Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Kusema kweli inachosha sana,wanasiasa hawawezi kujenga hoja bila kutaja neo Rais........mi taarifa ya habari kwenye local channels niliacha kuangalia tangu enzi za JPM, maana DC,RC,MAWAZIRI,DAS,RAS,WAKURUGENZI etc wote wakiongea lazima neno Rais litajwe