Jenerali Ulimwengu: Kuna Mtanzania alitufanya Mazuzu

Jenerali Ulimwengu: Kuna Mtanzania alitufanya Mazuzu

Zuzu tulia sindano ikuingie vizuri kweri-kweri
Hapa sina ninae mshabikia mkuu, lakini hoja yangu kubwa ni kwamba Mzee Ulimwengu anapaswa kutafuta hoja zingine tofauti na kumsema Magufuli kila kukicha. Yaani anakua kama alisahaulika na sasa kwakua Magufuli ni marehemu, basi Ukimwengu anakitumia jina lake kama ngazi ya kupandia ili afike sehem flani
 
Wewe labda umeelewa... kuna wengine inabidi waambiwe. Tuungane na Jenerali kusema ukweli!

Aseme na kweli za upande mwingine ndiyo tujue kwa yeye anapenda ukweli.
Mbona nguzi za umeme zimeanza kutoka nje ya nchi hasemi. Musoga gang wanabaka nchi kweupe yuko kama bubu. Yeye atulie tu. Muda wake umepita. Badala ya kutoa habari za kutugawa na kuongeza chuki kwa watu fulani, yeye aongelee mshikamano, upendo na amani kwa kizazi kipya.
 
Ni muumini wa ukosoaji,ndicho kilichofanya aporwe paspot na mkapa,maana alikua akifichua ufisadi,moja wapo no muwekezaji kulipa Thamani ya beberu 11 kwenye uwekezaji wake
Upo sawa sana mkuu.
Lakini hoja kubwa hapa ni we are not interesting na hili neno lake ambalo ndio kaligeuza kama ngazi ya kupandia kila kukicha
 
Aseme na kweli za upande mwingine ndiyo tujue kwa yeye anapenda ukweli.
Mbona nguzi za umeme zimeanza kutoka nje ya nchi hasemi. Musoga gang wanabaka nchi kweupe yuko kama bubu. Yeye atulie tu. Muda wake umepita. Badala ya kutoa habari za kutugawa na kuongeza chuki kwa watu fulani, yeye aongelee mshikamano, upendo na amani kwa kizazi kipya.
Akizidi kusema roho ya kusema itawaingia watu wengi. So mengi yatasemwa!!
Lakini, ccm si mmeipenda wenyewe?? Wapendeni na watu wake!!
 
Generali ulimwengu ni kichaa na ni mtu hatari aliejawa na roho mbaya kupindukia. Aende kwao Rwanda akajaribu kufanya haya anayoyafanya hapa asikilizie muziki wake. Anadhani yeye anafahamu kila kitu na chochote anachotaka yeye kifuatwe. Hiyo ndiyo demokrasia?
Mafahali wawili
 
Akitoa mada Kwenye Mkutano wa TCD, Generali Ulimwengu alisema, kuna Mtanzania Mmoja alikufa miaka michache iliyopita alitupulizia uzuzu na wote tukawa mazuzu.

Geberali apewe ulinzi

Tazama Video
Duh! Aisee
 
Hapa sina ninae mshabikia mkuu, lakini hoja yangu kubwa ni kwamba Mzee Ulimwengu anapaswa kutafuta hoja zingine tofauti na kumsema Magufuli kila kukicha. Yaani anakua kama alisahaulika na sasa kwakua Magufuli ni marehemu, basi Ukimwengu anakitumia jina lake kama ngazi ya kupandia ili afike sehem flani
Hamsemi magufuli bali anaukemea umagufuli usijirudie tena tz
 
Akizidi kusema roho ya kusema itawaingia watu wengi. So mengi yatasemwa!!
Lakini, ccm si mmeipenda wenyewe?? Wapendeni na watu wake!!

CCM imependwa na msoga gang. Ndiyo wanademka wakiongozwa na kigogo wao.
 
Rafiki, ujanisoma vizuri.
Nimesema[HATA] tukichukua katiba ya marekani, sijalinganisha katiba ya Marekani na Tanzania.
Katiba haiwezi simama bila watu wanaojitambua.
Kwahiyo tanzania tutapata watu wanaojitambua lini?.Ukiwa na katiba bora kila kitu kitafwata mstari.maana katiba yenyewe itatengeneza miongozo na hatua za kuchukua pale mtu anapokiuka.leo hii rais yuko juu yakila kitu nikwasababu ya katiba iliyopo.ila ukiwa na katiba inayodhibiti mamlaka ya rais lazima kuna vitu vitabadilika ikiwa nipamoja na uzalendo.
 
Back
Top Bottom