Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

Mkuu asante kwa ukarimu wako, nilikuja, nimeona na nimejifunza.Naamini nimeanzisha safari ya kuuaga umaskini! Mzee uko njema kwa hiyo kitu, na kikubwa hasa ni uelewa wa kilimo na sayansi yake! Nilidhani ni kajamaa tu kamekutana na teknolojia hii na sasa kanataka tu kupata pesa. UMENIDHIHIRISHIA kuwa uko na kina kwenye kilimo pia!

Acha kwanza nisafishe shamba, maana sasa hivi mawazo yangu yote yako hapo kwenye habari ya greenhouse na possible faida zake.

Soon utapokea simu yangu, tayari kwa kazi.

Asante kwa compliments, wamekuja wengi sana, hebu nikumbushe wewe ni yupi? Uliyekuja na mdogo wako au ulikuja jioni na kamvua vua???

Karibu sana.
 
swala la maeneo yenye mvua nyingi inakuaje?

Hilo sio changamoto, greenhouse tujengazo zinahimili vishindo vyote vya mvua, upepo na dhoruba za kawaida. Kinachofanyika ni kusoma mazingira husika na kujua tutapambana vipi na changamoto hiyo. Kama uko tayari kuingia gharama tuko tayari na tuna uwezo wa kujenga kama nyumba ya kuishi, yaani msingi wa zege, hii inashauriwa kwa wale wanaojenga greenhouse kubwa kuanzia robo heka kuendelea, kwani investement itaendana na return tarajiwa.
Karibu sana.
Nb: kuna option ya kuijenga kama raised bed ya mbao, something which is much cheaper.
 
Hilo sio changamoto, greenhouse tujengazo zinahimili vishindo vyote vya mvua, upepo na dhoruba za kawaida. Kinachofanyika ni kusoma mazingira husika na kujua tutapambana vipi na changamoto hiyo. Kama uko tayari kuingia gharama tuko tayari na tuna uwezo wa kujenga kama nyumba ya kuishi, yaani msingi wa zege, hii inashauriwa kwa wale wanaojenga greenhouse kubwa kuanzia robo heka kuendelea, kwani investement itaendana na return tarajiwa.
Karibu sana.
Nb: kuna option ya kuijenga kama raised bed ya mbao, something which is much cheaper.



Dah ubarikiwe mkuu umetufumbua macho naomba nitumie mchanganuo kwa PM or oscargeorge2@gmail.com

asante.
 
Shukran mkuu,,nimeupenda sana huu uzi na nitakutafuta kwa ajil ya hii mambo ya greenhouse
 
mamaNa, nimekuwa nikifuatilia huu uzi wa mapinduzi ya kilimo kwa muda mrefu tokea siku ya kwanza. Ni muda muafaka kupata maelezo ya kina kutoka kwako kama ulivyofanya kwa members wengine.
Niseme tu asante for these useful news na kwakua haiitaji manpower kubwa hapana shaka ntaimudu mimi mwenyewe. Very soon ntakuja hapo shambani nidarasike vizuri ila kwa sasa nitumie maelezo kupitia mayangasteven@gmail.com
 
Last edited by a moderator:
mamaNa, nimekuwa nikifuatilia huu uzi wa mapinduzi ya kilimo kwa muda mrefu tokea siku ya kwanza. Ni muda muafaka kupata maelezo ya kina kutoka kwako kama ulivyofanya kwa members wengine.
Niseme tu asante for these useful news na kwakua haiitaji manpower kubwa hapana shaka ntaimudu mimi mwenyewe. Very soon ntakuja hapo shambani nidarasike vizuri ila kwa sasa nitumie maelezo kupitia mayangasteven@gmail.com

Karibu sana ndugu, nimeshakutumia.
 
Last edited by a moderator:
I am interested,je una mtaalam ambaye anaweza kuwa akifanya followup ya mara kwa mara baada ya kumjengea mteja husika,je waweza kupatikana na hao mafundi ukihitajika Arusha na ni kwa muda gani itakuchukua kujenga hiyo green house moja?
 
I am interested,je una mtaalam ambaye anaweza kuwa akifanya followup ya mara kwa mara baada ya kumjengea mteja husika,je waweza kupatikana na hao mafundi ukihitajika Arusha na ni kwa muda gani itakuchukua kujenga hiyo green house moja?
Ndio, wataalam wapo na mimi ndio mmoja wao, nitakuwa nahakikisha tunatembelea wateja mara kwa mara (atleast mara moja kwa mwezi - Gharama kwa mteja) Ili kuhakikisha tunafanikiwa mradi huu, Dhamira kubwa ni kupata wakulima wa kutosha kabisa tutakaokuwa na umoja wetu wenye nguvu na kuhakikisha tunakuwa na semi thabiti katika mazao yetu na bei za mauzo zenye tija.
Kuja Arusha sio tatizo kabisa. Ujenzi wa Greenhouse ya ukubwa huu (8*15m) ni wa Siku tatu tu, kama material yote yameshafika shambani/kiwanjani na maandalizi ya mwanzo muhimu yameshafanyika.

Karibu sana.
 
Karibu sana, nimeshakutumia.
NB: Shamba Darasa lipo Dar es salaam - Kigamboni, Kwa mawasiliano zaidi tutafutane kwa simu ili iwe rahisi kuhifadhi namba zenu.

Natanguliza Shukran zangu za dhati Kwa muitikio wenu chanya.
mamaNa,

Naweza kupata full package ya hii kitu ni Tshs ngapi? inclusive of everything. Vipi Mbegu, madawa na mbolea?

Pili nimeona umesema hizi zinatumia wooden poles, ndio mirunda?
Vipi kuliwa na wadudu?

Na kama eneo lina maji muda wote wa mwaka (mto mkubwa au kisima cha kudumu), naweza kulima kwa muda gani au mara ngapi kwa mwaka??
 
Last edited by a moderator:
mamaNa,

Naweza kupata full package ya hii kitu ni Tshs ngapi? inclusive of everything. Vipi Mbegu, madawa na mbolea?

Pili nimeona umesema hizi zinatumia wooden poles, ndio mirunda?
Vipi kuliwa na wadudu?

Na kama eneo lina maji muda wote wa mwaka (mto mkubwa au kisima cha kudumu), naweza kulima kwa muda gani au mara ngapi kwa mwaka??

Full package ya greenhouse ni 3.5m kama uko Dar, Itaongezeka kidogo kama uko nje ya dar kwasababu ya kusafirisha materials na mafundi ila gharama haitozidi laki tano (hiyo nyongeza) hata kama utakuwa kigoma.
Yes zinatumia wooden poles Lakini sio za mirunda (life span yake ni ndogo mno), Tunatumia Mikaratusi yaani miti ambayo tanesco wanatumia kwenye kusimamisha nguzo zao za umeme... Tunakupa guarantee ya miaka 10, Structure yako haitokuja kuharibika kwani kuna preventive measures kubwa sana tunazichukua kuzuia kuoza na kuliwa na wadudu, special treatment na films maalumu...
Eneo lolote lile utalima mwaka mzima, hiki sio kilimo cha msimu.. Mvua inyeshe haitoingia kwenye kitalu shamba chako, jua liwake halitodhuru mazao yako kwani ndio mfumo mzima wa kilimo hiki (controlled environment)...Kama kuna maji ya mto au kisima au ya kuvuna mvua, yatafaa kabisa lakini ni muhimu tukayapima ili tujue ph level, sodium, manganese nk... hii itasaidia kukushauri aina ya mbolea na ratio. Kumbuka unatumia lita 250-300 tu kwa siku
Kuhusu mbegu zinazopandwa ni hybrid, zenye uwezo wa kutoa mmea unaoishi muda mrefu na zenye kuwa na mmea mrefu wenye futi zaidi ya Kumi...
Kuhusu mbolea - tunapokutengenezea greenhouse tunakuwa tumeshatengeneza matuta kwa mchanganyiko maalumu wa mbolea husika zitakazo kuza mimea na kuilisha mwaka mzima, kitakachobaki ni kufanya top dressing when needed, ntakufundisha jinsi ya kufanya hili...
Madawa - Tunajaribu kuwaelimisha watu kuacha kutumia madawa na viwandani kwani madhara yake ni makubwa sana kwa ardhi, mimea na binadamu kwa ujumla, hivyo tutakufundisha organic farming, fertilizing and fumigating.. hii ina gharama ndogo na mazao ni ya ubora wa hali ya juu na yenye ladha tamu...
Gharama ya mbegu ni 200,000 lakini kama utahitaji nikuoteshee kwenye greenhouse yangu ni 290,000 (kwa kutumia potting mix) yaani sh 500 kwa mche, na ntakuja kukupandia kabisa kwenye shamba lako baada ya mwezi mmoja....Angalizo: Kuna mbegu nyingi sana za bei rahisi, lakini haziwezi kuzalisha, hata kuthubutu kusogelea uzalishaji mazao wa mbegu hizi maalumu kwa greenhouse.
 
Habari za siku mkuu, umerudi kivingine, nakuaminia na nimeipenda hii ngoja tutafute hela kidogo. Maelezo yako yamenivutia japo nimekuwa nikizisoma na kuzisikia muda mrefu ila hapa nimevutika zaidi. Nyongeza tu, zaidi ya maji hakuna gharama nyingine? mfano umeme au taa, feni? Nikipata muda nitakuja kuona shamba darasa na kujifunza zaidi.
Full package ya greenhouse ni 3.5m kama uko Dar, Itaongezeka kidogo kama uko nje ya dar kwasababu ya kusafirisha materials na mafundi ila gharama haitozidi laki tano (hiyo nyongeza) hata kama utakuwa kigoma.
Yes zinatumia wooden poles Lakini sio za mirunda (life span yake ni ndogo mno), Tunatumia Mikaratusi yaani miti ambayo tanesco wanatumia kwenye kusimamisha nguzo zao za umeme... Tunakupa guarantee ya miaka 10, Structure yako haitokuja kuharibika kwani kuna preventive measures kubwa sana tunazichukua kuzuia kuoza na kuliwa na wadudu, special treatment na films maalumu...
Eneo lolote lile utalima mwaka mzima, hiki sio kilimo cha msimu.. Mvua inyeshe haitoingia kwenye kitalu shamba chako, jua liwake halitodhuru mazao yako kwani ndio mfumo mzima wa kilimo hiki (controlled environment)...Kama kuna maji ya mto au kisima au ya kuvuna mvua, yatafaa kabisa lakini ni muhimu tukayapima ili tujue ph level, sodium, manganese nk... hii itasaidia kukushauri aina ya mbolea na ratio. Kumbuka unatumia lita 250-300 tu kwa siku
Kuhusu mbegu zinazopandwa ni hybrid, zenye uwezo wa kutoa mmea unaoishi muda mrefu na zenye kuwa na mmea mrefu wenye futi zaidi ya Kumi...
Kuhusu mbolea - tunapokutengenezea greenhouse tunakuwa tumeshatengeneza matuta kwa mchanganyiko maalumu wa mbolea husika zitakazo kuza mimea na kuilisha mwaka mzima, kitakachobaki ni kufanya top dressing when needed, ntakufundisha jinsi ya kufanya hili...
Madawa - Tunajaribu kuwaelimisha watu kuacha kutumia madawa na viwandani kwani madhara yake ni makubwa sana kwa ardhi, mimea na binadamu kwa ujumla, hivyo tutakufundisha organic farming, fertilizing and fumigating.. hii ina gharama ndogo na mazao ni ya ubora wa hali ya juu na yenye ladha tamu...
Gharama ya mbegu ni 200,000 lakini kama utahitaji nikuoteshee kwenye greenhouse yangu ni 290,000 (kwa kutumia potting mix) yaani sh 500 kwa mche, na ntakuja kukupandia kabisa kwenye shamba lako baada ya mwezi mmoja....Angalizo: Kuna mbegu nyingi sana za bei rahisi, lakini haziwezi kuzalisha, hata kuthubutu kusogelea uzalishaji mazao wa mbegu hizi maalumu kwa greenhouse.
 
Habari za siku mkuu, umerudi kivingine, nakuaminia na nimeipenda hii ngoja tutafute hela kidogo. Maelezo yako yamenivutia japo nimekuwa nikizisoma na kuzisikia muda mrefu ila hapa nimevutika zaidi. Nyongeza tu, zaidi ya maji hakuna gharama nyingine? mfano umeme au taa, feni? Nikipata muda nitakuja kuona shamba darasa na kujifunza zaidi.
Mama Joe,
Umeme, Taa na Feni si unazungumzia sebule sasa hapo?
Vipi ukiongezea na Ka-TV na Makochi kabisa?
Tuseme unaweza ukawa mbunifu ukaweka na kitanda Pia?.
Ili kunogesha unapiga kabisa na kabati la nguo humohumo ndani ya Greenhouse!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom