Jenerali Mabeyo, unayasikia yasemwayo na makomandoo wetu mahakamani kwenye kesi ya Mbowe?

itakuwa ana kadi ya chama tu. Unaona hawa wanakamatwa kitu cha kwanza kuuliza ni uhusiano wao na Mbowe. Sasa kama wameshakuwa Raia wa kawaida uhusiano wao na Mbowe unashida gani?
 
Kwani ni kila askari wa jwtz anaestaafu au kufukuzwa kazi anatendewa hayo waliyotendewa hao ex commandos?
Hao wamejiingiza kwenye vitendo viovu ndiyo maana yamewakuta hayo yaliyowakuta.
Kumlinda mbowo ni uovu?

Ukinyamaza Bila ku comment unaonekana una akili

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Sahihi
 
Yaani mtu anafukuzwa kama mbwa! Komando anaishia kwenda kulima mahindi jembe la mkono!
Ndio maana hii nchi kila mtu ni mjinga tu , sasa kama hao kabisa wanaafanyiwa hivyo hivi raia wa kawaida ndio ataandamana kweli kudai haki mtaani?
Hawa jamaa wanakiburi cha luaifa kabisa jamani hili sio jambo la kawaida japo sisi humu tunaongea tu na kuliacha , hii inaonesha kuna kitu hawa jamaa wanategemea maana siku zote raia ndio huwa wanavunjiwa heshima sio jeahi, leo jeshi linadharirishwa!!!!! Kwa mara ya kwanza tangu uhuru, hii kitu hawajafanya tu, hili tukio ni lugha kabisa , kuna tafasiri yake wameonyesha hapo kwa vitendo, kuwa sasa wapo wao,
 
Mzee mcha Mungu kama yule Akida "SEMA NENO MOJA ......NAO WATAJUTA"....then Jesus turned to the crowd saying " I have never find such kind of faith faith all over Israel"
 
Rais anapataje usingizi wakati watu waliojitolea kumlinda yeye na utawala wake wanadhulumiwa haki zao namna hii!

Nafahamu kwa taratibu za kijeshi haiwezekani na ni kosa la kihaini kwa wanajeshi kulalamika, lakini kupitia kesi hii ya ugaidi inayomuhusu Mbowe wananchi tumejua kinachojiri kwa vijana wetu. Ni wajibu wetu kama raia na wazazi wa vijana wetu hawa waliopo majeshini kuanza kuwapigania, tusingoje wawe wengi mitaani kwa sababu tutakaoumia ni sisi!
 
Acha dharau kwenye jeshi utakuja kujuta siku moja wewe.
Nimefanyaje ndugu yangu si mkawape vitasa hao mapoti waliowatembeza 'nakoz' za uso kwa makomando.[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Msuguli asingekubali udhaliliahaji kama huu
 
Kwa nini unafikiria kila kitu wanachofanya wazungu ni kizuri kuigwa na sisi?
 
Zamani tulikuwa tunaambiwa kwamba komando mmoja anaweza kupiga watu 1,000 kwa mpigo. Sasa nashangaa kusikia komando analia eti alikamatwa kiholela na kuteswa. Ajabu!
 
Hata mtu akifukuzwa kazi stahiki zake lazima apewe. Kama kuna mafao aliyokatwa katika mshahara akiwa kazini lazima alipwe.
 

Kwakweli kunyanyasika kwa makomandooo Hawa kwenye kesi ya kisiasa ni DOA kubwa sana kwenye utumishi wa Mkuu wa a majeshi
Ingeeleweka kama kungekua na sababu genuine Lakini kama wameponzwa na kuomba kazi kwa Mh Mbowe basi ni uonevu na Jambo hili limeweka doa sana na malalamiko toka kwa Makomandoo wenzao

1. karibu wote ni wahanga wa kuondolewa jeshini baada ya madhara ya kimapigano sudan au DRC

2. je Haki za komandooo au Askari ni zipi pale anapoondoka kazini kwa madhara yeyote hasa mstari wa mbele

3. Je kuna ubaya gani kufanya kazi ya VIP protection kama ambavyo wastaafu wengine wanafanya kazi za ujuzi wao au walitaka wakawe walinzi wa usiku ?

kiu fupi hii kesi imeli expose sana Jeshi letu na kitendo cha Mkuu wa Majeshi kushindwa hata katika hatua za awali kuwasaidia vijana wake ni doa

pia imeonekana utawala uliopita ni askari wengi tu wa TPDF walikua wanakamatwa kimya kimya …. Hii ni fedheha na kupandikiza mbegu mbaya sana !
 
Hao kwa sasa sio askari wa Jwtz, wapambane na hali zao tu.

Kauli hii inaweza kutolewa tu na mtu ambaye hana heshima kwa Jeshi letu lakini angekua anajua hata asilimia 1% tu ya kazi ya commando usingesema hilo

na unatakiwa kujua commando au askari yeyote hata akiondoka au kuondolewa jeshini kama sio kwa UHAINI anabaki kuwa askari wa akiba ina maana likitokea lolote anaweza kutumika….ndio maana unaona mfano Ethiopia hadi askari waliostaafu wanarudishwa kusaidia …

Mkuu wa zamani wa Utendaji Kivita TPDF Col Alli Mahfoudh aliwahi kuondolewa jeshini lakini ilipotokea tatizo Msumbiji alitudishwa na kwenda kuwa Milllitary Attache kusaidia kama mshauri maalum wa vita ( kupambana na RENAMO)

KImsingi kama mtu hakutoka kwa uhaini a napumzika tu hafukuzwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…