Jenerali Venance Mabeyo miongoni mwa Wazalendo wachache kuwahi kutokea jeshini

Jenerali Venance Mabeyo miongoni mwa Wazalendo wachache kuwahi kutokea jeshini

Hawa wazalendo waunganishe nguvu sasa kumaliza rushwa na deals zinazopoteza fedha za umma bila sababu, ndani ya jamii zetu na hasa katika tenders za umma
 
Hapo ndipo kwenye mtihani kwa deep state!! Wasirogwe wakifanya michezo na JWTZ watakuwa wanachezea Simba sharubu!!!
Haiwezekani huwezi kuwa CDF kama huna sifa zilizowekwa
 
Haiwezekani huwezi kuwa CDF kama huna sifa zilizowekwa

Sijui kama wana akili hiyo!! Huoni jinsi Luoga alivyozawadiwa kuwa Gavana wa BOT na unaona mfumuko wa bei unavyoumiza watu kwasababu ya TOZO zao zisizokuwa na msingi!!!
 
Kupitia hafla ya kuwatunuku maofisa wa jeshi nishani za miaka 60 ya Uhuru muda mchache uliopita hapo Ikulu nimebaini Jenerali Venance Mabeyo ni mmoja wa wazalendo wa kweli kuwahi kutokea jeshini na serikalini kwa ujumla.

Jenerali Mabeyo amezaliwa Julai Mosi mwaka 1955 huko wilayani Magu na kwasasa ana miaka 65 na bado anaendelea kuliongoza jeshi vizuri!!

Amelitumikia JWTZ kwa miaka 41 sasa katika nafasi mbalimbali ikiwemo Mkuu wa Ujasusi jeshini pamoja na Mnadhimu Mkuu kabla ya kupandishwa cheo na kuwa Mkuu wa Majeshi mwaka 2017! Itoshe kusema tu Jenerali Mabeyo ana CV kubwa jeshini na mzalendo kwelikweli
Pia amelitmikia kanisa katoliki vizuri mpaka papa katambua mchango wake!
 
Sijui kama wana akili hiyo!! Huoni jinsi Luoga alivyozawadiwa kuwa Gavana wa BOT na unaona mfumuko wa bei unavyoumiza watu kwasababu ya TOZO zao zisizokuwa na msingi!!!
Ushahamisha magoli
 
Hamna jeshi lilikua tamu na lakizalendo kama ya mwamunyage. Wanajeshi tuliheshima na kuishi kama wazalendo.

Au nasema uwongo wanajeshi wenzangu
 
Kupitia hafla ya kuwatunuku maofisa wa jeshi nishani za miaka 60 ya Uhuru muda mchache uliopita hapo Ikulu nimebaini Jenerali Venance Mabeyo ni mmoja wa wazalendo wa kweli kuwahi kutokea jeshini na serikalini kwa ujumla.

Jenerali Mabeyo amezaliwa Julai Mosi mwaka 1955 huko wilayani Magu na kwasasa ana miaka 65 na bado anaendelea kuliongoza jeshi vizuri!!

Amelitumikia JWTZ kwa miaka 41 sasa katika nafasi mbalimbali ikiwemo Mkuu wa Ujasusi jeshini pamoja na Mnadhimu Mkuu kabla ya kupandishwa cheo na kuwa Mkuu wa Majeshi mwaka 2017! Itoshe kusema tu Jenerali Mabeyo ana CV kubwa jeshini na mzalendo kwelikweli
Atuambie Kwanza Nani alimpiga risasi Lissu
Maana baada ya tukio la kushambuliwa Lissu alijitokeza kwenye TV Kusema kuwa ni tukio la Kihalifu kama yalivyo Matukio Mengine
Ilishangaza Kwa CDF kutoka Kwa Media with such a statement
 
Hao nishani walishapewa za kutosha.
Nafikiri kila kiongozi anatoa nishani bila ili aonekane kuwa katoa hata kama nishani zilezile zishatolewa mara nyingi na waliomtangulia
 
Ila huyu Jenerali ni very humble. Kifo cha JPM cha ghafla angekuwa mroho angeleta rabsha, ila alimsapoti mama kulinda Katiba. Kwa kufanya hvyo ameokoa hata Muungano wa Tanzania, inadvertently. Nasikia ni yeye ndiye aliyekaa imara kupinga uhaini wa wahaini. Anastahiki kwa hilo.
 
..wakati anateuliwa kuwa CoS ndio mwaka aliotakiwa astaafu.
Jiwe alikuwa na mchezo mchafu sana.

Wale waliokuwa kinyume naye walistaafishwa mapema sana ila huyu alikuwa ni swahiba wake.

Kwenye ile bilioni 71 ya msaada tunayoelezwa ilijenga njia 2 za Morocco-Mwenge, huyu hawezi kukosekana kwenye ufalme huo.
 
Back
Top Bottom