Jenerali Mabeyo amuaga Rais Mwinyi. Ajiandaa kustaafu June 2022

Jenerali Mabeyo amuaga Rais Mwinyi. Ajiandaa kustaafu June 2022

Mkuu Pulchra Animo , sio kufanya appointment ya CDF mpya kisiasa, only kufanya uteuzi with more consideration, kama watu wa upande ule pia wapo wenye kukidhi sifa na vigezo, wapewe, kwa hoja ya uwezekano, siku zote waliokuwepo ilia hawakuwahi kupewa kwa marginalisation only ambao ni ubaguzi!.

Mfano reli ya TAZARA, kwa vile ipo Tanzania, then it's statutory DG wa TAZARA, lazima atoke Zambia, Deputy ndio Mtanzania. Hivyo hata Mtanzania awe mzuri vipi, hawezi kuwa DG wa TAZARA.

The same applies to BOT, Gavana wa BOT atatoka Tanzania Bara, na deputy Governor atatoka Zanzibar, lakini kwa miaka mingi hiyo nafasi haikuwa na mtu kwa marginalisation tuu kuwa hakuna Mzanzibari mwenye sifa na vigezo, vya Ph.D ya Uchumi, hadi alipopatikana Juma Reli, kitu ambacho sii kweli. Mwaka 1999, kulikuwa ni binti mmoja wa Kizanzibari, ana Ph.D ya Uchumi alikuwa na head one of department za Citi Bank, pale New York. Kuna Mzanzibari mwingine ana Ph.D ya Uchumi, siku nyingi, ni lecture pale IFM.

Tanzania ni nchi ya JMT, kwenye nafasi za uongozi, Watanzania wa pande zote, dini zote, rangi zote au jinsia zote wapewe fursa sawa bila kubaguliwa. Hata Samia kuwa rais wa JMT, ni kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, vinginevyo mfumo dume ungeendelea kuwabagua wanawake kuwa nchi hii bado haina mwanamke mwenye sifa na vigezo vyote vya kuwa rais wa JMT. Ubaguzi kama huu upo sekta nyingi, tuu, hivyo swali langu hili kumhusu CDF ni valid
tena now ndio more valid kwasababu soon the position of CDF will fall vacant.
P

Kwa idadi ya Wazanzibari waliomo jeshini vs Watanganyika waliomo jeshini, hata wakipita 10 generals (wote kutoka bara) ndipo anatokea 1 general kutoka Zanzibar haiwezi kustahili kupewa label ya systemic bias. Kujaribu kulazimisha idadi sawa (au karibu sawa) ya generals kutoka kila upande ndiyo kuingiza bias ya wazi.
 
..na kuna manesi wanaosimama usiku kucha ktk kuwauguza wenza, watoto, na wazazi, wa askari wanaolinda mipaka.

..bila manesi, askari walioko mipakani ingebidi wawe ktk hekaheka za kuuguza wapendwa wao, na wakati huohuo wabebe jukumu la kulinda mipaka.

Hii argument ya nurse vs CDF nadhani haina kichwa wala miguu. TPDF ina kila fani, including fani ya manesi. Mnataka kusema nurse mwenye cheo cha captain anastahili retirement benefits bora kuliko za CDF au mnaona civilian nurses ndio manesi zaidi kuliko waliomo jeshini?
 
Hii argument ya nurse vs CDF nadhani haina kichwa wala miguu. TPDF ina kila fani, including fani ya manesi. Mnataka kusema nurse mwenye cheo cha captain anastahili retirement benefits bora kuliko za CDF au mnaona civilian nurses ndio manesi zaidi kuliko waliomo jeshini?

..ni argument kati ya umuhimu wa mdunga sindano vs mdunga risasi.

..manesi wote ni muhimu. Na wanajeshi wote ni muhimu.

..pia kuna umuhimu wa kuboresha retirement benefits za kada zote. Kusiwepo ubaguzi kuwa hawa ni wanajeshi, manesi, etc.
 
..na kuna manesi wanaosimama usiku kucha ktk kuwauguza wenza, watoto, na wazazi, wa askari wanaolinda mipaka.

..bila manesi, askari walioko mipakani ingebidi wawe ktk hekaheka za kuuguza wapendwa wao, na wakati huohuo wabebe jukumu la kulinda mipaka.
Tunategemeana japo majukumu siyo sawa
 
..ongea hivyo ukiwa hujaugua au kuuguliwa.

..pia mbona magaidi waliokuwa wakiteka na kutesa wapinzani walikuwa hawakamatwi wakati tuna jeshi linalojitambua?

..pia ilikuwaje magaidi wakaingia ktk eneo la serikali na kujaribu kumuua mbunge huku tukidai tuna jeshi imara?

..kwanini kulitokea mlipuko wa bomu ktk ofisi za mwanasheria mwanaharakati karibu kabisa na makao makuu ya jeshi na wahusika hawakukamatwa?

NB.

..unakumbuka sakata la gesi Mtwara na mikoa ya kusini? Unakumbuka vikosi gani vilishiriki kupiga na kuumiza wananchi wale?

..magaidi wa mkiru tunawalaani vikali na kwa nguvu zote. lakini tukiwa wakweli tutabaini kwamba ni matokeo ya utawala mbaya na sera mbovu za Ccm kwa mikoa ya kusini.
Mara magaidi, mara upinzani waliuawa, mara CCM sijui imefanya nini,

Wewe ni punda unayejichanganya
 
Mkuu during that time ilikua ni one say tu hakuna kugeuka kushoto au kulia sio mbele wala nyuma.

Nina marafiki zangu waliokua karibu na ile meza sio wote walikua wakifurahia madhila yaliyokua yakitokea ila walikaa kimya kosa lao ni kukaa kimya tu ila rohoni sio wote walikua wakikubaliana na yule mtu.
..mbona haku-deal na vibaka wakati boss wao yuko hai?
 
..ni argument kati ya umuhimu wa mdunga sindano vs mdunga risasi.

..manesi wote ni muhimu. Na wanajeshi wote ni muhimu.

..pia kuna umuhimu wa kuboresha retiment benefits za kada zote. Kusiwepo ubaguzi kuwa hawa ni wanajeshi, manesi, etc.

Sema kuboresha retirement benefits za watumishi wote. Hakuna sababu ya kuwataja wanajeshi na manesi. Humo jeshini kuna manesi pia na fani zingine karibu zote!
 
Mkuu during that time ilikua ni one say tu hakuna kugeuka kushoto au kulia sio mbele wala nyuma.

Nina marafiki zangu waliokua karibu na ile meza sio wote walikua wakifurahia madhila yaliyokua yakitokea ila walikaa kimya kosa lao ni kukaa kimya tu ila rohoni sio wote walikua wakikubaliana na yule mtu.

..i am sorry kwamba hao jamaa ni rafiki zako. but they are not good ppl at all. wana tofauti ndogo sana na waovu waliokuwa wakidhulumu watu wetu.
 
Sema kuboresha retirement benefits za watumishi wote. Hakuna sababu ya kuwataja wanajeshi na manesi. Humo jeshini kuna manesi pia na fani zingine karibu zote!
..asante kwa ushauri wako, nimeupokea.

..nilikuwa namjibu mchangiaji aliyetaja taaluma moja akiikweza dhidi ya nyingine.
 
Mara magaidi, mara upinzani waliuawa, mara CCM sijui imefanya nini,

Wewe ni punda unayejichanganya

..mimi sio punda ni mwanadamu kama wewe.

..nakusihu ujitahidi kutokutumia lugha zisizo nzuri au na heshima kwa wachangiaji wenzako bila kujali kama unakubaliana nao au la.
 
Back
Top Bottom