Jenerali Mabeyo: Tulimpoteza Rais Magufuli, tulisimama kidete kama Jeshi kulinda Katiba

Jenerali Mabeyo: Tulimpoteza Rais Magufuli, tulisimama kidete kama Jeshi kulinda Katiba

Tatizo kubwa hamuelewi changamoto kubwa iliyokuwepo baada ya kifo cha Magufuli.
Hamjui kuwa kuna watu ambao wapo mpaka sasa, walijitayarisha kuuteka urais.
Nyie mnaona jeshi lipo lipo tu, hamjui kuwa vyombo vingine vya ulinzi na usalama vilisha tekwa na kuwa compromised.

Mama Samia siku ya kuapishwa alipelekwa Ikulu na Jenerali wa jeshi.
Hongera jeshi letu, lilifanya kazi nzuri.
hao waliotaka kuuteka urais walikuwa na nguvu ipi???

na hatua zipi walichukuliwa baada ya jeshi kuwadhibiti???acheni kulishana matango pori.
 
Back
Top Bottom