Jenerali Mabeyo amuaga Rais Mwinyi. Ajiandaa kustaafu June 2022

Jenerali Mabeyo amuaga Rais Mwinyi. Ajiandaa kustaafu June 2022

Tunasubiri yule wa kutoka pemba
au gaflaaa....historia imewekwa ,
na Tazama CDF wa 1 mwanamke.

big up mabeyo
 
anakaa ofisini miaka sita anatunzwa hadi afe, halafu nesI aliyetumika miaka 45 anaambulia kiko kotoo
Ni miaka 42 kwa ujumla siyo sita. Kati ya hiyo hujui amekwenda vitani ndani na nje ya nchi mara ngapi.
 
pale wa juu yake alipofariki ilibidi awe na tahadhari kubwa sana ili nchi isiingie kwenye machafuko kutokana na taharuki iliyotokea
Jeshi haliangalii mambo ya usalama wa ndani, hiyo ni kazi ya polisi na TISS
 
Magu angekuwepo Kuna kajamaa kanaitwa MBUGE LAZIMA ANGEKAPA U CDF
 
Mteuwaji asisahau kuwa Wakristo ( tena wa Katoliki ) ndiyo huwa CDF ( japo katika Madhehebu mengine ) anaweza Kuokoteza okoteza lakini asiwekwe hapo wa Dini yake Mteuwaji.

Najua kuna mtakaonishangaa na Kunishambulia ila GENTAMYCINE nasisitiza ni lazima CDF aje ( kwa sababu ambazo ni za Ndani kabisa ) awe ni Mkristo kutoka Dhehebu lenye Nguvu na Ushawishi Tanzania na Duniani la Katoliki.

Ukikereka na nilichokiandika Koroga Sumu ya Panya unywe na Ukishainywa jipige Kofi la Kutukuka na jiite Popoma.
Hee kumbe hadi jeshi lina dini tena katoliki, nchi hii ina mengi ya kujifunza ndio maana hata Rais lazima awe mkatoliki.
 
bado tunamuhitaji sana anko mabeyo
Unafiki tu, hata alietoka kabla ya huyu mlisema hivyo hivyo,, tatizo huwa mbadhani, jeshi ndo linaendesha nchi,, kazi ya jeshi ni kulinda mipaka ya nchi hii kutoka matishio ya nje,,
Nchi haiendeshwi na jeshi,, wala jeshi halilindi sheria au katiba. Hiyo ya sheria ni kazi ya polisi, Law Enforcement
 
Mteuwaji asisahau kuwa Wakristo ( tena wa Katoliki ) ndiyo huwa CDF ( japo katika Madhehebu mengine ) anaweza Kuokoteza okoteza lakini asiwekwe hapo wa Dini yake Mteuwaji.

Najua kuna mtakaonishangaa na Kunishambulia ila GENTAMYCINE nasisitiza ni lazima CDF aje ( kwa sababu ambazo ni za Ndani kabisa ) awe ni Mkristo kutoka Dhehebu lenye Nguvu na Ushawishi Tanzania na Duniani la Katoliki.

Ukikereka na nilichokiandika Koroga Sumu ya Panya unywe na Ukishainywa jipige Kofi la Kutukuka na jiite Popoma.
Mbona walokole wapo wengi tu na wanasifa za kushika hicho cheo!?

Wakatoliki muda wao ulishapita
 
Back
Top Bottom