Jenga ngome yako, Usikubali kuishi kimazoea

Jenga ngome yako, Usikubali kuishi kimazoea

Onyesha graduate aliyeko mtaani Hana hata Mia mfukoni Ila kichwani anayo maarifa anavyoweza kubadilisha to cash.

Pia mwajiriwa afanyeje biashara gani za uhakika ambazo hatokuwa anapigwa,Mana siku hizi Kuna watu wanafanya kazi ,anasevu hela later anafungua biashara anampa ndugu,rafiki,anaajiri mtu Bali Ila wote hao wanampiga ,kiasilia watu Ni wavivu ndio Mana wizi hautoisha milele na hakuna dini itakayokomesha wizi.
Unampa boda,hiace Kijana wiki ya kwanza anakuwa very active later unaletewa maneno,ama dukani bidhaa zinaisha na Hakuna hela unaambiwa akakopesha
mshamba_hachekwi nadhani swali la kwanza Lina tuhusu wote🙏.
👉Tia neno mkuu
 
La kijana aliye graduate, jinsi anavyo weza kutumiana maarifa kuwa pesa🤔
awe na ujuzi ambao anaweza kuutumia kutatua tatizo fulani, yaani ahakikishe kwenye yale aliyosomea aweze kuyatumia kutengeneza vitu mfano kama ni mhandisi wa umeme labda awe anajua kufunga system za umeme, kurekebisha n.k, lazima atapata mishe.....
 
Sijasoma mada yote kwakuwa tumekuwa wavivu kwenye swala la kupambania ujumbe wa sauti ya maandishi! Awali ya yote umeeleweka vizuri na nimegonga likes kubwa!
Sawa kaka., Ila Kuna swali je kijana aliye graduate ana weza Vipi kutumia maarifa yake kuwa pesa🤔
 
awe na ujuzi ambao anaweza kuutumia kutatua tatizo fulani, yaani ahakikishe kwenye yale aliyosomea aweze kuyatumia kutengeneza vitu mfano kama ni mhandisi wa umeme labda awe anajua kufunga system za umeme, kurekebisha n.k, lazima atapata mishe.....
keisangora nadhani Kuna jibu hapa, though like base upande mmoja.
 
Soma Kisha utu ambie ume jifunza kipi🤔
Aisee kweli hela zinamfata mwenye hela naamini,,, zamani nilikuaga na baadhi ya marafiki wajinga na niliona nilivyokua nashuka kila siku. ndomana sikuizi marafiki wa kipuuzipuuzi siwataki kabisa bora waniambie tu naringa maana mda ule wa kukaa kupiga story na vitu kama hivyo sina...
 
Aisee kweli hela zinamfata mwenye hela naamini,,, zamani nilikuaga na baadhi ya marafiki wajinga na niliona nilivyokua nashuka kila siku. ndomana sikuizi marafiki wa kipuuzipuuzi siwataki kabisa bora waniambie tu naringa maana mda ule wa kukaa kupiga story na vitu kama hivyo sina...
Kuna kauli Ina sema "you are the product of your own environment"
 
Back
Top Bottom