itakuwa ana kadi ya chama tu. Unaona hawa wanakamatwa kitu cha kwanza kuuliza ni uhusiano wao na Mbowe. Sasa kama wameshakuwa Raia wa kawaida uhusiano wao na Mbowe unashida gani?Hao jamaa sio ugonjwa tu umewaondoa huko,walikua na misala kibao,jeshi lina namna ya kudili na watu wagonjwa ambao hawako fit kuendelea na jeshi.mfano ba mdogo wangu mimi alikua mwanajeshi na bahati nzuri alikua huko kwenye mission congo,alivyorudi akapata ugonjwa flani uliomlazimu kuacha kazi,jwtz wamemtibu na mpaka leo anaendelea kutibiwa free pale lugalo ingawa sio mwanajeshi tena.
Kumlinda mbowo ni uovu?Kwani ni kila askari wa jwtz anaestaafu au kufukuzwa kazi anatendewa hayo waliyotendewa hao ex commandos?
Hao wamejiingiza kwenye vitendo viovu ndiyo maana yamewakuta hayo yaliyowakuta.
SahihiHii nchi imeoza kabisa,intelijensia inaruhusu vipi komandoo kuongea mambo mazito ya nchi hadharani?
Komandoo Anapata PTSD(post trauma syndrome desease),harafu anadhulumiwa haki zake anafukuzwa kazi kikatili,hapo Kuna watu weishayamezea mate mafao yake.
Wanajeshi kama Hawa ndio huwa wanakuwa recruited na foreign intelijence service,wanauza Siri zote za nchi!!wanazozijua.
Bora ata LadyjaydeeKomando ni mtu kama watu wengine ndio maana wamedakwa na kuchezea za uso kama watoto wadogo.Kifupi hao ni wachumba.
Ukiwa mwanajeshi, polisi, usalama ukastafu unaruhusiwa kujiunga na chama kimoja tu?? Kazi kweli kweli.Kumlinda mbowo ni uovu?
Ukinyamaza Bila ku comment unaonekana una akili
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Acha dharau kwenye jeshi utakuja kujuta siku moja wewe.Komando ni mtu kama watu wengine ndio maana wamedakwa na kuchezea za uso kama watoto wadogo.Kifupi hao ni wachumba.
Hii inafikirishaSasa kama hatapokea mafao yoyote au pensheni atawezaje kujitibu na ku attend clinic?? Vipi mfanyakazi anapoumia kazini na kukatwa mguu au mkono?
Tutampa kazi ya kumla mama yakoSasa mtu mgonjwa wa akili utampa kazi gani?
Akili zako hazina akili.Maana yake nn Mabeyo akawe jaji au una mananisha nn bwasheee?
Ndio maana hii nchi kila mtu ni mjinga tu , sasa kama hao kabisa wanaafanyiwa hivyo hivi raia wa kawaida ndio ataandamana kweli kudai haki mtaani?Yaani mtu anafukuzwa kama mbwa! Komando anaishia kwenda kulima mahindi jembe la mkono!
Mzee mcha Mungu kama yule Akida "SEMA NENO MOJA ......NAO WATAJUTA"....then Jesus turned to the crowd saying " I have never find such kind of faith faith all over Israel"Mtani wangu na mkuu wangu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo, nakusalimu na kukutakia kazi njema. Nakuuliza tu kizalendo: unayasikia au kuyasoma maneno yasemwayo na makomandoo wetu walio washtakiwa na mashahidi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake? Hakika, makomandoo hawa (ingawa kwasasa wote hawako tena jeshini/kazini) wanazungumza vya kushangaza na kuogofya.
Kuanzia Kusekwa/Adamoo, Ling'wenya hadi Mhina wa jana wamezungumzia kukamatwa kiholela; kuteswa; kutwezwa; kudhulumiwa na madhila mengine. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watulinde. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watupiganie. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watutetee. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili waendeleze uzalendo na utii wao kwa nchi yetu. Kwanini wamepitishwa kwenye njia waisemayo?
Makomandoo wetu wamelalamika; wamelia; lakini hawana la kufanya hadi mwisho wa kesi. Wenzao wa 92 KJ na kwingineko wanajifunza nini? Wanapata ujumbe gani? Wanawaza nini? Wanawataja wenzao wengine kukamatwa na kuteswa pia. Wako wapi wale waliotajwa? Kazini? Hai? Ndugu yangu Mabeyo, utumishi wako umetukuka. Sina shaka nawe wala na jeshi unaloliongoza. Makomandoo hawa, kwa mujibu wao, waliathirika vitani. Wapewe haki zao. Wakumbukwe. Watendewe yaliyo mema.
Unaandika lakini mtani wangu Jenerali Mabeyo? Nitakuja pia nyumbani na ofisini kusisitiza hili
Wasiojulikana sasa wamejulikana?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Rais anapataje usingizi wakati watu waliojitolea kumlinda yeye na utawala wake wanadhulumiwa haki zao namna hii!bila elimu ya degree moja kwenye haya majeshi yetu ya tanzania ni shida tupu, utaishia kupigia watu saluti wakubwa, utatumiwa vibaya kama hawa kina Goodluck then ukizeeka unatupwa huko kwenu.
Training za ukomandoo ni ngumu mno zinahitaji uvumilivu wa hali ya juu, kijana anahitimu unamtumia miaka 5 then unamuacha tena kwa fedheha, hii si haki.
Nimefanyaje ndugu yangu si mkawape vitasa hao mapoti waliowatembeza 'nakoz' za uso kwa makomando.[emoji16][emoji16][emoji16]Acha dharau kwenye jeshi utakuja kujuta siku moja wewe.
Wameonesha utii wa mamlaka, kupigana na kujinasua wangeweza ila si ndiyo ingehalalisha kuwa wao ni magaidi?kumbuka waliowakamata walikuwa zaidi ya mmoja,wewe angalia hata wakiwa wanaenda mahakamani,pingu mkononi wote na escort yao ni tofauti na wale wanaoshitakiwa kwa wizi wa kuku mtaani
Hizi mada zinaletwa kishabiki mno bila kujua shina lake,hawa wanajeshi walishafutwa ajira,wangekua kazini kuna utaratibu wa ukamatwaji waje,hawa ni raia wenzetu,kingine mfano umemkamata jambazi unataka akuonyeshe silaha kaficha wapi,utambembeleza akuambie alikoificha au utatumia nguvu ili kupata information unazotaka?,hii system ya kutumia nguvu iko duniani kote ndio maana hata CIA wana black cell huko ndio shuguli ya kuextract information hufanyika,usitegemee kupata information kwa mtu trained kirahisirahisi
Zamani tulikuwa tunaambiwa kwamba komando mmoja anaweza kupiga watu 1,000 kwa mpigo. Sasa nashangaa kusikia komando analia eti alikamatwa kiholela na kuteswa. Ajabu!Mtani wangu na mkuu wangu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo, nakusalimu na kukutakia kazi njema. Nakuuliza tu kizalendo: unayasikia au kuyasoma maneno yasemwayo na makomandoo wetu walio washtakiwa na mashahidi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake? Hakika, makomandoo hawa (ingawa kwasasa wote hawako tena jeshini/kazini) wanazungumza vya kushangaza na kuogofya.
Kuanzia Kusekwa/Adamoo, Ling'wenya hadi Mhina wa jana wamezungumzia kukamatwa kiholela; kuteswa; kutwezwa; kudhulumiwa na madhila mengine. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watulinde. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watupiganie. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watutetee. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili waendeleze uzalendo na utii wao kwa nchi yetu. Kwanini wamepitishwa kwenye njia waisemayo?
Makomandoo wetu wamelalamika; wamelia; lakini hawana la kufanya hadi mwisho wa kesi. Wenzao wa 92 KJ na kwingineko wanajifunza nini? Wanapata ujumbe gani? Wanawaza nini? Wanawataja wenzao wengine kukamatwa na kuteswa pia. Wako wapi wale waliotajwa? Kazini? Hai? Ndugu yangu Mabeyo, utumishi wako umetukuka. Sina shaka nawe wala na jeshi unaloliongoza. Makomandoo hawa, kwa mujibu wao, waliathirika vitani. Wapewe haki zao. Wakumbukwe. Watendewe yaliyo mema.
Unaandika lakini mtani wangu Jenerali Mabeyo? Nitakuja pia nyumbani na ofisini kusisitiza hili
Wasiojulikana sasa wamejulikana?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Hao hawakufu
hawakufukuzwa kazi kuna tofauti ya kufukuzwa na kustaafu. Kufukuzwa maana yake wana diclare kuwa hawakustahili kumwajiri mtumishi kama wewe na wanafuta kila kitu na kukurudisha katika hali uliyokuwa nayo kabla ya kuajiriwa na wao wabaki kwenye nafasi ya karibu kana kwamba hawajawahi kumwajiri mtumishi wa hovyo na.mwenye tabia mbovu kama wewe
Kutaafu ni kiwango cha juu kabisa cha heshima kwa mtumishi wa uma na mwajiri anafurahi ukilitumia jina lake baada ya kustaafu.lakini kufukuzwa ni.fedheha na hakuna mwajiri yoyote atakubali ujitambulishe kwa jina la kampuni yake baada ya kui tarnish image ya kampuni yake kwa tabia mbovu iliyosababisha kufukuzwa kwa fedheha
Mtani wangu na mkuu wangu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo, nakusalimu na kukutakia kazi njema. Nakuuliza tu kizalendo: unayasikia au kuyasoma maneno yasemwayo na makomandoo wetu walio washtakiwa na mashahidi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake? Hakika, makomandoo hawa (ingawa kwasasa wote hawako tena jeshini/kazini) wanazungumza vya kushangaza na kuogofya.
Kuanzia Kusekwa/Adamoo, Ling'wenya hadi Mhina wa jana wamezungumzia kukamatwa kiholela; kuteswa; kutwezwa; kudhulumiwa na madhila mengine. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watulinde. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watupiganie. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watutetee. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili waendeleze uzalendo na utii wao kwa nchi yetu. Kwanini wamepitishwa kwenye njia waisemayo?
Makomandoo wetu wamelalamika; wamelia; lakini hawana la kufanya hadi mwisho wa kesi. Wenzao wa 92 KJ na kwingineko wanajifunza nini? Wanapata ujumbe gani? Wanawaza nini? Wanawataja wenzao wengine kukamatwa na kuteswa pia. Wako wapi wale waliotajwa? Kazini? Hai? Ndugu yangu Mabeyo, utumishi wako umetukuka. Sina shaka nawe wala na jeshi unaloliongoza. Makomandoo hawa, kwa mujibu wao, waliathirika vitani. Wapewe haki zao. Wakumbukwe. Watendewe yaliyo mema.
Unaandika lakini mtani wangu Jenerali Mabeyo? Nitakuja pia nyumbani na ofisini kusisitiza hili
Wasiojulikana sasa wamejulikana?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Hao kwa sasa sio askari wa Jwtz, wapambane na hali zao tu.