Jenerali Muhoozi Kainerugaba ni dhahiri sasa amelewa madaraka. Ni kweli kwamba hajui madhara ya kauli aliyotoa kuhusu kuivamia Kenya?

Jenerali Muhoozi Kainerugaba ni dhahiri sasa amelewa madaraka. Ni kweli kwamba hajui madhara ya kauli aliyotoa kuhusu kuivamia Kenya?

Huyu zuzu mwingine anajiona na kuiona Tanzania kama nchi walio achiwa urithi, EARN RESPECT sio vinginevyo
Yaah suree yaani kuna viongozi wanadhani madaraka waliyonayo ni urithi..
 
Jana katika historia
Screenshot_20220903-130447.png
 
Tanzania ni Kiranja Mkuu kwa nchi zote za Afrika mashariki na Kusini mwa Afrika.. hivyo nchi zote zipo huru na zinapaswa kutokua na hofu kwa sababu ya Tanzania..
 
Nahisi atakua amedukuliwa maana ana tweet upupu tu. Ila kama yupo serious,Wacha tuone ajue sumu haionjwi hata siku moja.
 
Mtoto wa Rais wa Uganda Gen. Muhoozi Kainerugaba amesema yeye na vikosi vya majeshi yake vinaweza kuuteka mji wa Nairobi, Kenya kwa kutumia muda usiozidi wiki mbili kisha kuufanya kuwa sehemu ya nchi yake.

View attachment 2376307

Kupitia mtandao wa Twitter, Gen. Muhoozi amesema hajali mipaka ya nchi iliyowekwa tangu enzi za ukoloni na ametoa hakikisho kuwa ikiwa vita itatokea katika harakati za kuichukua Nairobi basi itachukua muda mfupi kuisha.

Jumbe hizi zinaweza kuleta mgogoro wa kidoplomasia kati ya nchi hizi japo bado haifahamiki kama anafanya utani, amedukuliwa au maandiko yake yana maana ipi.

Amesema kuwa wao kama Uganda hawajali Katiba au utawala bora isipokuwa mapinduzi pekee, na kama Kenya haijui yalivyo basi wasubirie kujifunza kutoka kwao.

“Baada ya majeshi yetu kuiteka Nairobi, mimi nitaishi wapi, Westlands au Riverside?” Amehoji Gen. Muhoozi.

Katika hatua nyingine ameelezea furaha yake baada ya kuzungumza na Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta ambaye amenuahidi kutembelea nchi ya Uganda siku chache zijazo. Amesikitika kwa nini Rais huyo mwenye uelewa mkubwa wa mambo, jasiri na muungwana hakugombea mhula wa tatu wa urais kwa kuwa yeye anayo imani kuwa angeshinda.
Dogo hajui kama Kenya ni kilembwe pekee cha malkia
 
Nilifikiri ni jokes kumbe ni kweli na naona wa ndugu zetu washa charuka
 
Anaona Kenya ni poyoyo??
Mbona hasemi Tz
Mlevi huyo tumnyooshe kama ndugu yake amini nduli

Ahame nchi yake na afie huko porini
Pumbavu kabsaaa ole wake aiguse Kenya
Yeye alewe mataputapu yake halafu amguse jiran yetu bila kosa lolote

Tutamnyoosha
ivi huwa unafatilia mambo kweli mambo yanabadilika sana !!labda tuwashinde kwa maneno
A43DFC3F-9280-42BF-B1D4-A604E687744E.jpeg
 
Back
Top Bottom