covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Yaah suree yaani kuna viongozi wanadhani madaraka waliyonayo ni urithi..Huyu zuzu mwingine anajiona na kuiona Tanzania kama nchi walio achiwa urithi, EARN RESPECT sio vinginevyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaah suree yaani kuna viongozi wanadhani madaraka waliyonayo ni urithi..Huyu zuzu mwingine anajiona na kuiona Tanzania kama nchi walio achiwa urithi, EARN RESPECT sio vinginevyo
Kwa kipimo gani? Kwa silaha gani? Kwa teknolojia gani?Huo ni ukweli jeshi la Uganda UPDF kwa sasa Afrika mashariki hakuna wakuwagusa kabisa
Unajuwa kwamba Idd Amin alikuwa na jeshi la kisasa,lenye zana sophisticated kuliko TPDF ?Huo ni ukweli jeshi la Uganda UPDF kwa sasa Afrika mashariki hakuna wakuwagusa kabisa
Jana katika historiaView attachment 2376342
Idd na Kenyatta walikuwa marafiki sana,huu ni uongoJana katika historiaView attachment 2376342
Sidhani kama katumwa, nadhani anarithi ubabe wa baba yake ambao kauishi miaka yake yote tangu azaliwe Dar es Salaam.Huyu mtoto wa Museveni katumwa na nani?
Dogo hajui kama Kenya ni kilembwe pekee cha malkiaMtoto wa Rais wa Uganda Gen. Muhoozi Kainerugaba amesema yeye na vikosi vya majeshi yake vinaweza kuuteka mji wa Nairobi, Kenya kwa kutumia muda usiozidi wiki mbili kisha kuufanya kuwa sehemu ya nchi yake.
View attachment 2376307
Kupitia mtandao wa Twitter, Gen. Muhoozi amesema hajali mipaka ya nchi iliyowekwa tangu enzi za ukoloni na ametoa hakikisho kuwa ikiwa vita itatokea katika harakati za kuichukua Nairobi basi itachukua muda mfupi kuisha.
Jumbe hizi zinaweza kuleta mgogoro wa kidoplomasia kati ya nchi hizi japo bado haifahamiki kama anafanya utani, amedukuliwa au maandiko yake yana maana ipi.
Amesema kuwa wao kama Uganda hawajali Katiba au utawala bora isipokuwa mapinduzi pekee, na kama Kenya haijui yalivyo basi wasubirie kujifunza kutoka kwao.
“Baada ya majeshi yetu kuiteka Nairobi, mimi nitaishi wapi, Westlands au Riverside?” Amehoji Gen. Muhoozi.
Katika hatua nyingine ameelezea furaha yake baada ya kuzungumza na Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta ambaye amenuahidi kutembelea nchi ya Uganda siku chache zijazo. Amesikitika kwa nini Rais huyo mwenye uelewa mkubwa wa mambo, jasiri na muungwana hakugombea mhula wa tatu wa urais kwa kuwa yeye anayo imani kuwa angeshinda.
ivi huwa unafatilia mambo kweli mambo yanabadilika sana !!labda tuwashinde kwa manenoAnaona Kenya ni poyoyo??
Mbona hasemi Tz
Mlevi huyo tumnyooshe kama ndugu yake amini nduli
Ahame nchi yake na afie huko porini
Pumbavu kabsaaa ole wake aiguse Kenya
Yeye alewe mataputapu yake halafu amguse jiran yetu bila kosa lolote
Tutamnyoosha
Kuna kitu hakiko sawaBring it on dude