Hassani
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 900
- 1,632
Mmmh una miaka mingapi kaka,kuna waliopigana vita ya Uganda.Akapumzike mzee wetu aliachiwa nchi ktk sintofaham nadhani hakuna Jeneral aliyepata changamoto km yeye katika historia ya nchi hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh una miaka mingapi kaka,kuna waliopigana vita ya Uganda.Akapumzike mzee wetu aliachiwa nchi ktk sintofaham nadhani hakuna Jeneral aliyepata changamoto km yeye katika historia ya nchi hii
mfumo wa nchi yetu kuna amiri jeshi mkuu ambaye ndio rais kwahiyo hata hiyo vita ya Uganda kiongozi mkuu alikuwa ni Rais yeye Jeneral alikuwa akifuata amri tuMmmh una miaka mingapi kaka,kuna waliopigana vita ya Uganda.
We jamaa kwako dini unaona ni kitu Cha maana Sana Cha kujivuniaRais amuongezee muda,huyu ni Muungwana Sana na mtu wa dini.
mfumo wa nchi yetu kuna amiri jeshi mkuu ambaye ndio rais kwahiyo hata hiyo vita ya Uganda kiongozi mkuu alikuwa ni Rais yeye Jeneral alikuwa ila
Kwani ni wapi Mabeyo alikuwa hafuati amri ya aliye juu yake.mfumo wa nchi yetu kuna amiri jeshi mkuu ambaye ndio rais kwahiyo hata hiyo vita ya Uganda kiongozi mkuu alikuwa ni Rais yeye Jeneral alikuwa akifuata amri tu
pale wa juu yake alipofariki ilibidi awe na tahadhari kubwa sana ili nchi isiingie kwenye machafuko kutokana na taharuki iliyotokeaKwani ni wapi Mabeyo alikuwa hafuati amri ya aliye juu yake.
Tulitmani Siro na genge lake la mauaji aanze yeye kustaafu. Mabeho mtu wa Mungu abaki tuu.Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Salvatory Mabeyo leo amefika Ikulu ya Zanzibar kwaajili ya kumuaga Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi ikiwa ni maandalizi ya kustaafu mwishoni mwa mwezi huu...
Afadhali... kwenye uteuzi wa CDF mpya, hoja za bandiko hili Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu?. Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Salvatory Mabeyo leo amefika Ikulu ya Zanzibar kwaajili ya kumuaga Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi ikiwa ni maandalizi ya kustaafu mwishoni mwa mwezi huu...
Katiba inasema makam ndo anakuwa rais,hakukua na changamoto yoyote sababu hakuna hata risasi moja iliyolia.Labda hujui changamoto anayopitia cdf nchi ikiingia vitani au ikishambuliwa.rais hutoa order tu tena baada ya kushauriana na CDF.Kila CDF anayekuwa madarakani huomba yasimkutepale wa juu yake alipofariki ilibidi awe na tahadhari kubwa sana ili nchi isiingie kwenye machafuko kutokana na taharuki iliyotokea
Hapati uyoapumzike Jenerali Mabeyo wetu. sasa ni Zamu ya Mathew Edward Mkengule kuwa CDF wetu mpya
Rais amuongezee muda,huyu ni Muungwana Sana na mtu wa dini.
apumzike Jenerali Mabeyo wetu. sasa ni Zamu ya Mathew Edward Mkengule kuwa CDF wetu mpya
Naye si katumikia jeshi miaka 40+ ?anakaa ofisini miaka sita anatunzwa hadi afe, halafu nesI aliyetumika miaka 45 anaambulia kiko kotoo