Jenerali Ulimwengu: Inanichosha kusikia sifa za Rais kila dakika

Jenerali Ulimwengu: Inanichosha kusikia sifa za Rais kila dakika

Kusema kweli inachosha sana,wanasiasa hawawezi kujenga hoja bila kutaja neo Rais........mi taarifa ya habari kwenye local channels niliacha kuangalia tangu enzi za JPM, maana DC,RC,MAWAZIRI,DAS,RAS,WAKURUGENZI etc wote wakiongea lazima neno Rais litajwe
 
Ni watu wachache wenye uwezo wa kumkosoa Rais huyu Jenerali ni mmoja wao.

Hana nia mbaya kwenye kukosoa kwake ila Machawa wa Mama sidhani kama watamuacha Salama.

Ilianza kama utani awamu ile, maana ilifikia wakati kuna Mhe. Mmoja alimsifia Mhe. RAIS hadi kufikia kumuita Mhe. MUNGU badala ya Mhe. RAIS 🙌
Hadi kusema Rais kamtoa jalalani, yaani mtu alikuwa lecturer chuo kikuu, kumbe lile lilikuwa jalala. Watu toka JPM waliamua kujizima network kabisa, na viongozi wanabariki ujinga sasa imekuwa trend, kila mtu anasifia tu.
 
Chawa wamezidi mpaka mawaziri ni chawa,ukisimama jukwaani usipo msifu mama utaondolewa kwenye nafasi yako
 
Ifikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.

Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.

Alichosema Jenerali Ulimwengu

"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
Hizi ndio siasa za Afrika.
 
Ulimwengu yupo sahihi siku hizi sio serikali imefanya hivi, au tumetumia kodi zenu Watanzania kufanya hiki na hiki.

Nikushukuru Rais Dr kutupa hiki, kutujengea hospitali, shule barabara.

Tunakuomba Rais kama ikupendeza, chawa katika ubora wao.

Ila kuna mantiki kusifia na kujipendekeza ndio njia ya kulamba teuzi awamu hii.
 
Hata mvua ikinyesha, ni lazima kumsifu mama Dr Samia Suluhu Hassan.
Vivyo hivyo mvua ikikatika na jua likiwaka.

Pia unaweza kumsifia Rais kwa matokeo mazuri ya mitihani ya darasa la saba
Ifikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.

Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.

Alichosema Jenerali Ulimwengu

"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
 
Ifikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.

Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.

Alichosema Jenerali Ulimwengu

"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
Mbwa kabisa hii Jenerali Ulimwengu.
 
Ifikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.

Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.

Alichosema Jenerali Ulimwengu

"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
kama ambavyo inachosha kukuskia wewe Mzee Generali mtu mzima ukilalamika daily
 
Hakuna namna mzee, itabidi uzoee tu kizazi kimebadilika, ukosefu wa ajira umewafanya wengi kuwa watumwa wa kifikra, hata kama wana elimu zao vichwani.

Siku hizi uchawa ndio habari ya mjini, machawa wanaishi vizuri mjini zaidi ya waajiriwa wa sehemu mbalimbali.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Machawa wana maisha mazuri kuliko ma profesa, Machawa wapo kwenye msafara wa rais. Na rais mwenyewe alishasema chawa wake waheshimiwe. Bila uchawa hapa mjini hutoboi.

Kibaya zaid uchawa umesambaa zaid mpaka kwenye level ya kaya, Wilayan, kwenye halmashauri, Kwenye vituo vya afya, Manes wanakuwa machawa wa wabunge, sijui meya, mkurugenzi nk, kwenye makampuni hivyo hivyo.

Hii issue ya uchawa imesababisha damage kubwa sana kwenye maadili ya vijana na ile spirit tuliyojengewa na Magu, ile ya Kupambana, Kuchapa kazi, kusukuma mambo ili yaende. Awamu hii, tunafundishwa kuwa machawa. Uchawa ndo habari ya mjini, lakin uchawa una ajiri watu wangapi, ni uharibifu usio wa kawaida wa jamii.
 
1. Njaa
2. Njaa
3. Njaaa
4. Njaaa mbaya
 
Back
Top Bottom