Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Siyo Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿Ngoja tumsifie hata kama kuna vya uongo ili tu azidi kufanya kazi maana viongozi wa umma wanafanya kazi kwa hisani
Huyu ni kiongozi wa praise team nini mkuu?Lucas Mwashambwa likes this 👍
Hadi kusema Rais kamtoa jalalani, yaani mtu alikuwa lecturer chuo kikuu, kumbe lile lilikuwa jalala. Watu toka JPM waliamua kujizima network kabisa, na viongozi wanabariki ujinga sasa imekuwa trend, kila mtu anasifia tu.Ni watu wachache wenye uwezo wa kumkosoa Rais huyu Jenerali ni mmoja wao.
Hana nia mbaya kwenye kukosoa kwake ila Machawa wa Mama sidhani kama watamuacha Salama.
Ilianza kama utani awamu ile, maana ilifikia wakati kuna Mhe. Mmoja alimsifia Mhe. RAIS hadi kufikia kumuita Mhe. MUNGU badala ya Mhe. RAIS 🙌
Hizi ndio siasa za Afrika.Ifikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.
Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.
Alichosema Jenerali Ulimwengu
"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
Mambo ya kusifu na kuabudu chanzo ni mzee wa chatoJenerali kaongea ukweli mtupu, alienzisha kuabudiwa ni Magufuli Mama nae kaamua kuirithi tabia hiyo.
Ifikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.
Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.
Alichosema Jenerali Ulimwengu
"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
Mbwa kabisa hii Jenerali Ulimwengu.Ifikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.
Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.
Alichosema Jenerali Ulimwengu
"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
kama ambavyo inachosha kukuskia wewe Mzee Generali mtu mzima ukilalamika dailyIfikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.
Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.
Alichosema Jenerali Ulimwengu
"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
Hawez kujalibu likeLucas Mwashambwa likes this [emoji106]
Machawa wana maisha mazuri kuliko ma profesa, Machawa wapo kwenye msafara wa rais. Na rais mwenyewe alishasema chawa wake waheshimiwe. Bila uchawa hapa mjini hutoboi.Hakuna namna mzee, itabidi uzoee tu kizazi kimebadilika, ukosefu wa ajira umewafanya wengi kuwa watumwa wa kifikra, hata kama wana elimu zao vichwani.
Siku hizi uchawa ndio habari ya mjini, machawa wanaishi vizuri mjini zaidi ya waajiriwa wa sehemu mbalimbali.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app