Jenerali Muhoozi yamkuta mazito baada ya kumtishia balozi wa Marekani

Huku ndiko kupigwa kitu kizito sana utosini:

View attachment 3120009

Habari ziwafikie wote wenye kuleta fyoko fyoko:

"Chezea wengine siyo beberu!"
Kuna.mkwara wa Biden sasa ndio hatari sanaa....kaambiwa asije akajidanganya akavamia embassy yao pale kampala watajuta kuijia USA....watachakaza jeshi lao zima....na kujutia ukinga wao....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…