Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una mawazo ya kikale sana,, sasa CDF anaetoka alikua mkatoliki umefaidi nini kwa mfano?,,Wewe ndiyo wasema
PUMZIKA MZEE MABEYO NCHI UMEILINDA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFUMkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Salvatory Mabeyo leo amefika Ikulu ya Zanzibar kwaajili ya kumuaga Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi ikiwa ni maandalizi ya kustaafu mwishoni mwa mwezi huu.
Jenerali Mabeyo 65, amelitumikia jeshi kwa miaka 42 sasa na muda wake wa utumishi unaenda ukingoni mwezi huu.
Jenerali Mabeyo amehudumu nafasi ya Mkuu wa Majeshi kwa miaka 6 sasa baada ya kuteuliwa mwaka 2016 na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli.
Katika uongozi wake kama CDF, alishuhudia kukabidhiwa kwa madaraka kwa Rais wa kwanza mwanamke, Samia Suluhu Hassan baada ya kifo cha mtangulizi wake.
Daima utumishi wake uliotukuka utaendelea kukumbukwa ndani ya JWTZ na Nchi kwa ujumla. Nikutakie maandalizi mema ya kustaafu Jenerali Mabeyo
View attachment 2252170
Heri kwake.Asante kwa utumishi wako.
Na kila la heri katika mambo yako Mengine.
Kule hakuna GeneralHivi Zanzibar iliwahi kutoa CDF, maana ni jambo la Muungano. Ila sio lazima atoke visiwani
Mabeyo ndiye kasababisha au wana CCM?Jenerali Mabeyo unaondoka ila umetuachia Rais wa Ajabu ambaye hajawahi kuonekana
Afadhali... kwenye uteuzi wa CDF mpya, hoja za bandiko hili Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu?. Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?
zijibiwe.
P
Ili huyo nesi aweze kufanya kazi kwa amani ni lazima alindwe na huyo mwanajeshi. Tunasahau kuwa huko mipakani kuna wanajeshi wanaosimama usiku kucha wakiwa na bunduki mkononi ili sisi huku Dar na mikoa mingine tuweze kukoroma.Anakaa ofisini miaka sita anatunzwa hadi afe, halafu nesI aliyetumika miaka 45 anaambulia kiko kotoo
Mlitaka atuache rais mpigaji kama wote waliomtangulia?. SSH anafanya alivyotakiwa kufanya baada ya JPM kuondoka.Jenerali Mabeyo unaondoka ila umetuachia Rais wa Ajabu ambaye hajawahi kuonekana
Ili huyo nesi aweze kufanya kazi kwa amani ni lazima alindwe na huyo mwanajeshi. Tunasahau kuwa huko mipakani kuna wanajeshi wanaosimama usiku kucha wakiwa na bunduki mkononi ili sisi huku Dar na mikoa mingine tuweze kukoroma.
Mkuu Pulchra Animo , sio kufanya appointment ya CDF mpya kisiasa, only kufanya uteuzi with more consideration, kama watu wa upande ule pia wapo wenye kukidhi sifa na vigezo, wapewe, kwa hoja ya uwezekano, siku zote waliokuwepo ilia hawakuwahi kupewa kwa marginalisation only ambao ni ubaguzi!.Mayalla, unataka military career progression ifanyike kisiasa?
History ya jeshi ambayo haina hata ten generals ni fupi sana kuifanyia desktop analysis. Unahitaji kupata composition ya jeshi by:
[emoji828]️Soldier’s URT part of origin (whether Tanganyika or Zanzibar)
[emoji828]️Soldier’s region of origin
[emoji828]️Soldier’s tribe
[emoji828]️Soldier’s religion
Let’s assume, for the sake of it, kwamba jeshi letu (linalokadiriwa kuwa na active personnel 27,000) lina askari 25,000 kutoka Tanganyika na askari 2,000 kutoka Zanzibar. Unataka pool ya askari 25,000 na pool ya askari 2,000 ziwe na equal probabilities za kuzalisha an army general? That would be pure politics!
Dimensions zingine (mkoa, kabila na dini) nazo zinakuwa affected na composition ya jeshi in a similar fashion, more or less!
Ongea hivyo ukiwa unaishi mijini, wanajeshi ndio waliopigana na maharamia waliotaka kuleta ugaidi kule Rufiji na Mkuranga wakati huo sisi wa Dar tukiwa usingizini usiku...na kuna manesi wanaosimama usiku kucha ktk kuwauguza wenza, watoto, na wazazi, wa askari wanaolinda mipaka.
..bila manesi, askari walioko mipakani ingebidi wawe ktk hekaheka za kuuguza wapendwa wao, na wakati huohuo wabebe jukumu la kulinda mipaka.
..ongea hivyo ukiwa hujaugua au kuuguliwa.Ongea hivyo ukiwa unaishi mijini, wanajeshi ndio waliopigana na maharamia waliotaka kuleta ugaidi kule Rufiji na Mkuranga wakati huo sisi wa Dar tukiwa usingizini usiku.
Naweza kukuelewa unapoongea hivi kwani ni nchi yenye amani na siku zote kuna rabsha ndogo ndogo tu.
Suala la mbunge ni moja tu na hakuna mwenye uhakika hizo CCTV cameras kama kweli ziliondolewa, ni suala lenye siasa nyingi...ongea hivyo ukiwa hujaugua au kuuguliwa.
..pia mbona magaidi waliokuwa wakiteka na kutesa wapinzani walikuwa hawakamatwi wakati tuna jeshi linalojitambua?
..pia ilikuwaje magaidi wakaingia ktk eneo la serikali na kujaribu kumuua mbunge huku tukidai tuna jeshi imara?
..kwanini kulitokea mlipuko wa bomu ktk ofisi za mwanasheria mwanaharakati karibu kabisa na makao makuu ya jeshi na wahusika hawakukamatwa?
.
Suala la mbunge ni moja tu na hakuna mwenye uhakika hizo CCTV cameras kama kweli ziliondolewa, ni suala lenye siasa nyingi.
Wanajeshi wanalinda nchi hii miaka na miaka, kazi yao ni ngumu ingawa kwetu inaonekana ni nyepesi.
RCDini gani?
NdioWe jamaa kwako dini unaona ni kitu Cha maana Sana Cha kujivunia