Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Salvatory Mabeyo leo amefika Ikulu ya Zanzibar kwaajili ya kumuaga Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi ikiwa ni maandalizi ya kustaafu mwishoni mwa mwezi huu.
Jenerali Mabeyo 65, amelitumikia jeshi kwa miaka 42 sasa na muda wake wa utumishi unaenda ukingoni mwezi huu.
Jenerali Mabeyo amehudumu nafasi ya Mkuu wa Majeshi kwa miaka 6 sasa baada ya kuteuliwa mwaka 2016 na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli.
Katika uongozi wake kama CDF, alishuhudia kukabidhiwa kwa madaraka kwa Rais wa kwanza mwanamke, Samia Suluhu Hassan baada ya kifo cha mtangulizi wake.
Daima utumishi wake uliotukuka utaendelea kukumbukwa ndani ya JWTZ na Nchi kwa ujumla. Nikutakie maandalizi mema ya kustaafu Jenerali Mabeyo
Usingetaja kabila ungepungukiwa nini, kifaru wahediWasukuma ni watu makini sana, asante CDF Mabeyo
Hahaha [emoji28][emoji28]Ngoja tuone CDF mpya kutoka Pemba
Naomba vitabu vyake nivioneMoja ya Wakuu wa jeshi niliyetokea kumu 'admaya' sana. CDF Mabeyo tutakuheshimu na kukuenzi daima kwa mchango wako katika jeshi,kanisa,jamii na taifa kiujumla.Vitabu vyako ulivyoandika ni kumbukumbu njema sana.Salute Soldier [emoji870]
Mkuu GENTAMYCINE hujawahi kukwama na comment zako za kiwaki [emoji28][emoji28][emoji706][emoji706][emoji706]Mteuwaji asisahau kuwa Wakristo ( tena wa Katoliki ) ndiyo huwa CDF ( japo katika Madhehebu mengine ) anaweza Kuokoteza okoteza lakini asiwekwe hapo wa Dini yake Mteuwaji.
Najua kuna mtakaonishangaa na Kunishambulia ila GENTAMYCINE nasisitiza ni lazima CDF aje ( kwa sababu ambazo ni za Ndani kabisa ) awe ni Mkristo kutoka Dhehebu lenye Nguvu na Ushawishi Tanzania na Duniani la Katoliki.
Ukikereka na nilichokiandika Koroga Sumu ya Panya unywe na Ukishainywa jipige Kofi la Kutukuka na jiite Popoma.
Hakuna taharuki yoyote, watu wanazaliwa, wanaishi, wanakufapale wa juu yake alipofariki ilibidi awe na tahadhari kubwa sana ili nchi isiingie kwenye machafuko kutokana na taharuki iliyotokea
Sawa mkuu wa kitengo cha vettingapumzike Jenerali Mabeyo wetu. sasa ni Zamu ya Mathew Edward Mkengule kuwa CDF wetu mpya
Umewahi kuona lieutenant general mwanamke...?CDF mwanamke aja
Kwanini amuongezee Muda, hakuna wanajeshi wengine wenye sifa? Miaka 65 Bado anakitu kipya Cha kufanya.?Rais amuongezee muda,huyu ni Muungwana Sana na mtu wa dini.
Zile wanakula binti zetuP
Pemba