Tunahitaji miaka mingapi ili tuonekane kukomaa?

..tukiweza kubadilisha Maraisi bila vurugu.

..tukiweza kubadilisha majority bungeni bila vurugu.

..kwangu mimi hizo ndizo "LITMUS TEST" za demokrasia yetu kuwa imekomaa.
 
Anakaa ofisini miaka sita anatunzwa hadi afe, halafu nesI aliyetumika miaka 45 anaambulia kiko kotoo
kwa akili yako mkuu, unataka kusema majukumu ya CDF ni sawa na ya nesi mwenye kazi ya kuchoma sindano? Afande CDF amelitumikia jwtz kwa miaka zaidi ya 40. Unataka akistaafu atelekezwe kama mlinzi wa bustani? Anastahili kutunzwa kwa aliyoyafanya katika taifa hili.
 
kwa akili yako mkuu, unataka kusema majukumu ya CDF ni sawa na ya nesi mwenye kazi ya kuchoma sindano? Afande CDF amelitumikia jwtz kwa miaka zaidi ya 40. Unataka akistaafu atelekezwe kama mlinzi wa bustani? Anastahili kutunzwa kwa aliyoyafanya katika taifa hili.
Hizo ni nongwa za baadhi ya watu wasiojielewa
 
..wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wana chombo chao ambacho kinaongozwa na Cdf.

..Sasa najiuliza kwanini WATU WASIOJULIKANA walikuwa wanatamba huku tunaye Cdf tunayesema uongozi wake umetukuka?
Swali fikirishi sana
 
Back
Top Bottom