evonik
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 3,996
- 5,156
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..🤣🤣Jiwe alikuwa na mchezo mchafu sana.
Wale waliokuwa kinyume naye walistaafishwa mapema sana ila huyu alikuwa ni swahiba wake.
Kwenye ile bilioni 71 ya msaada tunayoelezwa ilijenga njia 2 za Morocco-Mwenge, huyu hawezi kukosekana kwenye ufalme huo.
Huo ndio ukweli, Jiwe aliwakumbatia maswahiba zake...[emoji1787][emoji1787]
..waziwazi bila aibu.
..Davis Mwamunyange kazaliwa 1959.
..Venance Mabeyo ni wa 1955.
Kupitia hafla ya kuwatunuku maofisa wa jeshi nishani za miaka 60 ya Uhuru muda mchache uliopita hapo Ikulu nimebaini Jenerali Venance Mabeyo ni mmoja wa wazalendo wa kweli kuwahi kutokea jeshini na serikalini kwa ujumla.
Jenerali Mabeyo amezaliwa Julai Mosi mwaka 1955 huko wilayani Magu na kwasasa ana miaka 65 na bado anaendelea kuliongoza jeshi vizuri!!
Amelitumikia JWTZ kwa miaka 41 sasa katika nafasi mbalimbali ikiwemo Mkuu wa Ujasusi jeshini pamoja na Mnadhimu Mkuu kabla ya kupandishwa cheo na kuwa Mkuu wa Majeshi mwaka 2017! Itoshe kusema tu Jenerali Mabeyo ana CV kubwa jeshini na mzalendo kwelikweli
Wakati mwingine napata shida sana kuelewa maana ya Uzalendo.Kupitia hafla ya kuwatunuku maofisa wa jeshi nishani za miaka 60 ya Uhuru muda mchache uliopita hapo Ikulu nimebaini Jenerali Venance Mabeyo ni mmoja wa wazalendo wa kweli kuwahi kutokea jeshini na serikalini kwa ujumla.
Jenerali Mabeyo amezaliwa Julai Mosi mwaka 1955 huko wilayani Magu na kwasasa ana miaka 65 na bado anaendelea kuliongoza jeshi vizuri!!
Amelitumikia JWTZ kwa miaka 41 sasa katika nafasi mbalimbali ikiwemo Mkuu wa Ujasusi jeshini pamoja na Mnadhimu Mkuu kabla ya kupandishwa cheo na kuwa Mkuu wa Majeshi mwaka 2017! Itoshe kusema tu Jenerali Mabeyo ana CV kubwa jeshini na mzalendo kwelikweli
..🤣🤣
..waziwazi bila aibu.
..Davis Mwamunyange kazaliwa 1959.
..Venance Mabeyo ni wa 1955.
Kingai je?Na Siro vipi?
Sirro ni mzaliwa wa mwaka 1965 katika wilaya ya Butiama mkoani Mara, alijiunga na jeshi la polisi mwaka 1993Na Siro vipi?
Mpaka leo sijawahi kujua jiwe alipumbaza vipi watu kwenye hili suala..🤣🤣
..waziwazi bila aibu.
..Davis Mwamunyange kazaliwa 1959.
..Venance Mabeyo ni wa 1955.
Miaka 65 anafanya nini ofisini?Kupitia hafla ya kuwatunuku maofisa wa jeshi nishani za miaka 60 ya Uhuru muda mchache uliopita hapo Ikulu nimebaini Jenerali Venance Mabeyo ni mmoja wa wazalendo wa kweli kuwahi kutokea jeshini na serikalini kwa ujumla.
Jenerali Mabeyo amezaliwa Julai Mosi mwaka 1955 huko wilayani Magu na kwasasa ana miaka 65 na bado anaendelea kuliongoza jeshi vizuri!!
Amelitumikia JWTZ kwa miaka 41 sasa katika nafasi mbalimbali ikiwemo Mkuu wa Ujasusi jeshini pamoja na Mnadhimu Mkuu kabla ya kupandishwa cheo na kuwa Mkuu wa Majeshi mwaka 2017! Itoshe kusema tu Jenerali Mabeyo ana CV kubwa jeshini na mzalendo kwelikweli
..kwani asingekuwepo yeye tungeshindwa kupambana na hao wahuni?Ninashangaa hata wewe unaweza kushuka so low kama wapumbavu hawa tunaowajua.
Ukabila ndio unakufanya uwe hivyo?
Huoni mchango wake, Magaidi Msumbiji wawethibitiwa, mapema , asubuhi, bila kelele.
Nimemaliza....wilayani Magu
Kupitia hafla ya kuwatunuku maofisa wa jeshi nishani za miaka 60 ya Uhuru muda mchache uliopita hapo Ikulu nimebaini Jenerali Venance Mabeyo ni mmoja wa wazalendo wa kweli kuwahi kutokea jeshini na serikalini kwa ujumla.
Jenerali Mabeyo amezaliwa Julai Mosi mwaka 1955 huko wilayani Magu na kwasasa ana miaka 65 na bado anaendelea kuliongoza jeshi vizuri!!
Amelitumikia JWTZ kwa miaka 41 sasa katika nafasi mbalimbali ikiwemo Mkuu wa Ujasusi jeshini pamoja na Mnadhimu Mkuu kabla ya kupandishwa cheo na kuwa Mkuu wa Majeshi mwaka 2017! Itoshe kusema tu Jenerali Mabeyo ana CV kubwa jeshini na mzalendo kwelikweliThe so called cvKupitia hafla ya kuwatunuku maofisa wa jeshi nishani za miaka 60 ya Uhuru muda mchache uliopita hapo Ikulu nimebaini Jenerali Venance Mabeyo ni mmoja wa wazalendo wa kweli kuwahi kutokea jeshini na serikalini kwa ujumla.
Jenerali Mabeyo amezaliwa Julai Mosi mwaka 1955 huko wilayani Magu na kwasasa ana miaka 65 na bado anaendelea kuliongoza jeshi vizuri!!
Amelitumikia JWTZ kwa miaka 41 sasa katika nafasi mbalimbali ikiwemo Mkuu wa Ujasusi jeshini pamoja na Mnadhimu Mkuu kabla ya kupandishwa cheo na kuwa Mkuu wa Majeshi mwaka 2017! Itoshe kusema tu Jenerali Mabeyo ana CV kubwa jeshini na mzalendo kwelikweli
tia hafla ya kuwatunuku maofisa wa jeshi nishani za miaka 60 ya Uhuru muda mchache uliopita hapo Ikulu nimebaini Jenerali Venance Mabeyo ni mmoja wa wazalendo wa kweli kuwahi kutokea jeshini na serikalini kwa ujumla.
Jenerali Mabeyo amezaliwa Julai Mosi mwaka 1955 huko wilayani Magu na kwasasa ana miaka 65 na bado anaendelea kuliongoza jeshi vizuri!!
Amelitumikia JWTZ kwa miaka 41 sasa katika nafasi mbalimbali ikiwemo Mkuu wa Ujasusi jeshini pamoja na Mnadhimu Mkuu kabla ya kupandishwa cheo na kuwa Mkuu wa Majeshi mwaka 2017! Itoshe kusema tu Jenerali Mabeyo ana CV kubwa jeshini na mzalendo kwelikweli
Aweke na hako anakokaita ka cv ka General MabeyoSawa mkuu, ebu orodhesha vigezo ulivyo tumia kupima huo uzalendo kwanza...🍺
..kwani asingekuwepo yeye tungeshindwa kupambana na hao wahuni?
Eti siro kazaliwa 1964.Hongera kwake
Sawa, Kwani shida iko wapi??.Wewe ulitaka azaliwe lini?.Eti siro kazaliwa 1964.
Itakuwa Ufanisi wake kazini bado ni mzuri65 bado yumo hajastafu