Jenga ngome yako, Usikubali kuishi kimazoea

Jenga ngome yako, Usikubali kuishi kimazoea

Tena ukiwa maskini unashangaa tu mara miguu inanuka, mara jogoo akudonoe miguuni, mara ukutane na mbuzi asiamame akuangalie kwa dharau ilimradi tu tafrani, ukiwa maskini hata konda kwenye daladala anapokea nauli kwa mkono wa kushoto
 
Hata salamu pia Ina gharama hakuna Cha bure duniani. So ndio Mana una urafiki wa maslahi kwa watu. Ila unaweza ukawa na pesa pia ukamnyanyua your real niga from minus to positive infinite f wealth.
Hili suala la marafiki linakuja automatic the way maji yanavyotiririka bondeni. So even your mindset and framework inventory and structures attracts something to germinate
 
Kauli za kimaskini hizi[emoji4]
Umeona mentality yao. Mtu anakutishia kuwa mie ndiye nitakayekuzika kwani hata nisipozikwa nikaoza nikaliwa mzoga na bwana afya Nina hasara gani. Kwanza sina ufahamu Kama naoza wao ndio wanaoteseka kuvuta harufu ya uozo. Huyu hataki kukubali ukweli. Ishu Ni kuwa Kama mawazo yanafanana pia utajiri hata wa kichwani knowledge fulani sio lazima tangible things. Kuna watu hawana pesa Ila kampani zao Ni matajiri tu na mawazo wanaendana na waanamuomba mawazo anawashauri Mambo yao yanazidi kukubali ama Kuja kulingana walivyoshauriwa
 
Hata salamu pia Ina gharama hakuna Cha bure duniani. So ndio Mana una urafiki wa maslahi kwa watu. Ila unaweza ukawa na pesa pia ukamnyanyua your real niga from minus to positive infinite f wealth.
Hili suala la marafiki linakuja automatic the way maji yanavyotiririka bondeni. So even your mindset and framework inventory and structures attracts something to germinate
Nime furahi kukuona Tena bro keisangora, endelea kutema madini🙏
 
Umeona mentality yao. Mtu anakutishia kuwa mie ndiye nitakayekuzika kwani hata nisipozikwa nikaoza nikaliwa mzoga na bwana afya Nina hasara gani. Kwanza sina ufahamu Kama naoza wao ndio wanaoteseka kuvuta harufu ya uozo. Huyu hataki kukubali ukweli. Ishu Ni kuwa Kama mawazo yanafanana pia utajiri hata wa kichwani knowledge fulani sio lazima tangible things. Kuna watu hawana pesa Ila kampani zao Ni matajiri tu na mawazo wanaendana na waanamuomba mawazo anawashauri Mambo yao yanazidi kukubali ama Kuja kulingana walivyoshauriwa
Kuna watu katika jamii ni majanga aisee, tuendelee kuelimishana 🙏🙏
 
Tena ukiwa maskini unashangaa tu mara miguu inanuka, mara jogoo akudonoe miguuni, mara ukutane na mbuzi asiamame akuangalie kwa dharau ilimradi tu tafrani, ukiwa maskini hata konda kwenye daladala anapokea nauli kwa mkono wa kushoto
Kaka Arovera Ume ongea kwa uchungu Sana, tuendelee kupambania Malengo 🙏🙏
 
Aaliyyah ni vile nime kumiss na hautaki kuji show😜.
Before marriage

Chali : fanya hivyo
Dem : unataka nitoke
Chali : aii hapana
Dem : unanipenda
Chali : sindio
Dem : utakua na mpango wa kando
Chali : hiyo ni upuzi siezi fanya
Dem : utanikiss milele
Chali : kila time
Dem : utakua unanipiga
Chali : aii hiyo haiwezekani
Dem : naweza kukutrust
Chali yeah
Dem : my love

Sasa after marriage ,soma kutoka chini ukienda juu.😪💔😂
 
Mfano mie my beliefs, mindset, thoughts Naona Kama twaendana Mana tuko the same planet travel journey. We can share stories,Mana siwezi kuleta za kula kimasihara wakati My 🧲 domains aren't alligned to it.
Once you share the same beliefs,etc automatic mnakuwa marafiki.
 
Back
Top Bottom