Jenerali Ulimwengu: Kuna Mtanzania alitufanya Mazuzu

Jenerali Ulimwengu: Kuna Mtanzania alitufanya Mazuzu

Nimeipenda Sana hili andiko lako hakika kwa upambe huu sijui tutatoka lini. Viongozi watupe msaada katika hili la KUJADILI yaliyopita watuelekeze kwa yaliyopo Sasa hivi mfumuko wabei NI mkubwa Sana waje na ufumbuzi sio KUJADILI yaliyopita
 
Sawa tulikua mazuzu, now tumekua werevu what have we done so far?
nlidhani baada kubaki werevu now inchi ingekua maziwa na asali, katiba mpya, better life quality, mamiradi ya kimkakati kila sehemu bt waaapi things are getting worse than b4...
Chuki zao binafsi na JPM baada ya kubana mirija ya ulaji wanataka kufanya km ndio ajenda ya ichi...
Wako bze ku destroy image na legacy ya mwenzao badala ya kua bize kujenga legacy zao.
Shame on this cheap politician, km yamemshinda arudi bongo movie still wanamuhitaji kule..
 
Mtazamo wangu:
Shida ipo kwenye katiba na sio mtu. Pale Ikulu hata aende malaika kwa katiba tuliyo nayo, bado atatoka na pembe kama zote.
Na wenye nchi washaliona hilo, wakikubali kubadilisha katiba, ndipo tutakapo toboa.
Yule alizidi aliamini hatokufa,na wasaidizi wake Wa karibu wakaamini hatokufa
 
Yule alizidi aliamini hatokufa,na wasaidizi wake Wa karibu wakaamini hatokufa
Ndiyo maana kwa katiba ya sasa, ni lazima tuwashukuru marais waliotangulia na kumuomba aliyepo kwenye nafasi yake, kwasababu kufanya kwake jambo sio sharti bali ni kwa mapenzi yake mwenyewe.

Rais anahofu na chama chake kuliko nguvu ya wananchi.
 
Sijajua unanipinga ama unakubaliana na Mimi.
Sasa ikiwa Idadi kubwa wa wakaazi wa Dar hawapigi kura then why tuseme tatizo ni katiba na si watu?.
Tanzania ni nchi inayoweza ongozwa na yoyote yule awe Mweu, Mwerevu , Malaika ama Shetan. Ni yeye mwenyewe Rais akiamua kufanya atakavyo.

..Katiba ndio inawawezesha viongozi kuwafanya wananchi mazuzu.

..Kwa hiyo chanzo cha yote hayo ni katiba mbovu.

..Katiba inayolinda waovu ktk ngazi za uongozi badala ya kuwalinda waadilifu na wapenda haki.
 
..Katiba ndio inawawezesha viongozi kuwafanya wananchi mazuzu.

..Kwa hiyo chanzo cha yote hayo ni katiba mbovu.

..Katiba inayolinda waovu ktk ngazi za uongozi badala ya kuwalinda waadilifu na wapenda haki.
Katiba ilimtaka yule Bwana pesa za miradi zipite Bungeni basi nikumbushe ni lini yule bwana alifanya hivyo na nikumbushe ni wapi na lini Bunge lilihoji dhidi ya vitendo hivyo vya Pesa ya Miradi kutoka kwenye kibubu cha Serikali hadi kwenye Miradi.
 
Huyu mzee bado anazeeka na uanaharakati wake ambao hauna tija yeyote??
 
Huyu Ulimwengu asituone sisi mazuzu. Akumbuke kuwa yeye uraia wake wa Tanzania aliomba na kupewa na wizara ya mambo ya ndani. Sisi wazawa tuna uchungu zaidi na nchi yetu sio yeye.
 
Akitoa mada Kwenye Mkutano wa TCD, Generali Ulimwengu alisema, kuna Mtanzania Mmoja alikufa miaka michache iliyopita alitupulizia uzuzu na wote tukawa mazuzu.

Geberali apewe ulinzi

Tazama Video

wewe general ulimwengu ndio umekuwa zezeta tangu uondolewe ukuu wa wilaya huna jipya unatafuta kiki kwa kumsema jpm
 
Akitoa mada Kwenye Mkutano wa TCD, Generali Ulimwengu alisema, kuna Mtanzania Mmoja alikufa miaka michache iliyopita alitupulizia uzuzu na wote tukawa mazuzu.

Geberali apewe ulinzi

Tazama Video
Kwani lini Jenerali Ulimwengu alikuwa Mtanzania?
 
Back
Top Bottom