Muasisi wa haya yote ni Jiwe mkuuHata rais mwenyewe ana shida.
Kama mnakumbuka magufuli alimwambia kangi”unanitaja taja sana kumbe unafanya madudu”
Hawa UVCCM sio wajinga kama tunavyofikiri,ni watu ambao toka walipoamua kuingia huko ccm,walidhamilia kuwa wapigaji kwa njia yoyote itakayowezekana.
Hii imeendaIfikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.
Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.
Alichosema Jenerali Ulimwengu
"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
Na wewe ndio wale waleMzee apumzike sasa. Inatosha japo ana point.
upumbavu huu ulianzia serikali ya wale washamba wa kisukuma jitu hata likijisaidia linamsifu raisiIfikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.
Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.
Alichosema Jenerali Ulimwengu
"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
Unataka ale wapi?Lucas Mwashambwa likes this 👍
Muasisi wa haya yote ni Jiwe mkuu
Ina maana hujui kwao? Au unajisahaulisha?!Hukio kwao ni wapi wakati aliloongea limefika nchi nzima boss?
Piss!Wacha unafiki! Mbona watu wake Ulimwengu kwenye newsroom wanakutetemkia sana? Hiyo kumtukuza Boss ni very natural, essentially ni adabu njema, that's all.
Ni kweli lakini machawa hawakuwa wengi kama awamu ya Jiwe. Jiwe alileta mambo ya ajabu sana mpaka watu wakamuombea kifoMh,makonda aliwahi kumfuta viatu prince wa awamu ya nne.
Uchawa haujaanza na magu.
upo sahihi kabisa.Na wewe ndio wale wale
Anataka asifiwe yeye. Kwani siku hizi mtz huyo.Ifikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.
Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.
Alichosema Jenerali Ulimwengu
"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
Lakini yeye kumsifia PAKA kila dakika ni ni sawa.Ifikie wakati tuache kuona kila anachofanya Raisi ni msaada kwetu na si majukumu yake.
Hizi sifa za uongo zimekuwa nyingi mpaka kuondosha mantiki ya uhalisia wa utendaji wake.
Alichosema Jenerali Ulimwengu
"Mimi inanichosha kusikia sifa za rais kila dakika. Rais ni mtu mwema nadhani. Lakini sio lazima tukae tunamsifu! Tunamsifu!. Maana yake Mwisho kama hauna critical thinking juu ya mkuu wako na kila siku ni kumsifu. Naanza kuwa na shaka kwamba hata akikosea utamsifu tu. Na waswahili wanasema kufanya hivyo ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa au wanavyosema waswahili unamcheza shere"
Huyo anataka kufufua mambo ya miaka ya 90.Kwamba Mzee Ni wa BurundiHukio kwao ni wapi wakati aliloongea limefika nchi nzima boss?