TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Hivi hatujapeleka watu Siberia?
====
Hongera CDF kwa utumishi wako uliotukuka.
====
Hongera CDF kwa utumishi wako uliotukuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu wa miaka 6 ametumikia na kushuhudia mazito ya nchi hiianakaa ofisini miaka sita anatunzwa hadi afe, halafu nesI aliyetumika miaka 45 anaambulia kiko kotoo
Jeneral yoyote yule kuanzia brigedia, meja, luten anatunzwa na serikal maisha yake yote. Na gar v8 anabadilishiwa kila baada ya Miaka 5,anakaa ofisini miaka sita anatunzwa hadi afe, halafu nesI aliyetumika miaka 45 anaambulia kiko kotoo
Hv dini imewavuruga watanzania kiasi hikiAteuliwa muislam
😃😃😃😃😃Pengine kuanzia March 19,2021 'chatto' ingekuwa Kongwa kama sio busara za huyu Afande
Mwinyi kanyesha umwinyi, hahaaaShukrani nyingi kwa jenerali Mabeyo kwa utumishi uliotukuka.
Picha sijaipenda maana naona mwinyi kaonesha umwinyi. Kwanini hajasimama?
General venance mabeyo ni mfano wa kuigwaMoja ya Wakuu wa jeshi niliyetokea kumu 'admaya' sana. CDF Mabeyo tutakuheshimu na kukuenzi daima kwa mchango wako katika jeshi,kanisa,jamii na taifa kiujumla.Vitabu vyako ulivyoandika ni kumbukumbu njema sana.Salute Soldier [emoji870]
Mbona waziri wa wanajeshi ni au hujui? mwanamkeHa
Hakuna wanawake wakuongoza jeshi hadi aongezewe Muda?
Mkuu nami nasikia jamaa walitaka kupindua meza, chato iwe kongwa kama sio huyu mwambaPengine kuanzia March 19,2021 'chatto' ingekuwa Kongwa kama sio busara za huyu Afande
Je, angekua amepoteza Battalian nzima siku moja vitani Ungesemaje?Akapumzike mzee wetu aliachiwa nchi ktk sintofaham nadhani hakuna Jeneral aliyepata changamoto km yeye katika historia ya nchi hii
Possibly kulikuwa na "input" kubwa sana kutoka kwa mzee wa jalalani; sema tu kwa hili Mungu alipishia mbali akaishia kwenye lile la kumtwaa JPM tu!Pengine kuanzia March 19,2021 'chatto' ingekuwa Kongwa kama sio busara za huyu Afande
Kitu kipya cha kufanya bado anacho ndiyo mimi naamini kabisa hivyo; ila sema tu kwa namna Jeshi letu lilivyo, naamini kabisa wapo pia vijana wengine chini yake wanaoweza kufanya vizuri kwenye nafasi hiyo kama alivyifanya yeye; hivyo kuendelea kumpa ashikilie nafasi hiyo kutawavunja moyo wengine wenye sifa za kushika nafasi hiyo. Mimi napendelea apumzike kwa sababu hiyo, awaachie na wengine walio na sifa za kuifanya kazi hiyoKwanini amuongezee Muda, hakuna wanajeshi wengine wenye sifa? Miaka 65 Bado anakitu kipya Cha kufanya.?
Nesi anapigana vita? Nesi hata akina panya road mbio anatimuaanakaa ofisini miaka sita anatunzwa hadi afe, halafu nesI aliyetumika miaka 45 anaambulia kiko kotoo
Hata Marekani hiyo haipo nafasi kubwa hiyo hushikwa na wakongwe wa vita hiyo post siyo ya internshipKitu kipya cha kufanya bado anacho ndiyo mimi naamini kabisa hivyo; ila sema tu kwa namna Jeshi letu lilivyo, naamini kabisa wapo pia vijana wengine chini yake wanaoweza kufanya vizuri kwenye nafasi hiyo
[emoji3]Chawa wa Mabeyo huwezi kukosekana Ktk uzi kama huu ,ikiwezekana mwambie Mama asikubali huyu mwamba astaafu
Kwani hatuoni?Hv dini imewavuruga watanzania kiasi hiki
Dini gani?Rais amuongezee muda,huyu ni Muungwana Sana na mtu wa dini.
Kila binadamu ana siri nyingi sana, sema hawa wana siri za watu wakubwa wenzao, ni kama vile ile issue ya urefu wa kamba, unakuwa na siri kulingana na urefu wa kamba yako.Hawa watu huwa wana siri nyingi sana kwenye mioyo yao.