Jenerali Ulimwengu (2021): Samia Haijui Tanzania. Prof. Mwandosya (2015) Magufuli haijui CCM, hajawahi hata kuwa Mjumbe

Jenerali Ulimwengu (2021): Samia Haijui Tanzania. Prof. Mwandosya (2015) Magufuli haijui CCM, hajawahi hata kuwa Mjumbe

Samia hakutakiwa kuwa kiongozi wa hili taifa, hayupo aliyetarajia hili kutokea, ni bahati mbaya ndio imemfanya awepo hapo alipo, na matokeo ya hiyo bahati mbaya ndio sasa anatuonesha kwa vitendo vile alivyo dhaifu asiye na mwelekeo, mjinga ambaye anashindwa hata kulinda rasilimali za taifa, tuna bahati mbaya sana watanganyika.

Huyu mwanamke ataliacha taifa kwenye hali mbaya sana, anaharibu pakubwa ambapo athari za uharibifu wake zitaenda moja kwa moja kuumiza mpaka vizazi vijavyo vya hili taifa, ni jambo baya na la hatari sana pale kiongozi mharibifu anapojigeuza bubu, akijidanganya hiyo ndio hekima, kumbe ni ujinga mtupu, kiongozi lazima uoneshe njia kwa kauli na matendo.
Ulitakiwa uwe wewe?!!

Baba yako ?!!

Mama yako ?!!!

Hivi vitanda vya wodi namba 14 ACUTE pale Mirembe vimejaa na wengine kuwa mitaani ?!!!

Yaani "vetting" zifanyike halafu taifa likosee?!! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Hivi vijana wenzangu tunafikiria mwisho wa pua zetu ?!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
 
Wenzake kina Kikwete walienda kwa Papa kuomba kibali kuitawala Tanzania,yeye kaenda Oman kuomba kibali,hii inadhihirisha jinsi asivyoijua Tanzania,Maaskofu wa Katoliki wamemkataa kwenye waraka maana amewadharau na hakulijua hilo kwanza.
 
Hujui kutofautisha utulivu na ujinga, wewe unaamini ujinga ndio utulivu.
Never give wisdom to unworthy because it unjust to the knowledgeable [emoji1787][emoji1787]

Unamdogosha sana Rais kihisia tu....zilizoko kichwani mwako....

Kalaghabaho
 
Viongozi wetu wanapatikanaje?
Na tunapimaje uwezo wao wa kuongoza? Je tuna mfumo wa kuwatengeneza? Job Description ya Kuwa Rais, Waziri Mkuu, Spika kwa Tanzania inataka vitu gani?

Nimekumbuka hayo kutoka kwa hawa Nguli wawili. Mwaka 2015 baada ya vikao vya CCM DODOMA, Prof na Mwalimu wangu, Prof Mwandoshya alikuja na mshangao kwa CCM na Vikao vyake "kwanini tumemchagua mtu ambaye haijui CCM, hajawahi hata kuwa mjumbe wa kamati ya Siasa ya Tawi" kauli hii ilimtia matatani sana, akaamua kutumia muda mwingi nyumbani kwake Matema Beach Kyela ili pia Kujilinda. Yaliyofuatia wana CCM Wanayajua.

Mwaka 2021 baada ya kifo cha Hayati Magufuli akashika kijiti Mama Samia. Akaibuka Nguli Mwingine, Jenerali Ulimwengu, akamwambia Mama "Kaa kwa kutulia, Tanzania huijui" alimshauri Mama kupata wasaa kuijua Tanzania. Wakati ule sikumwelewa vema Jenerali, lkn sasa naanza kumwelewa.

Hawa watu wawili Prof. Mwandosha na Jenerali Ulimwengu ni watanzania wanaoijua nchi. Kauli zao zinaonesha chngamoto kubwa ya kuwapata viomgozi wetu.

Je, hawa wanaotuongoza wanajua wanakotupeleka?

"... akaamua kutumia muda mwingi nyumbani kwake Matema Beach Kyela ili pia Kujilinda."

Narekebisha: "nyumbani kwake ni Lufilyo wilayani Rungwe, si Kyela."
 
Samia hakutakiwa kuwa kiongozi wa hili taifa, hayupo aliyetarajia hili kutokea, ni bahati mbaya ndio imemfanya awepo hapo alipo, na matokeo ya hiyo bahati mbaya ndio sasa anatuonesha kwa vitendo vile alivyo dhaifu asiye na mwelekeo, mjinga ambaye anashindwa hata kulinda rasilimali za taifa, tuna bahati mbaya sana watanganyika.

Huyu mwanamke ataliacha taifa kwenye hali mbaya sana, anaharibu pakubwa ambapo athari za uharibifu wake zitaenda moja kwa moja kuumiza mpaka vizazi vijavyo vya hili taifa, ni jambo baya na la hatari sana pale kiongozi mharibifu anapojigeuza bubu, akijidanganya hiyo ndio hekima, kumbe ni ujinga mtupu, kiongozi lazima uoneshe njia kwa kauli na matendo.
Ulivyoviongea naviunga mkono, ni ujinga kuwa kiongozi wa hivi katika taifa.
 
Mwandosha ni nani! Sijawahi sikia jina hili tangu dunia ianze!
Ama wewe ni mtoto. Au ni miongoni mwa watu wasiojribu kuifahamu Tanzania na baadhi ya watu wake.

Mwandosya, mwanaume wa msomi wa kiwango cha kimataifa, jina lake ni kubwa sana hapa nchini. Prof Marc Mwandosya, jembe kali toka nyanda za juu Kusini.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
shida ya samia kafanya kazi sana kwenye NGO's kwa mitazamo ya NGO anaileta kwenye nchi, na NGO nyingi zinaamini haziwezi kufanya vitu bila misaada, na assistance kutoka nje ya system zao, hawawezi kuchakata rasilimali zao na wakasepa, na shida ya Magu aliamini sana tunaweza kufanya wenyewe bila msaada wa wengine.
"Contradiction " sasa kwahiyo kote kuna shida tupu??
 
Narudia tena...

Ndugu Jenerali Ulimwengu kazi yake ilishakwisha.....ilishakwisha....ni warundi wengi wamelitumikia taifa hili....ni wanyarwanda wengi wamelitumikia taifa hili....ni wakongo wengi... etcetera.....

Jenerali Ulimwengu ana tofauti gani nao ?!!!

Tanzania ni kubwa mno zaidi ya ukubwa wa akili za waliomfanya alitumikie taifa hili.... Ulimwengu akili imkae[emoji106]

#Mama Yupo [emoji120]

#Mama SSH ni amiri jeshi wetu kumdogosha ni kutangaza Vita mitandaoni [emoji120]
 
Wenzake kina Kikwete walienda kwa Papa kuomba kibali kuitawala Tanzania,yeye kaenda Oman kuomba kibali,hii inadhihirisha jinsi asivyoijua Tanzania,Maaskofu wa Katoliki wamemkataa kwenye waraka maana amewadharau na hakulijua hilo kwanza.
Si maaskofu...

Si masheikh wenye kusimamia maslahi ya nchi hii...

Taifa letu ni la kijamaa....hizo dini zenu kaeni nazo wenyewe....

Kaeni zenu wenyewe ni UJINGA ULIOWAJAA.....
 
Ama wewe ni mtoto. Au ni miongoni mwa watu wasiojribu kuifahamu Tanzania na baadhi ya watu wake.

Mwandosya, mwanaume wa msomi wa kiwango cha kimataifa, jina lake ni kubwa sana hapa nchini. Prof Marc Mwandosya, jembe kali toka nyanda za juu Kusini.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Kumzidi Tuntemeke Sanga ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Usakala utawatoka lini ?!!!
 
Ulivyoviongea naviunga mkono, ni ujinga kuwa kiongozi wa hivi katika taifa.
Ulitakiwa uwe wewe?!!

Babayo ?!!

Mamayo ?!!!

Nchi hii haijakosa wenye akili....wenye "akili" walimuona mh.Rais SSH....

Tafuta kikopo cha mafuta umtafute "baasheeer".......
 
Ukisikia wanasema huyu haijui CCM basi jua kuijua CCM inabidi uwe mnafiki, ambae unapiga dili kwa kushirikiana na wenzio
Yaani "mtutsi" ndio aijue CCM ?!!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Kalaghabaho
 
Kenya! Imesonga kwenda wapi au ni Kenya gani unayoitamka hapa! Huko ndiko kumejaa vurugu mechi, kila siku ni maandamano na kutwangana tu!
Wamejaa ujinga....

Eti Kenya....[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Kweli Mirembe vitanda vimejaa....
 
shida ya samia kafanya kazi sana kwenye NGO's kwa mitazamo ya NGO anaileta kwenye nchi, na NGO nyingi zinaamini haziwezi kufanya vitu bila misaada, na assistance kutoka nje ya system zao, hawawezi kuchakata rasilimali zao na wakasepa, na shida ya Magu aliamini sana tunaweza kufanya wenyewe bila msaada wa wengine.
Umekariri...

Upumbavu wa KUKARIRI....siwezi kuinanga elimu yetu....ninaunanga uzoba na ujuha wako wa malezi mabovu ya kutofundishwa UADHIMU WA TAIFA unaloishi.... kalaghabaho y
 
Back
Top Bottom