Yani Marekani aivamie China kisa wewe umetaka? Nchi sio kikoba, hawafyatuki wakafanya unavyojisikia.
Toka hapo ulipo nenda ubalozi wa Marekani uulize kazi ya jeshi lako ni nini ili siku nyingine usiombe wakufurahishe. Watu wanaomba kuandaa mashindano ya michezo wewe unaomba vita