Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Huyo ni Luteni Jenerali.Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye ni Mtoto wa Rais Museven wa Uganda yupo ziarani nchini Rwanda
Amepewa zawadi ya Ng'ombe aina ya Inyambo baada ya kutembelea shamba la Rais Paulo Kagame
View attachment 2152293
View attachment 2152295
View attachment 2152296
View attachment 2152297
View attachment 2152298
Kuanzia Brigadier General hadi General wote ni General officers na wanitwa General unless kuna haja kuweka distinction.Huyo ni Luteni Jenerali.
Baada ya hapo kinachofuata ndio u Jenerali
Hata huku raisi yako ajaye ni hao hao, mwinyi, Karume, JK etc wana chance kubwa sana ya kuwa future President, maji hufuata mkondo boss hata US mambo ni hayo hayo Bush and son and almost mke wa Clinton awe Raisi, ni maisha tuu pambana na weweScript zao ni za kitoto sana.... movie inaanza tu unajua mwisho wake.
Museveni katumia nguvu nyingi sana kumuandaa mtoto wake Muhoozi kwa ajili ya kumrithi.
Kagame nae anamwandaa mwanae Ivan kuja kurithi kiti chake.
Anyways, ni bora wafanye hivyo, maana Afrika ukitoka bila mipango utaishia lupango au uhamishoni c.c Dos Santos wa Angola
Afadhali huku kwetu.... bado kuna nafasi ya kupambana. Wanachofanya wenzetu ni ufalme wa wazi wazi; imagine Kikwete angebaki madarakani mwaka 2015, akisubiri kuja kumpa urais Ridhiwani mwaka 2030! Nadhani hata CCM wangemgomeaHata huku raisi yako ajaye ni hao hao, mwinyi, Karume, JK etc wana chance kubwa sana ya kuwa future President, maji hufuata mkondo boss hata US mambo ni hayo hayo Bush and son and almost mke wa Clinton awe Raisi, ni maisha tuu pambana na wewe
Ukiondoa Wamasai. Tutsi Rwanda, Dinka south Sudan, Hamer southern Ethiopia na Fulani west Africa, central Africa hadi western Sudan ndio makabila yanayothamini mifugo ya ng'ombe Africa kuliko kitu chochote toka jadi enzi na enzi.Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye ni Mtoto wa Rais Museven wa Uganda yupo ziarani nchini Rwanda
Amepewa zawadi ya Ng'ombe aina ya Inyambo baada ya kutembelea shamba la Rais Paulo Kagame
View attachment 2152293
View attachment 2152295
View attachment 2152296
View attachment 2152297
View attachment 2152298
Napenda Sana hiyo breed ya ng'ombe wenye mapembe makubwaLuteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye ni Mtoto wa Rais Museven wa Uganda yupo ziarani nchini Rwanda
Amepewa zawadi ya Ng'ombe aina ya Inyambo baada ya kutembelea shamba la Rais Paulo Kagame
View attachment 2152293
View attachment 2152295
View attachment 2152296
View attachment 2152297
View attachment 2152298
Hivi yule Ivan ataweza kweli?Script zao ni za kitoto sana.... movie inaanza tu unajua mwisho wake.
Museveni katumia nguvu nyingi sana kumuandaa mtoto wake Muhoozi kwa ajili ya kumrithi.
Kagame nae anamwandaa mwanae Ivan kuja kurithi kiti chake.
Anyways, ni bora wafanye hivyo, maana Afrika ukitoka bila mipango utaishia lupango au uhamishoni c.c Dos Santos wa Angola
Nyumbani ni nyumbani, tunakumbushana tulipokuwa tunasoma pamoja shule ya msingi na mwendazake.Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye ni Mtoto wa Rais Museven wa Uganda yupo ziarani nchini Rwanda
Amepewa zawadi ya Ng'ombe aina ya Inyambo baada ya kutembelea shamba la Rais Paulo Kagame
View attachment 2152293
View attachment 2152295
View attachment 2152296
View attachment 2152297
View attachment 2152298
Mtetezi wetu pia alipewa ng’ombe aina ya Inyambo huko kwa Kagame.Hii riwaya inatufundisha nini sisi "wanyonge" ambao mtetezi wetu alikufa tarehe 17/3?
Wasukuma wanakaa wapi?Ukiondoa Wamasai. Tutsi Rwanda, Dinka south Sudan, Hamer southern Ethiopia na Fulani west Africa, central Africa hadi western Sudan ndio makabila yanayothamini mifugo ya ng'ombe Africa kuliko kitu chochote toka jadi enzi na enzi.
Nadhani origin ya hawa watu zamani itakuwa wameishi(ancestral land) maeneo yasiyokuwa na rutuba na kusupport kilimo,(horn of Africa)Ukiondoa Wamasai. Tutsi Rwanda, Dinka south Sudan, Hamer southern Ethiopia na Fulani west Africa, central Africa hadi western Sudan ndio makabila yanayothamini mifugo ya ng'ombe Africa kuliko kitu chochote toka jadi enzi na enzi.