mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
hao waliotaka kuuteka urais walikuwa na nguvu ipi???Tatizo kubwa hamuelewi changamoto kubwa iliyokuwepo baada ya kifo cha Magufuli.
Hamjui kuwa kuna watu ambao wapo mpaka sasa, walijitayarisha kuuteka urais.
Nyie mnaona jeshi lipo lipo tu, hamjui kuwa vyombo vingine vya ulinzi na usalama vilisha tekwa na kuwa compromised.
Mama Samia siku ya kuapishwa alipelekwa Ikulu na Jenerali wa jeshi.
Hongera jeshi letu, lilifanya kazi nzuri.
na hatua zipi walichukuliwa baada ya jeshi kuwadhibiti???acheni kulishana matango pori.