nyways, ni bora wafanye hivyo, maana Afrika ukitoka bila mipango utaishia lupango au uhamishoni c.c Dos Santos wa Angola
Kweli kabisa na mie nawaunga mkono hatufurahii wengine hasa viongozi kuumia kwa style hii!! tena kule Angola wanao fanya hayo mabaya ni waleee watu wake wa karibu alio wapa Madaraka mwenyewe!
hatufurahi ndg zetu, waliojitoa ajili ya Bara lao, eti familia zao wapate maatizo kwa furaha ya mtu mmoja! big noo!......wakaishi uhamishoni! mweusi/african akiwa Billionea kwa nini weusi wana nuna??
hawa ni kuwatawala tu! make hawajui wana taka nini!! atatokea tu mtu mmoja nchini Angola ataamua kumrudishia yule Dada, Isabela Dos Santos mali zake zoote weye subiri tu!
yaani yule mtoto kuwa Millionea imewauma sana mamtu meusi, weusi mna laana mbaya, Mnangagwa kaamua kupiga kimya tu, Grace Mugabe haguswi!...
Mama yetu Samia kaamua kupiga kimya Makonda haguswi, safi sana hakuna kulipana visasi vya kijinga hovyo kabisa, Mama/Mnangagwa/Kabila mdogo wataishi milele wale kwenye Nyoyo za waafrica!
hata leo wawekezaji wakija wataitwa majina mabaya mabaya tu!..oooh wakoloni wamerudi, gabachori, sijui Beberu linaiba almasi, dhahabu, mafuta nk!....yaani siri iliyopo wakoloni wakija kuwekeza Africa hawana Raha!
Basi muafrica chimba wewe??!! dodoroooo! .......pa kuuzia hana, cha kufanyia hajui, Lkn anapenda kwenda Ulaya kwa kuogolea kwenye Mto/bahari yenye Hatare ili afike KUbeba Boxes kwa hao Wakoloni!
Lkn hao! hao! wakoloni wakija huku kuwapa Ajira Poa kwa wote , ili kuwarahisihia kazi za kuvuka Bahari za Hatare, mnawananga tena hamtaki waziguze Mali zenu!....mpaka wanatimuka.....
.mfano MKONGE mliulililiaa weeee!...mnautaka shamba letuuuu??.......haya hiloooo! makaachiwa na mashine kibao.... huo hapo Mkonge unaoza tu!....Haya mafuta ya Mtwara mpaka mmetoana Roho!
hayoooo sasa yako kwingine Msumbiji! Wamakonde chimbeni sasa km mna jeuri! hamana kitu sasaaa....kuweni wapore mleeee nyani nyie!!!...hata tukiwaua wooote lkn Bado ujinga hautoki milele!