Hujui majeshi. Uganda haifanyi kitu kwa jeshi la Kenya, sio kwa silaha wala mafunzo wala nidhamuHuo ni ukweli jeshi la Uganda UPDF kwa sasa Afrika mashariki hakuna wakuwagusa kabisa
Pole sana, ni verified accountUsiwe kilaza wewe mtoa mada hiyo ni fake akaunti
Hiki chama ni hatariMwingine huyu hapa
Mseveni akijakuondoka madarakani tutarajie another military coup in UgandaYaaani nimeshindwa kuelewa mshauri wa masuala ya usalama katika nchi analeta utoto kama huu duuhView attachment 2376256
Kijana ameshalewa madaraka kabla hajakabidhiwa na madhara yake yataonekanaYaaani nimeshindwa kuelewa mshauri wa masuala ya usalama katika nchi analeta utoto kama huu duuhView attachment 2376256
JWTZ kusini mwa jangwa la sahara inapambana na south africa. Waone hivi hivi.Huo ni ukweli jeshi la Uganda UPDF kwa sasa Afrika mashariki hakuna wakuwagusa kabisa
Sijui nikwani natamani huyu kijan amridhi Bab ake m7Yaaani nimeshindwa kuelewa mshauri wa masuala ya usalama katika nchi analeta utoto kama huu duuhView attachment 2376256
Alfu bomba la wese lipite wapi waKenya Ni wakora acha muhoozi awanjoshee takataka waleTunaweza kudhani anaisema Kenya kumbe ameilenga Tanzania, hata Ile Vita ya 1978-1979 ilianzaga hivi hivi