Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

Nimekuwa nikitafuta sana habari kuhusu hii kitu. Nashukuru sana kwa kuileta hapa. Naamini umasikini utapigwa teke.

Naomba nikuulize swali la uelewa kidogo mamaNa. Niko sehemu inaitwa Ipinda, Kyela Mbeya. Je, unaweza nipatia mafundi? Kingine ni aina ya miti mnayotumia kujengea, natoa hela halafu wewe unaniletea ama inakuwaje?

Karibu sana,
Tunaweza kuja kukujengea popote pale ulipo nchini, gharama ya kututoa Dar Es Salaam ni laki5 tu (500,000) hii ni gharama ya kusafirisha mafundi, material, malazi, na inflation ya vifaa vya ujenzi kama misumari mbao nk.
Kuhusu mbao tunazotumia Nilishalijibu hili hapo juu (tunatumia Mikaratusi yaani miti ambayo Tanesco wanatumia kusambaza umeme kwa nduzo zake)
Kuhusu malipo, Yes Uko sahihi kabisa, unalipa kwanza ndio tunakuja kukujengea. Kwa nature ya biashara ilivyo, hatuwezi kupokea installments au kuleta vifaa mpaka site kwako kisha utulipe baadae. Imagine Tusafiri watu watano kutoka Dar mpaka mbeya, na kilo zaidi ya 700 za mizigo halaf tufike huko simu haipatikani itakuwaje?? Im not saying kwamba hiyo itakuwa case juu yako, lakini kuna mengi yanayosababisha hili, kama vile kupotea au kuibiwa simu nk...

Kwa maswali zaidi unaweza kupiga simu nikakuelewesha kwa kina.

Karibu sana.
 
mamaNa,

Just in summary!

2.5mil inakusanya nini?

Na nini kiko nje ya hii package ambacho nitatakiwa kuwa nacho? Mi nina shamba tu!!

In summery 2.5m ni bei ya mauzo ya material ya kujengea greenhouse bila nguzo, misumari, tank la maji na ufundi.
Kama umeshawahi kujenga au unafahamu ujenzi wa greenhouse ulivyo na unataka kujenga mwenyewe hiyo ndio bei yake.
Sasa kama unataka tukujengee na kusimamia ujenzi mzima itaongezeka mil1 tu kama uko dar na 1.5 kama uko nje ya dar.
Hii 3.5 au 4 ni gharama ya material yote ya kujengea greenhouse na ufundi.
Utakachopata baada ya kulipa 3.5/4m ni complete greenhouse inayofanya kazi na itakayokuwa tayari kupandwa chochote kulingana na mahitaji ya mteja.
Kama huna miche na unahitaji miche itoke kwetu basi unaongeza 290,000 kwa ajili ya miche 580. Kifupi ili uwe na shamba lenye mazao unahitaji roughly 4,040,000 (kama ni Dar) na 4,540,000 (kama ni nje ya Dar), hii ikiwa ni gharama ya kupima udongo, maji, kujengewa greenhouse na kuoteshewa miche.
Kitakachobaki hapo ni wewe kuisimamia na kuvuna tu, na mwaka unaofata utaingia gharama ya 290,000 kwa ajili ya miche, na hizo milioni kadhaa hazitojirudia tena kwa miaka mitano-saba.
Nadhani nimeeleweka.
Karibu tena kwa maswali zaidi.
 
Mkuu nimeipanda sana hii technologia yako ya kutumia poles kwani za Balton ni gali sana.
  • Umesema kuna garantee ya kudumu kwa miaka kumi ila hapo nina wasisi kwani hizo nguzo za miti zinaathiriwa na mambo mengi kama mchwa na kadhalika.
  • Je nahitaji niwe na jumla ya shilingi ngapi ili uweze kunipa green house iliyokamilika tayari kwa kuanza kazi maana niliwapigia balton siku za nyuma bei ikanikimbiza.
  • Nimechukua namba yako nitakutafuta; kwa sasa nalima matikiti pale kwala ila ni maono yangu kulima nyanya,matango na hohoo kwani vinalipa sana
Just in summary!

2.5mil inakusanya nini?

Na nini kiko nje ya hii package ambacho nitatakiwa kuwa nacho? Mi nina shamba tu!![/QUOTE]

In summery 2.5m ni bei ya mauzo ya material ya kujengea greenhouse bila nguzo, misumari, tank la maji na ufundi.
Kama umeshawahi kujenga au unafahamu ujenzi wa greenhouse ulivyo na unataka kujenga mwenyewe hiyo ndio bei yake.
Sasa kama unataka tukujengee na kusimamia ujenzi mzima itaongezeka mil1 tu kama uko dar na 1.5 kama uko nje ya dar.
Hii 3.5 au 4 ni gharama ya material yote ya kujengea greenhouse na ufundi.
Utakachopata baada ya kulipa 3.5/4m ni complete greenhouse inayofanya kazi na itakayokuwa tayari kupandwa chochote kulingana na mahitaji ya mteja.
Kama huna miche na unahitaji miche itoke kwetu basi unaongeza 290,000 kwa ajili ya miche 580. Kifupi ili uwe na shamba lenye mazao unahitaji roughly 4,040,000 (kama ni Dar) na 4,540,000 (kama ni nje ya Dar), hii ikiwa ni gharama ya kupima udongo, maji, kujengewa greenhouse na kuoteshewa miche.
Kitakachobaki hapo ni wewe kuisimamia na kuvuna tu, na mwaka unaofata utaingia gharama ya 290,000 kwa ajili ya miche, na hizo milioni kadhaa hazitojirudia tena kwa miaka mitano-saba.
Nadhani nimeeleweka.
Karibu tena kwa maswali zaidi.

Structure kulast miaka 10 sio tatizo, kama umesoma post za juu utaona nimeshajibu tunafanyaje ili kuhakikisha hilo. Kuna special treatment tunafanya kuzuia mchwa, wadudu na kuoza.

Karibu sana.
 
Asante kwa Ufafanuzi mzuri sana. Hapo nimeelewa kabisa.Kilichobaki ngoja nikamilishe hesabu ya hiyo hela kabisa ndio nikutafute.Shamba lipo Ruvu Kijiji cha kwala naamini hapo utafanya bei ya Dar es salaam. hahaaa!
 
Asante kwa Ufafanuzi mzuri sana. Hapo nimeelewa kabisa.Kilichobaki ngoja nikamilishe hesabu ya hiyo hela kabisa ndio nikutafute.Shamba lipo Ruvu Kijiji cha kwala naamini hapo utafanya bei ya Dar es salaam. hahaaa!
Karibu sana ndugu, Japo wilaya mpya zimeanzishwa, sidhani kama kwala nayo imeingia dar es salaam. Hahaha
 
In summery 2.5m ni bei ya mauzo ya material ya kujengea greenhouse bila nguzo, misumari, tank la maji na ufundi.
Kama umeshawahi kujenga au unafahamu ujenzi wa greenhouse ulivyo na unataka kujenga mwenyewe hiyo ndio bei yake.
Sasa kama unataka tukujengee na kusimamia ujenzi mzima itaongezeka mil1 tu kama uko dar na 1.5 kama uko nje ya dar.
Hii 3.5 au 4 ni gharama ya material yote ya kujengea greenhouse na ufundi.
Utakachopata baada ya kulipa 3.5/4m ni complete greenhouse inayofanya kazi na itakayokuwa tayari kupandwa chochote kulingana na mahitaji ya mteja.
Kama huna miche na unahitaji miche itoke kwetu basi unaongeza 290,000 kwa ajili ya miche 580. Kifupi ili uwe na shamba lenye mazao unahitaji roughly 4,040,000 (kama ni Dar) na 4,540,000 (kama ni nje ya Dar), hii ikiwa ni gharama ya kupima udongo, maji, kujengewa greenhouse na kuoteshewa miche.
Kitakachobaki hapo ni wewe kuisimamia na kuvuna tu, na mwaka unaofata utaingia gharama ya 290,000 kwa ajili ya miche, na hizo milioni kadhaa hazitojirudia tena kwa miaka mitano-saba.
Nadhani nimeeleweka.
Karibu tena kwa maswali zaidi.

Vipi Mbolea na Madawa??
 
Vipi Mbolea na Madawa??
We advice on organic ways of farming. Mbolea na Madawa ni vya asili. Kuhusu mbolea tunahitaji kupima udongo kwanza ili tujue ni aina gani ya mbolea na kwa kiwango kipi kinatumika. Kuhusu madawa tutadiscuss magonjwa yatakapoanza kutokea (if any), kwani kila ugonjwa na dawa zake, na muda wake wa kupuliza au kuweka.

NB: Most ya haya maswali yameshajibiwa hapo juu.
Karibu sana.
 
We advice on organic ways of farming. Mbolea na Madawa ni vya asili. Kuhusu mbolea tunahitaji kupima udongo kwanza ili tujue ni aina gani ya mbolea na kwa kiwango kipi kinatumika. Kuhusu madawa tutadiscuss magonjwa yatakapoanza kutokea (if any), kwani kila ugonjwa na dawa zake, na muda wake wa kupuliza au kuweka.

NB: Most ya haya maswali yameshajibiwa hapo juu.
Karibu sana.

Ila kusema ukweli mamaNa bei yako kidogo iko juu,
Maana kwa Tshs 2.5Million napata vifuatavyo tu kutoka kwako;

  1. 1/8 of an acre drip lines,
  2. Polythene Cover (UV400 Protected sheets),
  3. 70% Micron insect Netting...(Sijaelewa tofauti yake na ya #2)

Vingine vyote nanunua mwenyewe, huoni Mkuu wangu hizi hapo juu nikiungaunga mitaani kimoja kimoja mbona kama inakua cheaper Mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Ila kusema ukweli mamaNa bei yako kidogo iko juu,
Maana kwa Tshs 2.5Million napata vifuatavyo tu kutoka kwako;

  1. 1/8 of an acre drip lines,
  2. Polythene Cover (UV400 Protected sheets),
  3. 70% Micron insect Netting...(Sijaelewa tofauti yake na ya #2)

Vingine vyote nanunua mwenyewe, huoni Mkuu wangu hizi hapo juu nikiungaunga mitaani kimoja kimoja mbona kama inakua cheaper Mkuu?
Bei iko juu ukilinganisha na ya nani? on each comparison there must be atleast two to compare. Unajua Mita moja ya mraba ya Poly cover inagharimu kiasi gani mpaka inaingia nchini?
Kama kuna cheaper option I suggest you go for it, every penny counts!!. Lakini kumbuka hii ni sayansi (inasomewa) na sio tu ushindani wa bei au kutaka kujilimbikizia faida.
Ikiwa umeshindwa kutofautisha no 2 na 3, sidhani kama utaweza kujenga mwenyewe kwa "Ku unga unga".
 
Ahsante mamaNa, ndio nimeuona leo huu uzi, lakini nimehamasika sana kuimplement huu mradi. Naomba ushauri wako, kama namudu gharama za kuwa na 2 greenhouses za ukubwa wa 30m x 15m..je, unanishauri nijenge zote kwa wakati mmoja na kuanza kilimo, au nianze na moja at a time ili kujifunza na kupata experience kisha ndio niongeze greenhouse nyingine? Je, katika shamba la hekari moja, naweza jenga greenhouse ngapi za ukubwa wa 30m x 15 ukizingatia spacing between greenhouses kitaalamu? NB: Ningependa kutembelea shamba lako la mfano Kigamboni jumamosi, unapatikana siku hiyo?
 
Ahsante mamaNa, ndio nimeuona leo huu uzi, lakini nimehamasika sana kuimplement huu mradi. Naomba ushauri wako, kama namudu gharama za kuwa na 2 greenhouses za ukubwa wa 30m x 15m..je, unanishauri nijenge zote kwa wakati mmoja na kuanza kilimo, au nianze na moja at a time ili kujifunza na kupata experience kisha ndio niongeze greenhouse nyingine? Je, katika shamba la hekari moja, naweza jenga greenhouse ngapi za ukubwa wa 30m x 15 ukizingatia spacing between greenhouses kitaalamu? NB: Ningependa kutembelea shamba lako la mfano Kigamboni jumamosi, unapatikana siku hiyo?

Karibu sana Riwa, katika shamba tambarare la hekari moja unaweza kujenga greenhouses 4 za 15*30, lakini kwa mkulima ambaye hajawa na utaalamu wa kutosha ni vema akaanza na size ya 8*30, na hizi zitaingia nane kwenye hekari moja. kuna kuwa na spacing ya mita mbili btwn kila greenhouse parallel na 5m spacing horizontal.
Unaweza kumudu greenhouse 2 kwa kuanzia kisha kadri unavyokuwa kiukulima utakuwa ukiongeza kadri ya mahitaji.
Je ungependa kuziweka wapi greenhouses zako?
Hakikisha una uhakika na soko la kutosha kabla hujajaza heka yako kwani mazao ya heka moja ni ziaidi ya tani 400 kwa mwaka.
Nipigie simu tufanya mpango wa kuonana ana kwa ana nikushauri zaidi.

Karibu sana.
 
Karibu sana Riwa, katika shamba tambarare la hekari moja unaweza kujenga greenhouses 4 za 15*30, lakini kwa mkulima ambaye hajawa na utaalamu wa kutosha ni vema akaanza na size ya 8*30, na hizi zitaingia nane kwenye hekari moja. kuna kuwa na spacing ya mita mbili btwn kila greenhouse parallel na 5m spacing horizontal.
Unaweza kumudu greenhouse 2 kwa kuanzia kisha kadri unavyokuwa kiukulima utakuwa ukiongeza kadri ya mahitaji.
Je ungependa kuziweka wapi greenhouses zako?
Hakikisha una uhakika na soko la kutosha kabla hujajaza heka yako kwani mazao ya heka moja ni ziaidi ya tani 400 kwa mwaka.
Nipigie simu tufanya mpango wa kuonana ana kwa ana nikushauri zaidi.

Karibu sana.

Ahsante tena mamaNa, nimeshachukua namba yako nitapiga kuconfirm. Quick question..kwa hiyo greenhouse ya size ya 8*30, inagharimu kiasi gani mkinijengea up to full functional greenhouse?
 
Last edited by a moderator:
Ahsante tena mamaNa, nimeshachukua namba yako nitapiga kuconfirm. Quick question..kwa hiyo greenhouse ya size ya 8*30, inagharimu kiasi gani mkinijengea up to full functional greenhouse?

Itakugharimu 7.4m kwahiyo kwa 8 utagharimika almost 60m.
Karibu sana.
 
Last edited by a moderator:
Bei iko juu ukilinganisha na ya nani? on each comparison there must be atleast two to compare. Unajua Mita moja ya mraba ya Poly cover inagharimu kiasi gani mpaka inaingia nchini?
Kama kuna cheaper option I suggest you go for it, every penny counts!!. Lakini kumbuka hii ni sayansi (inasomewa) na sio tu ushindani wa bei au kutaka kujilimbikizia faida.
Ikiwa umeshindwa kutofautisha no 2 na 3, sidhani kama utaweza kujenga mwenyewe kwa "Ku unga unga".[/QUOTE]

Hapo kwenye bluu, Bei yaweza kulinganishwa na ya Supplier mwingine, Lakini pia bei yaweza kulingwanishwa na Materials.

Kwenye Red nilifikiri ungefafanua zaidi kuliko kuanza kukatisha watu tamaa!!
 
Bei iko juu ukilinganisha na ya nani? on each comparison there must be atleast two to compare. Unajua Mita moja ya mraba ya Poly cover inagharimu kiasi gani mpaka inaingia nchini?
Kama kuna cheaper option I suggest you go for it, every penny counts!!. Lakini kumbuka hii ni sayansi (inasomewa) na sio tu ushindani wa bei au kutaka kujilimbikizia faida.
Ikiwa umeshindwa kutofautisha no 2 na 3, sidhani kama utaweza kujenga mwenyewe kwa "Ku unga unga".[/QUOTE]

Hapo kwenye bluu, Bei yaweza kulinganishwa na ya Supplier mwingine!!!!, Lakini pia bei yaweza kulingwanishwa na Materials.

Kwenye Red nilifikiri ungefafanua zaidi kuliko kuanza kukatisha watu tamaa!!

Sasa Mkuu wangu hata material tunayotumia hujaja kuyaona, imekuwaje unajudge ni expensive au bei iko juu?? Supplier hata mmoja Tanzania Hakuna, utareason vipi kuwa kwa supplier mungine inaweza kuwa cheap?, Hivi unajua materials yanauzwaje na yanafikaje nchini kwa kodi ipi? Waliokuja wameona ubora wa materials na ujenzi, pamoja na elimu tosha ya kilimo hiki... Karibu na wewe unufaike.

Pole sana Ndugu Shark kama nimesomeka "Kukatisha Tamaa", maana yangu ilikuwa ni kwamba ujenzi wa Greenhouse unahitaji Elimu ya Kutosha kuhusu, Mazao Yanayopandwa, Elimu ua upepo, Chemistry ya Udongo na Maji, Kudhibiti vihatarishi mbali mbali vya mazao, nk. Hii ni Sayansi na sio tu ujenzi wa kawaida.
Kweli Supplier wanaweza kuwa na bei tofauti lakini kama nilivyosema hapo awali, Sijui Supplier yoyote anayeuza hizi materials Hapa Tanzania. Kwakuwa tunazotumia sisi ni imported kuna mambo mengi sana yanayosababisha bei kuwa kama ilivyo. Kifupi sio kubwa ukilinganisha na ubora wa mazao na wingi utakaokuja kuupata kwa muda lengwa.
Tofauti kati ya Poly cover na insect netting ni UV Polythene Sheets Ni Material maalumu yenye mtazamo wa nylon yanayotumika katika kilimo ili kuchuja jua kwa asilimia kadhaa na mmea utakaokuwa chini yake kupata mwanga wa jua unaostahili (bila kuungua wala kukaushwa au kusababisha high evaporation), Kila eneo lina Sheets zake za kutumia kutokana na kiwango cha jua (inabidi kisomwe), kasi ya upepo, matarajio ya mvua nk.
Na Insect Netting ni Neti Maalumu zinazotumiwa kwenye kilimo ili kuzuia wadudu wa aina fulani, mfano 17 mesh insect netting yenye 70% Micron ni maalumu kwa maeneo yenye white flies wengi na wadudu wanaoruka. Hizi ni neti kama neti za mbu tunazotumia vitandani lakini zenyewe zimetengenezwa kwa plastic na ni kumu sana hata ukipiga jiwe haijachiniki, Ina special treatment inayoua wadudu iwapo watatua juu yake kwa muda fulani.

Nadhani nimeeleweka sasa.
NB: Ili ujenge Greenhouse mwenyewe inabidi uwe umeshasoma vya kutosha haya mambo, sio tu kuweza kujenga kwa kupiga misumari na kufunika nylon, Kila sehemu na aina yake ya material, kila zao na aina yake ya ujenzi, Vitu kama upepo, ventilation, na sun rays ni muhimu sana kuvijua.
NB2: Ni wakati sasa watanzania tubadilike na kuangalia undani wa mambo kisomi zaidi na si tu kuangalia unafuu wa mambo.

Samahani kama majibu yangu yalikukwaza kwa namna moja au nyingine.

Karibu sana.
 
Sasa Mkuu wangu hata material tunayotumia hujaja kuyaona, imekuwaje unajudge ni expensive au bei iko juu?? Supplier hata mmoja Tanzania Hakuna, utareason vipi kuwa kwa supplier mungine inaweza kuwa cheap?, Hivi unajua materials yanauzwaje na yanafikaje nchini kwa kodi ipi? Waliokuja wameona ubora wa materials na ujenzi, pamoja na elimu tosha ya kilimo hiki... Karibu na wewe unufaike.

Pole sana Ndugu Shark kama nimesomeka "Kukatisha Tamaa", maana yangu ilikuwa ni kwamba ujenzi wa Greenhouse unahitaji Elimu ya Kutosha kuhusu, Mazao Yanayopandwa, Elimu ua upepo, Chemistry ya Udongo na Maji, Kudhibiti vihatarishi mbali mbali vya mazao, nk. Hii ni Sayansi na sio tu ujenzi wa kawaida.
Kweli Supplier wanaweza kuwa na bei tofauti lakini kama nilivyosema hapo awali, Sijui Supplier yoyote anayeuza hizi materials Hapa Tanzania. Kwakuwa tunazotumia sisi ni imported kuna mambo mengi sana yanayosababisha bei kuwa kama ilivyo. Kifupi sio kubwa ukilinganisha na ubora wa mazao na wingi utakaokuja kuupata kwa muda lengwa.
Tofauti kati ya Poly cover na insect netting ni UV Polythene Sheets Ni Material maalumu yenye mtazamo wa nylon yanayotumika katika kilimo ili kuchuja jua kwa asilimia kadhaa na mmea utakaokuwa chini yake kupata mwanga wa jua unaostahili (bila kuungua wala kukaushwa au kusababisha high evaporation), Kila eneo lina Sheets zake za kutumia kutokana na kiwango cha jua (inabidi kisomwe), kasi ya upepo, matarajio ya mvua nk.
Na Insect Netting ni Neti Maalumu zinazotumiwa kwenye kilimo ili kuzuia wadudu wa aina fulani, mfano 17 mesh insect netting yenye 70% Micron ni maalumu kwa maeneo yenye white flies wengi na wadudu wanaoruka. Hizi ni neti kama neti za mbu tunazotumia vitandani lakini zenyewe zimetengenezwa kwa plastic na ni kumu sana hata ukipiga jiwe haijachiniki, Ina special treatment inayoua wadudu iwapo watatua juu yake kwa muda fulani.

Nadhani nimeeleweka sasa.
NB: Ili ujenge Greenhouse mwenyewe inabidi uwe umeshasoma vya kutosha haya mambo, sio tu kuweza kujenga kwa kupiga misumari na kufunika nylon, Kila sehemu na aina yake ya material, kila zao na aina yake ya ujenzi, Vitu kama upepo, ventilation, na sun rays ni muhimu sana kuvijua.
NB2: Ni wakati sasa watanzania tubadilike na kuangalia undani wa mambo kisomi zaidi na si tu kuangalia unafuu wa mambo.

Samahani kama majibu yangu yalikukwaza kwa namna moja au nyingine.

Karibu sana.

Ahsante sana mamaNa,
Sasa nimekupata barabara. mwanzo nilikua sijakuelewa sawasawa.
Natumia simu, nikikaa kwa computer nitaku-PM, nina 3-projects zinahitaji hii kitu, meanwhile ninajipanga wikiend hii kuja Kigamboni kujifunza, nitaomba uniambie muda gani utakua na nafasi.
 
Last edited by a moderator:
Nunavutiwa na huu mradi,hebu tueleweshe kidogo hii greenhouse...and how effective it is!
 
Mamana naomba unisaidie, mi nna kiwanja heka moja huko kigamboni lkn ardhi yake ni kichanga na nnataka kununua greenhouse huku uingereza. ..je naweza watumia nyie kwa kuifunga na kufanya tathmini nyingine za ulimaji? Gharama zake hapo zinaweza kuwa kiasi gani kwa kukisia?
 
Ahsante sana mamaNa,
Sasa nimekupata barabara. mwanzo nilikua sijakuelewa sawasawa.
Natumia simu, nikikaa kwa computer nitaku-PM, nina 3-projects zinahitaji hii kitu, meanwhile ninajipanga wikiend hii kuja Kigamboni kujifunza, nitaomba uniambie muda gani utakua na nafasi.

Karibu sana ndugu Shark.
Jumapili ntakuwepo siku nzima, Jumamosi sina uhakika kama ntaenda shamba au la. Lakini tuchekiane kwenye simu asubuhi nikupe ratiba kamili.
 
Nunavutiwa na huu mradi,hebu tueleweshe kidogo hii greenhouse...and how effective it is!
Mkuu nadhani Kila unachotaka kufahamu kipo katika uzi huu huu. Pitia post zote utaelewa kinaga ubaga. Nimejibu maswali mengi sana na hili ni moja wapo.

Karibu sana.
NB: Kama unahofia muda wa kuisoma yote basi naomba tuwasiliane kwa simu 0714881500, tutaeleweshana vema kabisa.
 
Back
Top Bottom