Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tulia sasa acha kuliza ulizaNafsi yako ina majibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia sasa acha kuliza ulizaNafsi yako ina majibu
Tulia sasa acha kuliza ulizaNafsi yako ina majibu
so unaumia?!
Na huyu ndo katuvusha kipindi cha mpito wakati uncle magu amefarikiRais amuongezee muda,huyu ni Muungwana Sana na mtu wa dini.
Kwanini basi useme vile?Kuna sehemu nimesema kuna shida?
Tofautisha kati ya wananchi,wenyenchi na walanchianakaa ofisini miaka sita anatunzwa hadi afe, halafu nesI aliyetumika miaka 45 anaambulia kiko kotoo
Kwani ni kosa kisheria mkuu?Kwanini basi useme vile?
Ni miaka 42 kwa ujumla siyo sita. Kati ya hiyo hujui amekwenda vitani ndani na nje ya nchi mara ngapi.anakaa ofisini miaka sita anatunzwa hadi afe, halafu nesI aliyetumika miaka 45 anaambulia kiko kotoo
Jeshi haliangalii mambo ya usalama wa ndani, hiyo ni kazi ya polisi na TISSpale wa juu yake alipofariki ilibidi awe na tahadhari kubwa sana ili nchi isiingie kwenye machafuko kutokana na taharuki iliyotokea
Unakazwa na kamba ipi shingoni...Jenerali Mabeyo ikiwezekana malizia utumishi wako na Huyo mama amalize Muda wake.
Hee kumbe hadi jeshi lina dini tena katoliki, nchi hii ina mengi ya kujifunza ndio maana hata Rais lazima awe mkatoliki.Mteuwaji asisahau kuwa Wakristo ( tena wa Katoliki ) ndiyo huwa CDF ( japo katika Madhehebu mengine ) anaweza Kuokoteza okoteza lakini asiwekwe hapo wa Dini yake Mteuwaji.
Najua kuna mtakaonishangaa na Kunishambulia ila GENTAMYCINE nasisitiza ni lazima CDF aje ( kwa sababu ambazo ni za Ndani kabisa ) awe ni Mkristo kutoka Dhehebu lenye Nguvu na Ushawishi Tanzania na Duniani la Katoliki.
Ukikereka na nilichokiandika Koroga Sumu ya Panya unywe na Ukishainywa jipige Kofi la Kutukuka na jiite Popoma.
Unafiki tu, hata alietoka kabla ya huyu mlisema hivyo hivyo,, tatizo huwa mbadhani, jeshi ndo linaendesha nchi,, kazi ya jeshi ni kulinda mipaka ya nchi hii kutoka matishio ya nje,,bado tunamuhitaji sana anko mabeyo
Wote ni Watanzania wanastahili.Hata akiteuliwa mkristo hakuna shida.
Mbona walokole wapo wengi tu na wanasifa za kushika hicho cheo!?Mteuwaji asisahau kuwa Wakristo ( tena wa Katoliki ) ndiyo huwa CDF ( japo katika Madhehebu mengine ) anaweza Kuokoteza okoteza lakini asiwekwe hapo wa Dini yake Mteuwaji.
Najua kuna mtakaonishangaa na Kunishambulia ila GENTAMYCINE nasisitiza ni lazima CDF aje ( kwa sababu ambazo ni za Ndani kabisa ) awe ni Mkristo kutoka Dhehebu lenye Nguvu na Ushawishi Tanzania na Duniani la Katoliki.
Ukikereka na nilichokiandika Koroga Sumu ya Panya unywe na Ukishainywa jipige Kofi la Kutukuka na jiite Popoma.
UPUUZI na sio UPUUSI mbuzi wewe.
Mpito vipi wakati katiba inasema MAKAMU WA RAIS atachukua nafasi ya URAIS.Na huyu ndo katuvusha kipindi cha mpito wakati uncle magu amefariki