Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hicho pia ni kikokotoo kwa CDF.anakaa ofisini miaka sita anatunzwa hadi afe, halafu nesI aliyetumika miaka 45 anaambulia kiko kotoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho pia ni kikokotoo kwa CDF.anakaa ofisini miaka sita anatunzwa hadi afe, halafu nesI aliyetumika miaka 45 anaambulia kiko kotoo
Tunamshukuru kwa utumishi wake uliotukuka na kudumisha nidhamu ya Jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ..
Very wrong statement of the year, kwani Muislam siyo mtu, hana haki kushika wadhifa serikalini. Statement kama hizi ndizo zinaleta migongano katika jamii yetuAtateuliwa muislam sahivi
Kwani mm mkuu nimesema kuteuliwa Muislam ni dhambi?Very wrong statement of the year, kwani Muislam siyo mtu, hana haki kushika wadhifa serikalini. Statement kama hizi ndizo zinaleta migongano katika jamii yetu
Siro nae ni mtu wa mungu yule,, hana shida yuleTulitmani Siro na genge lake la mauaji aanze yeye kustaafu. Mabeho mtu wa Mungu abaki tuu.
story za wasiojulikana ni za jf tu,wale wanajulikana na wanapewa kazi kabisa ya kudeal na viazi mbatata...wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wana chombo chao ambacho kinaongozwa na Cdf.
..Sasa najiuliza kwanini WATU WASIOJULIKANA walikuwa wanatamba huku tunaye Cdf tunayesema uongozi wake umetukuka?
Kuna shida ikiwa hivyo?Atateuliwa muislam sahivi
Chombo gani hicho?,,...wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wana chombo chao ambacho kinaongozwa na Cdf.
..Sasa najiuliza kwanini WATU WASIOJULIKANA walikuwa wanatamba huku tunaye Cdf tunayesema uongozi wake umetukuka?
Mkengule huyuhuyu wa iringa auapumzike Jenerali Mabeyo wetu. sasa ni Zamu ya Mathew Edward Mkengule kuwa CDF wetu mpya
Watu wanajitoa ufahamu wakati majibu halisi wanayo[emoji23]story za wasiojulikana ni za jf tu,wale wanajulikana na wanapewa kazi kabisa ya kudeal na viazi mbatata.
Kuna sehemu nimesema kuna shida?Kuna shida ikiwa hivyo?
Ulishawahi kumsikia CDF akisema kuna watu wasiojulikana? Hao muulize siro ...wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wana chombo chao ambacho kinaongozwa na Cdf.
..Sasa najiuliza kwanini WATU WASIOJULIKANA walikuwa wanatamba huku tunaye Cdf tunayesema uongozi wake umetukuka?
Umeongea upuusi sana. Samahani lakinianakaa ofisini miaka sita anatunzwa hadi afe, halafu nesI aliyetumika miaka 45 anaambulia kiko kotoo
Walitaka kufanya nn mkuuPossibly kulikuwa na "input" kubwa sana kutoka kwa mzee wa jalalani; sema tu kwa hili Mungu alipishia mbali akaishia kwenye lile la kumtwaa JPM tu!
Hata akiteuliwa mkristo hakuna shida.Kuna shida ikiwa hivyo?
Ulishawahi kumsikia CDF akisema kuna watu wasiojulikana? Hao muulize siro .
Nafsi yako ina majibuKwani mm mkuu nimesema kuteuliwa Muislam ni dhambi?
so unaumia?!Ateuliwa muislam