Jenerali Venance Mabeyo miongoni mwa Wazalendo wachache kuwahi kutokea jeshini

Jenerali Venance Mabeyo miongoni mwa Wazalendo wachache kuwahi kutokea jeshini

Hata kama hakuna mwenye vigezo?
Wanakosa vigeo kwa sababu ya uzanzibari au? Haiwezekani tuwe na amiri jeshi mkuu mwenye vigezo vyote kutoka Zanzibar afu akosekane mwanajeshi kutoka huko kwenye senior level jeshini. Haiwezekani. Wacha ubaguzi wa waziwazi.
 
Watu kama wanafanya kazi vizuri hakuna haja ya kustaafu mapema.

Halafu wakistaafu wape kazi za kuwa mentor kwa vijana. Watu kama Elon Musk, Nyerere, Warioba ni muhimu hekima zao wawape vijana.
 
Wakati ule alimwambia Mh. Rais kuja jambo atamwambia nafikiri mtoa mada amesimamia hapo.....
#AkiliZaJioniDukaniKwaMangi🍻
 
Kupitia hafla ya kuwatunuku maofisa wa jeshi nishani za miaka 60 ya Uhuru muda mchache uliopita hapo Ikulu nimebaini Jenerali Venance Mabeyo ni mmoja wa wazalendo wa kweli kuwahi kutokea jeshini na serikalini kwa ujumla.

Jenerali Mabeyo amezaliwa Julai Mosi mwaka 1955 huko wilayani Magu na kwasasa ana miaka 65 na bado anaendelea kuliongoza jeshi vizuri!!

Amelitumikia JWTZ kwa miaka 41 sasa katika nafasi mbalimbali ikiwemo Mkuu wa Ujasusi jeshini pamoja na Mnadhimu Mkuu kabla ya kupandishwa cheo na kuwa Mkuu wa Majeshi mwaka 2017! Itoshe kusema tu Jenerali Mabeyo ana CV kubwa jeshini na mzalendo kwelikweli
Kwani mkuu yupi wa majeshi ambaye hajawa mzalendo? je wale majenerali waliopigana uganda hawakuwa wazalendo? acha sifa za kijinga kama una lingine sema tu hapa.
 
Rais alitumia mamlaka yake akamuongezea muda kama alivyofanyiwa mtangulizi wake Mwamunyange!!!!

. Mtumishi mmoja anastaafu kwa mujibu wa sheria, halafu nafasi yake inajazwa na mwingine aliyefikisha umri wa kustaafu??

..hicho ndicho nilichokiona mimi. Kama nimekosea niko tayari kurekebishwa.
 
Wale waliovuka mto kagera kwenda kulitetea Taifa dhidi ya mhuni Amin wenyewe sio wazalendo. Msuguri, Mwita Kyaro, Waitara, Mayunga hawa sio Wazalendo, au sio?
Anzisha thread zao. Hii ni ya Mabeyo
 
Kama nimekosea niko tayari kurekebishwa.

Hujakosea mkuu, wakati Mwamunyange anaondoka kama CDF Mabeyo alikuwa ndio Chief of staff. Hao ndio watu wawili waliokuwa vinara wa jeshi; hivyo ingawa Mabeyo alifikisha umri wa kustaafu wakati huo nadhani ilionekana kuwa haikuwa busara vinara wawili wa Jeshi wote kuondoka wakati mmoja ndipo Mabeyo akapewa kuwa CDF.
 
Hujakosea mkuu, wakati Mwamunyange anaondoka kama CDF Mabeyo alikuwa ndio Chief of staff. Hao ndio watu wawili waliokuwa vinara wa jeshi; hivyo ingawa Mabeyo alifikisha umri wa kustaafu wakati huo nadhani ilionekana kuwa haikuwa busara vinara wawili wa Jeshi wote kuondoka wakati mmoja ndipo Mabeyo akapewa kuwa CDF.

. Mbona kabla yao walikuwa akiondoka vinara wawili, wanaingia wengine wawili?

..Au watangulizi walikuwa hawana busara?

..Hivi hakuwa CoS wakati ameshafikisha umri wa kustaafu?
 
Mbona kabla yao walikuwa akiondoka vinara wawili, wanaingia wengine wawili?

Ni kweli huko nyuma iliwezekana lakini ukumbuke wakati ule hali ya kisiasa nchini ilikuwa tofauti na ilivyokuwa Jiwe alipoingia madarakani!!! It was his prerogative to appoint a commander in chief of his choice and he zeroed on his tribesman Mabeyo!!
 
Uzalendo ni jukumu lake sa szan km kuna haja ya kusifia kla ktu vingne vi vtu vya hovyo kusifu
 
Back
Top Bottom