Wanakosa vigeo kwa sababu ya uzanzibari au? Haiwezekani tuwe na amiri jeshi mkuu mwenye vigezo vyote kutoka Zanzibar afu akosekane mwanajeshi kutoka huko kwenye senior level jeshini. Haiwezekani. Wacha ubaguzi wa waziwazi.Hata kama hakuna mwenye vigezo?