Jenerali Ulimwengu: Inanichosha kusikia sifa za Rais kila dakika

Jenerali Ulimwengu: Inanichosha kusikia sifa za Rais kila dakika

Hata rais mwenyewe ana shida.

Kama mnakumbuka magufuli alimwambia kangi”unanitaja taja sana kumbe unafanya madudu”
Hawa UVCCM sio wajinga kama tunavyofikiri,ni watu ambao toka walipoamua kuingia huko ccm,walidhamilia kuwa wapigaji kwa njia yoyote itakayowezekana.
Muasisi wa haya yote ni Jiwe mkuu
 
Ifikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.

Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.

Alichosema Jenerali Ulimwengu

"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
Hii imeenda
 
Ifikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.

Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.

Alichosema Jenerali Ulimwengu

"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
upumbavu huu ulianzia serikali ya wale washamba wa kisukuma jitu hata likijisaidia linamsifu raisi
 
Jenerali hajawahi kuwa sawa na uongozi wowote wa nchi hii.. kuanzia enzi za Mkapa yeye ni kuponda tu hana jema. Ndo maana ikabidi aombe tena kupata uraia kwasababu ya kuvuka mipaka yote ya ustaarabu. Huyu mzee bora akae kimya kwasababu kaifaidi sana keki ya taifa.
 
Wacha unafiki! Mbona watu wake Ulimwengu kwenye newsroom wanakutetemkia sana? Hiyo kumtukuza Boss ni very natural, essentially ni adabu njema, that's all.
Piss!
 
Mh,makonda aliwahi kumfuta viatu prince wa awamu ya nne.

Uchawa haujaanza na magu.
Ni kweli lakini machawa hawakuwa wengi kama awamu ya Jiwe. Jiwe alileta mambo ya ajabu sana mpaka watu wakamuombea kifo
 
Bado mabango kila Kona kama wanatangaza sumu ya mende na kunguni, hakuna raisi Tanzania alieimbiwa mapambio kama huyu mkazi wa dole kizimkazi, na yeye anapenda kama angekua hapendi asingekubali pesa ya serikali kuchezewa kwa kuchapisha mabango yasiyo kua na maana
 
Haka kazee ka kinya Rwanda kana taka nini tena? Kazee kenyewe hata no ya NIDA hakana . Kashaurini katulie vinginevyo tutakafanyizia kama enzi ya MKAPA.
 
Ifikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.

Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.

Alichosema Jenerali Ulimwengu

"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
Anataka asifiwe yeye. Kwani siku hizi mtz huyo.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Ifikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.

Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.

Alichosema Jenerali Ulimwengu

"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
Lakini yeye kumsifia PAKA kila dakika ni ni sawa.
 
Jasiri haachi asili, Haka ka zee karudisheni kwao RWANDA kasituchafulie nchi yetu. Enzi za MAGU baada ya onyo mbona KALIUFYATA?
 
Back
Top Bottom