RockBlockHolili
Member
- Sep 5, 2022
- 87
- 141
- Thread starter
- #121
tunatuma mkoa wwote bossNzuri sana aisee shida ni huo umbali tuu ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tunatuma mkoa wwote bossNzuri sana aisee shida ni huo umbali tuu ..
OK ngoja ni save taarifa zenu Mkuutunatuma mkoa wwote boss
Ngoja nimsaidie nkuweke na videoJaribu kuweka picha vizuri. Nashindwa ziona.
Kama hutajali.
HiiJaribu kuweka picha vizuri. Nashindwa ziona.
Kama hutajali.
HiiJaribu kuweka picha vizuri. Nashindwa ziona.
Kama hutajali.
Kuzileta mpaka Kahe (mbele ya Mabogini) ni bei gani? Nahitaji kwa ajili ya shimo la choo lile la mviringo.hapana hizo tunasafirisha boss upo mkoa gani
Nilitaka zikatengenezwe Taborahapana hizo tunasafirisha boss upo mkoa gani
ndio boss kuna gari zinaleta mahindi huwa zinarudi Moro tupu kwahiyo gharama ya usafiri inapungua tukipata gari hizoMnaweza kuniletea morogoro?
piga boss tunapeleka hadi msitu wa tembo hapo ni karibu sana na kama ni kwaaajili ya shimo la choo zipo za bei rahisi hadi lifike site la inch 5 sh 1000 sita 1100Kuzileta mpaka Kahe (mbele ya Mabogini) ni bei gani? Nahitaji kwa ajili ya shimo la choo lile la mviringo.
0682770944piga boss tunapeleka hadi msitu wa tembo hapo ni karibu sana na kama ni kwaaajili ya shimo la choo zipo za bei rahisi hadi lifike site la inch 5 sh 1000 sita 1100
kwa kila tofali za inch 5 1300singida mjini usafiri laki 9
Kwa Dodoma tunazipataje mkuu?Habari za leo ndugu zangu?
Nauza tofali za Mwamba tofali ngumu mra 5 ya tofali za block!
ukijenga nazo usitegemee nyumba itapata crack au msuko suko wowote!
Tofali hizi ni ngumu kiasi ambacho wakati wa kupakiwa zinarushwa tu kwenye gari na wakati wa kushusha unabinua tu tipa. Uwezekano wa kukufikia popote ulipo upo, kwa mikoani tunatumia semi trela zinazoleta mahindi mpaka wa Kenya Holili.
Semi inaweza kubeba tofali 1200 kwa tofali hizi ndefu na 1360 kwa tofali fupi, ambazo idadi hiyo ya tofali inaweza kujenga vyumba hadi vitano kulingana n ramani ya nyumba yako.
Tofali hizi zimechongwa vizuri zina mwonekano mzuri hazina mashimo mashimo zimechongwa kwa mashine hivyo kama utapenda kwa nje ya nyumba unaweza usipige plasta na ukaishi vizuri tu ukaenda na fashion!
Bei yake sasa,
Tofali zote inch 5&6 ni 1050 zenye urefu wa inch 18 na 1000 zenye urefu wa inch 16.
Kwa wanaojenga Moshi hadi zifike site ni 1300, kwa wilaya za Same, Korogwe, Tanga Mjini, na Dar tofali zinakuja kwa bei rafiki kwakuwa kuna masemi mengi yanayokuja kupakia simenti maeneo ya Tanga.
Faida za iazda
- No crack.
- Tofali zetu ni imara sana.
- Haziliwi na magadi.
- Unaweza usipige plasta na ukaenjoy kuishi hapo.
- Ukizijenga hazitumii sementi nyingi.
- Unanzia msingi hadi kwenye lenta hakuna gharama za mawe ya msingi.
0682770944
Tembelea Don Bosco Hapo Mipango Utapata ZipoKwa Dodoma tunazipataje mkuu?
Na je mna mpango wa kuwa na uzalishaji Dodoma? maana pana chumvi si ya kawaida.
Mkuu mohs scale ni kipimo cha kugundua ugumu wa minerals na sio mwamba kwa maana mwamba huundwa na madini ya aina moja au zaidi. Ila kipimo cha mwamba ni kuangalia stress analysis.Hakuna ritcher scale ya 12 mwisho 9.
Pili ritcher scale inatumika kupima nguvu ya matetemeko.
Hardness ya jiwe etc hupimwa kwa kipimo kiitwacho Mohs scale na huanzia 1-10.
Diamond ambayo ndiyo jiwe gumu zaidi ina mohs scale ya 10
je, hayo mawe ya holili ni magumu kuliko diamond?
Au maelezo yako ni chai?